Wazo: Viongozi waYanga wapeleke Bango Mlima Kilimanjaro

5 Nyingi

JF-Expert Member
Nov 15, 2023
247
594
Jambo hili lisiishe hivi hivi, ni lazima watalii wajue kilicho tokea. Bango la 5G lipelekwe kwenye kilele cha mlima mrefu kuliko yote Africa, pia bango liwekwe kwenye malango yote ya hifadhi za taifa na mbuga za wanyama.

Ni muhimu pia kuweka kwenye international airports, bandari (Boss la DP World atusaidie kupata space) na kwenye stesheni ya treni mwendo kasi.

Hili jambo sio siri, viongozi wa Yanga msitubanie, wekeni mambo hadharani.
 
JamiiForums-539638265.jpg
 
Hii nchi tumeaminishwa kuwa Wasukuma ni watu washamba kuliko wote hapa nchini. Tuseme mashabiki wote wa Yanga na viongozi wao (GSM na Eng.Hersi wakiwemo) nao ni Wasukuma?
 
Jambo hili lisiishe hivi hivi, ni lazima watalii wajue kilicho tokea. Bango la 5G lipelekwe kwenye kilele cha mlima mrefu kuliko yote Africa, pia bango liwekwe kwenye malango yote ya hifadhi za taifa na mbuga za wanyama.

Ni muhimu pia kuweka kwenye international airports, bandari (Boss la DP World atusaidie kupata space) na kwenye stesheni ya treni mwendo kasi.

Hili jambo sio siri, viongozi wa Yanga msitubanie, wekeni mambo hadharani.
Pia wapeleke Kwenye njia za kutokea miji mikubwa yote TANZANIA
 
Back
Top Bottom