Zaidi ya maiti 200 zatumika kama alama za vituo, Mlima Everest

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,592
3,839
Na KENGE,

Hakuna jambo zuri kama 'Adventure' yani kutalii,kusafiri kujionea maajabu ya dunia.

Mlima Everest unapatikana Asia kwenye mpaka kati ya China na Nepal viunga vya Himalayas.Ni mlima mrefu kuliko yote duniani wote tunafahamu!Ni mlima wenye mita 8,850 kwenda juu sawa na 9Km kwenda angani.Hii inaufanya Mlima Everest kuwa point ndefu duniani kuliko point zote.
20230704_225153.png

Kupanda Mlima huu mpaka juu utatumia siku 60 na hii ni baada ya kuthibitishwa na mamlaka ya China au Nepal kuwa Afya yako inaweza kuhimili hali mbaya ya hewa kwenye kilele cha mlima Everest.Watu wengi hufanya mazoezi kwa mwaka mmoja au zaidi ili kuzoea hali ya hewa ya huko juu.

Katika Mlima huu kuna miamba iliokatika hivyo kupelekea wapandaji kuwekewa ngazi wapite na kuanguka ndio inatajwa ni sababu kuu ya vifo vingi wakati wa kupanda Mlima huo
1650892991-sonam-bhote.jpg

Wasindikizaji(Mapota) hutumia miili ya maiti kama alama(Landmarks)ya wapi walipofika mfano kuna maiti zimevaa viatu vya kijani hupewa 'nicknames' GREEN BOOTS au maiti za kike hupewa majina ya BEAUTIFUL YELLOW FLOWER kama alama za kituo.Hizi wanatumia mapota na Radio call(Redio koo) kuwasiliana na makao makuu au mapota wenzao wakati wa kupanda mlima
20230704_224500.jpg


Haziozi?

Ndio maiti hizo ni ngumu kuoza kwakuwa nyingi zimefunikwa na barafu(Snow) hivyo basi ni kama mochwari ya bure kabisa maiti hizo ni ngumu kuoza.


Kwanini hazitolewi?

Nyingi zipo maeneo hatari sana kupelekea kuhatarisha maisha ya waokoaji hivyo hakuna budi kuziacha hapohapo.

Naweza kufika kileleni?

Hapana sio rahisi kama kupanda Mt. uluguru au Mt.Kilimanjaro yetu.Kuna point(kituo) maalumu ambacho ndio mwisho wa watalii kufika na ili ufike kileleni ni lazima upewe kibali na kituo cha aidha China au Nepal.kwa miaka 20 iliyopita 50% kati ya waliopewa vibali 8% tu ndio walifanikiwa kufika kileleni

•Summit/kilele cha Mlima Everest ni point ambayo Commercial airline(Ndege za abiria) zinapita level hiyo(Hazipiti hapo kileleni)

•Kwasasa Mamlaka ya China na Nepal imeweka sheria ni lazima kupanda na Mtungi wa Oxygen kwa kila mtalii kuepusha vifo vitokanavyo kwa kukosa hewa

Utalala wapi?

Kuna Tent zimeshajengwa uko utalala usiku na asubuhi safari inaendelea.vilevile kuna Hoteli za kifahari zimejengwa huko ni pesa yako tu.

Gharama za kupanda mlima Everest zipoje?

Hapa wanajamvi muitag ID ya wizara ya utalii kama ipo humu JF.Garama za kupanda Everest ni $30,000 hapo ni kwa mtu mmoja na ukitaka huduma bora(kampuni) walau uwe na $45,000/ na pia ukitaka kupanda pekeako unaruhusiwa na gharama ni $11,000/ kama utahitaji escort ya mapota utatoa $8000. so kwa mlala hoi inabidi uwe na walau $20,000/ achilia mbali nauli za ndege+passport sijui emergence n.k

MEANWHILE.

