Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Yaani sisi kujifunza kutengeneza hizi chanjo ni jambo baya?Tushikiane kivipi wakati kazi washa maliza..... . Sema tukimbilie huko kwa msaada au tununue...!!
Yaani sisi kujifunza kutengeneza hizi chanjo ni jambo baya?Tushikiane kivipi wakati kazi washa maliza..... . Sema tukimbilie huko kwa msaada au tununue...!!
Pesa ndio sabuni ya roho. I hope something like this could be taken into consideration. Siamini kabisa chanjo za hawa wengine when it comes to Africa
Njaa na majukumu.Ila wasomi wetu ni wavivu tu,
Hakuna ambaye anajituma kabisa na kujitoa kufanya lolote lenye tija zaidi sana ya kukariri na kupata A hakuna ambaye kaonesha tija ya elimu yake.
Si wewe tu hata JPM hakuiamini chanjo kabisa.
Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.
Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.
Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.
Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.
Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.
Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?
Habari zaidi:
Cuba says Abdala vaccine 92.28% effective against coronavirus
Cuba said on Monday its three-shot Abdala vaccine against the coronavirus had proved 92.28% effective in last-stage clinical trials.www.reuters.com
Cuba's vaccine rivals BioNTech-Pfizer, Moderna – DW – 06/27/2021
Cuba's health authorities said this week the domestically produced Abdala vaccine has proven to be 92% effective against the coronavirus in clinical trials. DW takes a closer look.www.dw.com
Napenda kufahamu, je huyu virus wa corona hana ubavu wa kuupenya mwili wa binadamu kupitia kwenye masikio na macho?Linapokuja suala la chanjo tunaangalia nini ?
Binafsi chanjo yoyote ambayo ipo efficient hata akija nayo Lucifer its okay..., Pili kwa Corona sababu inabadilika sana sioni kama chanjo ndio mwarobaini pekee..., pia Chombo kitakachoamua ipi ina ufanisi ni WHO sababu wewe unaweza ukatumia hio Abdalla, Juma au Massanja.., kweli huenda ikakupa chanjo ila ukitaka kwenda Dubai kutembea sababu hawamtambui huyo Abdalla ukawa unatwanga maji kwenye Kinu...
- Urafiki
- Ufanisi
- Uchumi
- Au
In short binadamu tumekuwa wapuuzi sana badala ya kushirikiana kupambana na mazingira, tunatengana na kutafuta maadui katika binadamu wenzetu... (kumbe maadui wa kweli Virus na Bakteria wanafanya yao)
Hakuna nchi maskini inanunua chanjo,kuna covax,kapu la pamoja la chanjo chini ya who na bilateral agreement kama mtoa mada anavyoshauri.Wenzio wameshaanza mchakato wa kuchukua pesa kwa mabeberu ww unawaletea mpango wa kushirikiana na wajamaaa 😂😂😂😂
Pamoja na kuvaa barakoa huruhusiwi kushika na uso, sasa watu wakishavaa barakoa hujisahau kuhusu kutoshika uso.Napenda kufahamu, je huyu virus wa corona hana ubavu wa kuupenya mwili wa binadamu kupitia kwenye masikio na macho?
Na kama haiwezekani kitaaamu ni kwa msingi upi?
Isije kufunika pua na mdomo ni biashara tu wakati macho na masikio ni vitega uchumi wa biashara hii.
Comments waungwana:
Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.
Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.
Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.
Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.
Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.
Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?
Habari zaidi:
Cuba says Abdala vaccine 92.28% effective against coronavirus
Cuba said on Monday its three-shot Abdala vaccine against the coronavirus had proved 92.28% effective in last-stage clinical trials.www.reuters.com
Cuba's vaccine rivals BioNTech-Pfizer, Moderna – DW – 06/27/2021
Cuba's health authorities said this week the domestically produced Abdala vaccine has proven to be 92% effective against the coronavirus in clinical trials. DW takes a closer look.www.dw.com
Naongezea tu..Sasa urafiki wa nini kama huwezi kushirikiana na rafiki yako kukabiliana na janga linalokukabili?
Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.
Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.
Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.
Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.
Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.
Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?
Habari zaidi:
Cuba says Abdala vaccine 92.28% effective against coronavirus
Cuba said on Monday its three-shot Abdala vaccine against the coronavirus had proved 92.28% effective in last-stage clinical trials.www.reuters.com
Cuba's vaccine rivals BioNTech-Pfizer, Moderna – DW – 06/27/2021
Cuba's health authorities said this week the domestically produced Abdala vaccine has proven to be 92% effective against the coronavirus in clinical trials. DW takes a closer look.www.dw.com
Mama utamsikia 'tony blair was here'. Juhudi zote za kujitegemea kuhusu covid 19 kaweka kapuni kazi kushabikia wazungu kuongeza urefu kamba yake ya mbuzi ale urefu mkubwa.
Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.
Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.
Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.
Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.
Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.
Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?
Habari zaidi:
Cuba says Abdala vaccine 92.28% effective against coronavirus
Cuba said on Monday its three-shot Abdala vaccine against the coronavirus had proved 92.28% effective in last-stage clinical trials.www.reuters.com
Cuba's vaccine rivals BioNTech-Pfizer, Moderna – DW – 06/27/2021
Cuba's health authorities said this week the domestically produced Abdala vaccine has proven to be 92% effective against the coronavirus in clinical trials. DW takes a closer look.www.dw.com
Magufuli kwanza alikuwa hakubali kuwa Covid ipo, alisema iliondolewa kwa maombi, sasa Cuba hawaamini huo upuuziMama utamsikia 'tony blair was here'. Juhudi zote za kujitegemea kuhusu covid 19 kaweka kapuni kazi kushabikia wazungu kuongeza urefu kamba yake ya mbuzi ale urefu mkubwa.
Tungekua bado na jpm bila shaka ushirikiano na cuba ungetufungua macho kuhusu hilo gonjwa mabeberu wamelibeba kama mbeleko kuwanyonya nchi changa.
Siyo kweli. Alikubali ipo, ndiyo maana akahimiza watu wajishonee barakoa.Magufuli kwanza alikuwa hakubali kuwa Covid ipo
Magufuli hajawahi kuhimiza watu kuvaa barakoa, wala hajawahi kuvaa barakoaSiyo kweli. Alikubali ipo, ndiyo maana akahimiza watu wajishonee barakoa.
===
Hivi wazo la mleta mada lilipewa kipaumbele na viongozi wa nchi hii?
Hivi, Mkuu, kwa nini unaona raha sana kusema uongo mbele ya jamii? Sasa teknolojia inakuumbua. Baki na aibu yako kwa sasa baada ya kumaliza kutazama clip hii hapa chini.Magufuli hajawahi kuhimiza watu kuvaa barakoa, wala hajawahi kuvaa barakoa
Kwenye vikao vyake Ikulu ilikuwa marufuku kuvaa barakoa, pia alikejeli viongozi wa dini waliokuwa wakihimiza watu kujihadhari na kusema kuwa hawana imani na kuwa Mungu ameondoa Covid Tanzania