New system haina sticker.Habari wadau..
Gari limeisha bima leo na niko bush hakuna ofisi za kampuni za bima.. nataka ninunue online kwa sim banking..
Ila najiuliza sticker naipataje? Maana kesho narudi mjini sitaki usumbufu wa traffic njiani
Kwa hyo ukisimamishwa barabarani unaonesha nini?New system haina sticker.
No ya gari
Cover note. Au mwambie Askari aangalie kwenye system.