Kwa foregner kupanda mlima kilimanjaro ni as low as $ 10,000/ tu..sio ndogo ILA ukilinganisha na hao wachina wanavyoupiga mwingi kwenye mlima wao..Si ajabu ukasikia mlima Everest unaingiza mkwanja mara mbili(ipo hivyo) au tatu ya iliyoingiza Sekta nzima ya Utalii ya TZ nzima changanya na Znz..Mind you Everest mapato yanagawanywa kwa nchi mbili China na Nepal lakini wanajua thamani yao ndio maana wakaweka standard hizo.Sasa iweje mchina/Mzungu aje (Kilimanjaro) ambao nao ni wa3 kwa urefu dunia nzima umtoze pesa ndogo hivyo? Sound's weird.

Sasa ndugu msomaji tuendelee na habari yetu,Pale kwenye Geography au Physics ulisoma Atmosphere(Anga) is occupied by air(hewa) na hewa ni mkusanyiko wa gesi mainly (Nitrogen,Carbondioxide,Oxygen,Others) sindio? Na katika hizo gesi Oxygen imeshika mkia kwa kuwa kupewa nafasi kiduchu ya 7%.
Na kwenye hii 7% ni 5% nzima ipo kwa ground alaf 2% ndio ipo kwenye atmosphere.kwahiyo wakasema 'The higher you Go,The Cooler it becomes" nasema uongo ndugu zangu?

Sasa unapozidi kupanda juu ndio Oxygen inapungua hatimae inaisha mapafu/Alveoli yanashindwa kufanya kazi yake ya Gaseous exchange kwakuwa hayawezi kutoa CO2 na kuingiza CO2 ambazo ni uchafu/ushuzi mtupu.Utaanza kusota na hatimae utakata moto.Na jumlisha lile baridi la kule juu utakufa tu.ndio sababu unashauriwa ufanye mazoezi ya kutosha ili mapafu yaendane na hali ya kule na wanaopewa vibali ni wanaofikia level wanaita AB-Cases hakika wenzetu wameendelea.

Miezi unayoshauriwa kwenda ni April-May kwakua hali ya hewa inatulia kidogo sio kali kama msimu wa winter.Hii misimu mingine wanaita Harsh Humidity uko juu.
1650892922-sonam-bhote-16.jpg


Naweka kituo hapa,Naomba wajuvi na wajuaji wafanyie upembuzi yakinifu Mlima Kilimanjaro nahisi kuna vifo vingi sana tunafichwa na kadha wa kadha

Nawasilisha
Wako mtiifu,JINI JINIAS
KENGE 01
 
Na KENGE,

Hakuna jambo zuri kama 'Adventure' yani kutalii,kusafiri kujionea maajabu ya dunia.

Mlima Everest unapatikana Asia kwenye mpaki kati ya China na Nepal viunga vya Himalayas.Ni mlima mrefu kuliko yote duniani wote tunafahamu!Ni mlima wenye mita 8,850 kwenda juu sawa na 9Km kwenda angani.Hii inaufanya Mlima Everest kuwa point ndefu duniani kuliko point zote.
Nimependa uandishi wako
 
Na KENGE,

Hakuna jambo zuri kama 'Adventure' yani kutalii,kusafiri kujionea maajabu ya dunia.

Mlima Everest unapatikana Asia kwenye mpaki kati ya China na Nepal viunga vya Himalayas.Ni mlima mrefu kuliko yote duniani wote tunafahamu!Ni mlima wenye mita 8,850 kwenda juu sawa na 9Km kwenda angani.Hii inaufanya Mlima Everest kuwa point ndefu duniani kuliko point zote.
View attachment 2678799
Kupanda Mlima huu mpaka juu utatumia siku 60 na hii ni baada ya kuthibitishwa na mamlaka ya China au Nepal kuwa Afya yako inaweza kuhimili hali mbaya ya hewa kwenye kilele cha mlima Everest.Watu wengi hufanya mazoezi kwa mwaka mmoja au zaidi ili kuzoea hali ya hewa ya huko juu.

Katika Mlima huu kuna miamba iliokatika hivyo kupelekea wapandaji kuwekewa ngazi wapite na kuanguka ndio inatajwa ni sababu kuu ya vifo vingi wakati wa kupanda Mlima huo
View attachment 2678804
Wasindikizaji(Mapota) hutumia miili ya maiti kama alama(Landmarks)ya wapi walipofika mfano kuna maiti zimevaa viatu vya kijani hupewa 'nicknames' GREEN BOOTS au maiti za kike hupewa majina ya BEAUTIFUL YELLOW FLOWER kama alama za kituo.Hizi wanatumia mapota na Radio call(Redio koo) kuwasiliana na makao makuu au mapota wenzao wakati wa kupanda mlima
View attachment 2678806

Haziozi?

Ndio maiti hizo ni ngumu kuoza kwakuwa nyingi zimefunikwa na barafu(Snow) hivyo basi ni kama mochwari ya bure kabisa maiti hizo ni ngumu kuoza.


Kwanini hazitolewi?

Nyingi zipo maeneo hatari sana kupelekea kuhatarisha maisha ya waokoaji hivyo hakuna budi kuziacha hapohapo.

Naweza kufika kileleni?

Hapana sio rahisi kama kupanda Mt. uluguru au Mt.Kilimanjaro yetu.Kuna point(kituo) maalumu ambacho ndio mwisho wa watalii kufika na ili ufike kileleni ni lazima upewe kibali na kituo cha aidha China au Nepal.kwa miaka 20 iliyopita 50% kati ya waliopewa vibali 8% tu ndio walifanikiwa kufika kileleni

•Summit/kilele cha Mlima Everest ni point ambayo Commercial airline(Ndege za abiria) zinapita level hiyo(Hazipiti hapo kileleni)

•Kwasasa Mamlaka ya China na Nepal imeweka sheria ni lazima kupanda na Mtungi wa Oxygen kwa kila mtalii kuepusha vifo vitokanavyo kwa kukosa hewa

Utalala wapi?

Kuna Tent zimeshajengwa uko utalala usiku na asubuhi safari inaendelea.vilevile kuna Hoteli za kifahari zimejengwa huko ni pesa yako tu.

Gharama za kupanda mlima Everest zipoje?

Hapa wanajamvi muitag ID ya wizara ya utalii kama ipo humu JF.Garama za kupanda Everest ni $30,000 hapo ni kwa mtu mmoja na ukitaka huduma bora(kampuni) walau uwe na $45,000/ na pia ukitaka kupanda pekeako unaruhusiwa na gharama ni $11,000/ kama utahitaji escort ya mapota utatoa $8000. so kwa mlala hoi inabidi uwe na walau $20,000/ achilia mbali nauli za ndege+passport sijui emergence n.k

MEANWHILE.

Kwa foregner kupanda mlima kilimanjaro ni as low as $ 10,000/ tu..sio ndogo ILA ukilinganisha na hao wachina wanavyoupiga mwingi kwenye mlima wao..Si ajabu ukasikia mlima Everest unaingiza mkwanja mara mbili(ipo hivyo) au tatu ya iliyoingiza Sekta nzima ya Utalii ya TZ nzima changanya na Znz..Mind you Everest mapato yanagawanywa kwa nchi mbili China na Nepal lakini wanajua thamani yao ndio maana wakaweka standard hizo.Sasa iweje mchina/Mzungu aje Kilimanjaro ambao nao ni wa3 kwa urefu dunia nzima umetoze pesa ndogo hivyo? Sound's weird.

Sasa ndugu msomaji tuendelee na habari yetu,Pale kwenye Geography au Physics ulisoma Atmosphere(Anga) is occupied by air(hewa) na hewa ni mkusanyiko wa gesi mainly (Nitrogen,Carbondioxide,Oxygen,Others) sindio? Na katika hizo gesi Oxygen imeshika mkia kwa kuwa kupewa nafasi kiduchu ya 7%.
Na kwenye hii 7% ni 5% nzima ipo kwa ground alaf 2% ndio ipo kwenye atmosphere.kwahiyo wakasema 'The higher you Go,The Cooler it becomes" nasema uongo ndugu zangu?

Sasa unapozidi kupanda juu ndio Oxygen inapungua hatimae inaisha mapafu ma Alveoli yanashindwa kufanya kazi yake ya Gas exchange kwakuwa hayawezi kutoa Carbon na kuingiza Carbon ambazo ni uchafu ushuzi mtupu.Utaanza kusota na hatimae utakata moto.Na jumlisha lile baridi la kule utakufa tu.ndio sababu unashauriwa ufanye mazoezi ya kutosha ili mapafu yaendane na hali ya kule na wanaopewa vibali ni wanaofikia level wanaita AB-Cases hakika wenzetu wameendelea.

Miezi unayoshauriwa kwenda ni April-May kwakua hali ya hewa inatulia kidogo sio kali kama msimu wa winter.Hii misimu mingine wanaita Harsh Humidity uko juu.
View attachment 2678818

Naweka kituo hapa,Naomba wajuvi na wajuaji wafanyie upembuzi yakinifu Mlima Kilimanjaro nahisi kuna vifo vingi sana tunafichwa na kadha wa kadha

Nawasilisha
Wako mtiifu,JINI JINIAS
KENGE 01

======
Why Mount Everest Is Littered With The Dead Bodies Of More Than 200 Fallen Climbers

Because it's too dangerous to retrieve the dead bodies that litter the slopes of Mount Everest, most climbers remain right where they fell while trying to summit Earth's tallest peak.
Mount Everest Bodies

PRAKASH MATHEMA / Stringer / Getty ImagesThere are some 200 dead bodies on Mount Everest, serving as grim warnings for other climbers to this day.

Mount Everest holds the impressive title of tallest mountain in the world, but many people don’t know about its other, more gruesome title: the world’s largest open-air graveyard.

Since 1953, when Edmund Hillary and Tenzing Norgay scaled the summit for the first time, more than 4,000 people have followed in their footsteps, braving the harsh climate and dangerous terrain for a few moments of glory. Some of them, however, never left the mountain, leaving hundreds of dead bodies on Mount Everest.

The top portion of the mountain, roughly everything above 26,000 feet, is known as the “death zone.”

There, the oxygen levels are only at a third of what they are at sea level, and the barometric pressure causes weight to feel ten times heavier. The combination of the two makes climbers feel sluggish, disoriented and fatigued and can cause extreme distress on organs. For this reason, climbers don’t usually last more than 48 hours in this area.

The climbers that do are usually left with lingering effects. The ones that aren’t so lucky and die on Mount Everest are left right where they fell.

To date, it’s estimated that some 300 people have died climbing Earth’s tallest mountain and that there are approximately 200 dead bodies on Mount Everest to this day.

These are the stories behind just some of the bodies on Mount Everest that have accumulated over the years.

The Tragic Tale Behind One Of The Most Infamous Mount Everest Bodies​

Standard protocol on Mount Everest is just to leave the dead right where they died, and so these Mount Everest bodies remain there to spend eternity on its slopes, serving as both a warning to other climbers as well as gruesome mile markers.

One of the most famous Mount Everest bodies, known as “Green Boots” was passed by almost every climber to reach the death zone. The identity of Green Boots is highly contested, but it is most widely believed that it is Tsewang Paljor, an Indian climber who died in 1996.

Before the body’s recent removal, Green Boots’ body rested near a cave that all climbers must pass on their way to the peak. The body became a grim landmark used to gauge how close one is to the summit. He is famous for his green boots, and because, according to one seasoned adventurer “about 80% of people also take a rest at the shelter where Green Boots is, and it’s hard to miss the person lying there.”

Mount Everest Bodies Green Boots

Wikimedia CommonsThe corpse of Tsewang Paljor, also known as “Green Boots”, is one of the most infamous dead bodies on Everest.

David Sharp And His Harrowing Death On Everest​

In 2006 another climber joined Green Boots in his cave and became one of the most infamous Mount Everest bodies in history.

David Sharp was attempting to summit Everest on his own, a feat which even the most advanced climbers would warn against. He had stopped to rest in Green Boots’ cave, as so many had done before him. Over the course of several hours, he froze to death, his body stuck in a huddled position, just feet from one of the most well-known Mount Everest bodies.

Unlike Green Boots, however, who had likely gone unnoticed during his death due to the small amount of people hiking at that time, at least 40 people passed by Sharp that day. Not one of them stopped.

David Sharp

YouTubeDavid Sharp preparing for the fateful climb that would ultimately turn him into one of the most famous dead bodies on Mount Everest.

Sharpe’s death sparked a moral debate about the culture of Everest climbers. Though many had passed by Sharp as he lay dying, and their eyewitness accounts claim he was visibly alive and in distress, no one offered their help.

Sir Edmund Hillary, the first man to ever summit the mountain, alongside Tenzing Norgay, criticized the climbers who had passed by Sharp and attributed it to the mind-numbing desire to reach the top.

“If you have someone who is in great need and you are still strong and energetic, then you have a duty, really, to give all you can to get the man down and getting to the summit becomes very secondary,” he told the New Zealand Herald, after news of Sharp’s death broke.

“I think the whole attitude towards climbing Mt Everest has become rather horrifying,” he added. “The people just want to get to the top. They don’t give a damn for anybody else who may be in distress and it doesn’t impress me at all that they leave someone lying under a rock to die.”

The media termed this phenomenon “summit fever,” and it’s happened more times than most people realize.

How George Mallory Became The First Dead Body On Mount Everest​

In 1999, the oldest known body to ever fall on Mount Everest was found.

George Mallory’s body was found 75 years after his 1924 death after an unusually warm spring. Mallory had attempted to be the first person to climb Everest, though he had disappeared before anyone found out if he had achieved his goal.

Mount Everest Bodies George Mallory

Dave Hahn/Getty ImagesThe corpse of George Mallory, the first body on Mount Everest to ever fall on its treacherous slopes.

His body was found in 1999, his upper torso, half of his legs, and his left arm almost perfectly preserved. He was dressed in a tweed suit and surrounded by primitive climbing equipment and heavy oxygen bottles. A rope injury around his waist led those who found him to believe he had been roped to another climber when he fell from the side of a cliff.

It is still unknown whether Mallory made it to the top, though of course the title of “the first man to climb Everest” has been attributed elsewhere. Though he may not have made it, rumors of Mallory’s climb had swirled for years.

He was a famous mountaineer at the time and when asked why he wanted to climb the then-unconquered mountain, he famously replied: “Because it’s there.”

The Sad Demise Of Hannelore Schmatz In Everest’s Death Zone​

One of the most horrifying sights on Mount Everest is the body of Hannelore Schmatz. In 1979, Schmatz became not only the first German citizen to perish on the mountain but also the first woman.

Schmatz had actually reached her goal of summiting the mountain, before ultimately succumbing to exhaustion on the way down. Despite her Sherpa’s warning, she set up camp within the death zone.

She managed to survive a snowstorm hitting overnight, and made it almost the rest of the way down to camp before a lack of oxygen and frostbite resulted in her giving into exhaustion. She was only 330 feet from base camp.

Dead Bodies On Everest Hannelore Schmatz

YouTubeAs the first woman to die on Earth’s tallest mountain, Hannelore Schmatz’s corpse became one of the most famous dead bodies on Mount Everest.

Her body remains on the mountain, extremely well preserved due to the consistently below zero temperatures. She remained in plain view of the mountain’s Southern Route, leaning against a long deteriorated backpack with her eyes open and her hair blowing in the wind until the 70-80 MPH winds either blew a covering of snow over her or pushed her off the mountain. Her final resting place is unknown.

It’s due to the same things that kill these climbers that recovery of their bodies can’t take place.

When someone dies on Everest, especially in the death zone, it is almost impossible to retrieve the body. The weather conditions, the terrain, and the lack of oxygen makes it difficult to get to the bodies. Even if they can be found, they are usually stuck to the ground, frozen in place.

In fact, two rescuers died while trying to recover Schmatz’s body and countless others have perished while trying to reach the rest.

Despite the risks, and the bodies they will encounter, thousands of people flock to Everest every year to attempt this impressive feat. And while it isn’t even known for sure how many bodies are on Mount Everest today, these corpses have done nothing to dissuade other climbers. And some of those brave mountaineers are sadly destined to join the bodies on Mount Everest themselves.
Imetulia sana
 
Kabisa ila Mods wameongeza ujuaji wao
Kama kawaida yao. Nahisi siku hizi kuna batch mpya ya walimu ambao wameajiriwa kama mods.

Kuanzisha uzi JF imekuwa ni mithili ya kufanya mtihani wa kiswahili ama kiingereza wa kuandika Insha. Kuna mods wana kawaida ya kuhariri nyuzi za watu hata kama hazina maudhui mabaya na kuandika wanachohisi wao ni sahihi kiasi cha wakati mwingine kupotosha maana hasa ya kilichoandikwa kwenye uzi.

Maxence Melo
 
Kama kawaida yao. Nahisi siku hizi kuna batch mpya ya walimu ambao wameajiriwa kama mods.

Kuanzisha uzi JF imekuwa ni mithili ya kufanya mtihani wa kiswahili ama kiingereza wa kuandika Insha. Kuna mods wana kawaida ya kuhariri nyuzi za watu hata kama hazina maudhui mabaya na kuandika wanachohisi wao ni sahihi kiasi cha wakati mwingine kupotosha maana hasa ya kilichoandikwa kwenye uzi.
AIsee inashangaza sana.unakuta mtu anataka Uzi uwe mfupi tu wa kueleweka ila ukienda ukirudi unakutanana na Uzi washaedit kuongeza ujuaji wao inaumiza

Tutafanyaje na tumeipenda wenyewe
Acha ituue tu....
 
Na KENGE,

Hakuna jambo zuri kama 'Adventure' yani kutalii,kusafiri kujionea maajabu ya dunia.

Mlima Everest unapatikana Asia kwenye mpaki kati ya China na Nepal viunga vya Himalayas.Ni mlima mrefu kuliko yote duniani wote tunafahamu!Ni mlima wenye mita 8,850 kwenda juu sawa na 9Km kwenda angani.Hii inaufanya Mlima Everest kuwa point ndefu duniani kuliko point zote.
View attachment 2678799
Kupanda Mlima huu mpaka juu utatumia siku 60 na hii ni baada ya kuthibitishwa na mamlaka ya China au Nepal kuwa Afya yako inaweza kuhimili hali mbaya ya hewa kwenye kilele cha mlima Everest.Watu wengi hufanya mazoezi kwa mwaka mmoja au zaidi ili kuzoea hali ya hewa ya huko juu.

Katika Mlima huu kuna miamba iliokatika hivyo kupelekea wapandaji kuwekewa ngazi wapite na kuanguka ndio inatajwa ni sababu kuu ya vifo vingi wakati wa kupanda Mlima huo
View attachment 2678804
Wasindikizaji(Mapota) hutumia miili ya maiti kama alama(Landmarks)ya wapi walipofika mfano kuna maiti zimevaa viatu vya kijani hupewa 'nicknames' GREEN BOOTS au maiti za kike hupewa majina ya BEAUTIFUL YELLOW FLOWER kama alama za kituo.Hizi wanatumia mapota na Radio call(Redio koo) kuwasiliana na makao makuu au mapota wenzao wakati wa kupanda mlima
View attachment 2678806

Haziozi?

Ndio maiti hizo ni ngumu kuoza kwakuwa nyingi zimefunikwa na barafu(Snow) hivyo basi ni kama mochwari ya bure kabisa maiti hizo ni ngumu kuoza.


Kwanini hazitolewi?

Nyingi zipo maeneo hatari sana kupelekea kuhatarisha maisha ya waokoaji hivyo hakuna budi kuziacha hapohapo.

Naweza kufika kileleni?

Hapana sio rahisi kama kupanda Mt. uluguru au Mt.Kilimanjaro yetu.Kuna point(kituo) maalumu ambacho ndio mwisho wa watalii kufika na ili ufike kileleni ni lazima upewe kibali na kituo cha aidha China au Nepal.kwa miaka 20 iliyopita 50% kati ya waliopewa vibali 8% tu ndio walifanikiwa kufika kileleni

•Summit/kilele cha Mlima Everest ni point ambayo Commercial airline(Ndege za abiria) zinapita level hiyo(Hazipiti hapo kileleni)

•Kwasasa Mamlaka ya China na Nepal imeweka sheria ni lazima kupanda na Mtungi wa Oxygen kwa kila mtalii kuepusha vifo vitokanavyo kwa kukosa hewa

Utalala wapi?

Kuna Tent zimeshajengwa uko utalala usiku na asubuhi safari inaendelea.vilevile kuna Hoteli za kifahari zimejengwa huko ni pesa yako tu.

Gharama za kupanda mlima Everest zipoje?

Hapa wanajamvi muitag ID ya wizara ya utalii kama ipo humu JF.Garama za kupanda Everest ni $30,000 hapo ni kwa mtu mmoja na ukitaka huduma bora(kampuni) walau uwe na $45,000/ na pia ukitaka kupanda pekeako unaruhusiwa na gharama ni $11,000/ kama utahitaji escort ya mapota utatoa $8000. so kwa mlala hoi inabidi uwe na walau $20,000/ achilia mbali nauli za ndege+passport sijui emergence n.k

MEANWHILE.

Kwa foregner kupanda mlima kilimanjaro ni as low as $ 10,000/ tu..sio ndogo ILA ukilinganisha na hao wachina wanavyoupiga mwingi kwenye mlima wao..Si ajabu ukasikia mlima Everest unaingiza mkwanja mara mbili(ipo hivyo) au tatu ya iliyoingiza Sekta nzima ya Utalii ya TZ nzima changanya na Znz..Mind you Everest mapato yanagawanywa kwa nchi mbili China na Nepal lakini wanajua thamani yao ndio maana wakaweka standard hizo.Sasa iweje mchina/Mzungu aje Kilimanjaro ambao nao ni wa3 kwa urefu dunia nzima umetoze pesa ndogo hivyo? Sound's weird.

Sasa ndugu msomaji tuendelee na habari yetu,Pale kwenye Geography au Physics ulisoma Atmosphere(Anga) is occupied by air(hewa) na hewa ni mkusanyiko wa gesi mainly (Nitrogen,Carbondioxide,Oxygen,Others) sindio? Na katika hizo gesi Oxygen imeshika mkia kwa kuwa kupewa nafasi kiduchu ya 7%.
Na kwenye hii 7% ni 5% nzima ipo kwa ground alaf 2% ndio ipo kwenye atmosphere.kwahiyo wakasema 'The higher you Go,The Cooler it becomes" nasema uongo ndugu zangu?

Sasa unapozidi kupanda juu ndio Oxygen inapungua hatimae inaisha mapafu ma Alveoli yanashindwa kufanya kazi yake ya Gas exchange kwakuwa hayawezi kutoa Carbon na kuingiza Carbon ambazo ni uchafu ushuzi mtupu.Utaanza kusota na hatimae utakata moto.Na jumlisha lile baridi la kule utakufa tu.ndio sababu unashauriwa ufanye mazoezi ya kutosha ili mapafu yaendane na hali ya kule na wanaopewa vibali ni wanaofikia level wanaita AB-Cases hakika wenzetu wameendelea.

Miezi unayoshauriwa kwenda ni April-May kwakua hali ya hewa inatulia kidogo sio kali kama msimu wa winter.Hii misimu mingine wanaita Harsh Humidity uko juu.
View attachment 2678818

Naweka kituo hapa,Naomba wajuvi na wajuaji wafanyie upembuzi yakinifu Mlima Kilimanjaro nahisi kuna vifo vingi sana tunafichwa na kadha wa kadha

Nawasilisha
Wako mtiifu,JINI JINIAS
KENGE 01
Vifo vya kujitakia unaenda kutafuta nini kwenye mabarafu huko
 
Back
Top Bottom