Wazo: Tanzania Ishirikiane na Cuba kwenye Suala la Chanjo

Ila wasomi wetu ni wavivu tu,

Hakuna ambaye anajituma kabisa na kujitoa kufanya lolote lenye tija zaidi sana ya kukariri na kupata A hakuna ambaye kaonesha tija ya elimu yake.
Njaa na majukumu.

Utajitumaje kufanya tafiti wakati hata kula tu ni shida.
 

Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.

Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.

Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.

Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.

Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.

Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?

Habari zaidi:

 
Linapokuja suala la chanjo tunaangalia nini ?
  1. Urafiki
  2. Ufanisi
  3. Uchumi
  4. Au
Binafsi chanjo yoyote ambayo ipo efficient hata akija nayo Lucifer its okay..., Pili kwa Corona sababu inabadilika sana sioni kama chanjo ndio mwarobaini pekee..., pia Chombo kitakachoamua ipi ina ufanisi ni WHO sababu wewe unaweza ukatumia hio Abdalla, Juma au Massanja.., kweli huenda ikakupa chanjo ila ukitaka kwenda Dubai kutembea sababu hawamtambui huyo Abdalla ukawa unatwanga maji kwenye Kinu...

In short binadamu tumekuwa wapuuzi sana badala ya kushirikiana kupambana na mazingira, tunatengana na kutafuta maadui katika binadamu wenzetu... (kumbe maadui wa kweli Virus na Bakteria wanafanya yao)
Napenda kufahamu, je huyu virus wa corona hana ubavu wa kuupenya mwili wa binadamu kupitia kwenye masikio na macho?
Na kama haiwezekani kitaaamu ni kwa msingi upi?
Isije kufunika pua na mdomo ni biashara tu wakati macho na masikio ni vitega uchumi wa biashara hii.

Comments waungwana:
 
Wenzio wameshaanza mchakato wa kuchukua pesa kwa mabeberu ww unawaletea mpango wa kushirikiana na wajamaaa 😂😂😂😂
Hakuna nchi maskini inanunua chanjo,kuna covax,kapu la pamoja la chanjo chini ya who na bilateral agreement kama mtoa mada anavyoshauri.

Tena saizi Wazungu wanataka watoe hatimiliki kwa Nchi 10 za Afrika zizalishe chanjo kwa niaba ya nchi za Afrika,shida ni je teknolojia,utaalamu na pesa za kuwekeza zipo?
 
Napenda kufahamu, je huyu virus wa corona hana ubavu wa kuupenya mwili wa binadamu kupitia kwenye masikio na macho?
Na kama haiwezekani kitaaamu ni kwa msingi upi?
Isije kufunika pua na mdomo ni biashara tu wakati macho na masikio ni vitega uchumi wa biashara hii.

Comments waungwana:
Pamoja na kuvaa barakoa huruhusiwi kushika na uso, sasa watu wakishavaa barakoa hujisahau kuhusu kutoshika uso.
 
Naunga mkono hoja.
Tatizo ni kwamba watoa pesa ni mababeru, hawawezi kukubali watupe pesa zao halafu tuzipeleke Cuba. Wao watataka pesa zirudi huko huko kwao kwenye makampuni yao, sisi tubaki na madeni ya kuwarithisha wajukuu wetu!
 
Nakubaliana na hoja concerning Vaccine ya Cuba (aka Abdala)hawa jamaa wapo vizuri for ages kuhusu issues za Tina, tatizo ni kwamba WHO wameikubali? Kwa sababu hawa jamaa kama hawajai certify ni tatizo unaweza ukaipata hiyo Vaccine lakini usitambulike kama umechanjwa.
 

Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.

Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.

Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.

Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.

Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.

Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?

Habari zaidi:




Sayansi haina undungu Mwanakijiji! kabla ya matumizi jopo ya kimataifa kama dawa nyingine lipitie data zote na kuhakiki majaribio kabla ya kuweka siasa kwenye afya za watu. Tuanze na chanjo ambazo zimeshatumika mfano hapa US wameshachanja watu zaidi ya milioni 170 hivyo tumeona chanjo ziko poa sasa kudandia chanjo kwasababu ya urafiki ya Nyerere na Castro wakati wa miaka ya 1960's sio sera nzuri ya kiafya. Ningeshauri Abdala waanze kuchanja wabunge na watoto zao kwanza na viongozi wa serikali kabla ya kuwapa watu wengine
 
Mzee Mwanakijiji ,

..umekosea kuleta hoja inayohusu ugonjwa wa corona.

..masuala yote yanayohusu ugonjwa huo yameingiliwa na SIASA.

..naamini ungeleta hoja inayohusu Tz kushirikiana na Cuba ktk utafiti wa madawa ktk ujumla wake ungepata muitikio mzuri zaidi.

..Cuba wako vizuri sana ktk utafiti wa madawa kukabiliana na magonjwa mbalimbali.

..Nashauri serikali yetu iangalie uwezekano wa kuanzisha mahusiano ya kiutaalamu kati ya taasisi za utafiti wa madawa za Tz na zile za Cuba.

..Hapo chini kuna habari ya Cuba na Marekani kushirikiana ktk utafiti wa tiba ya maradhi ya Kansa.


 

Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.

Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.

Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.

Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.

Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.

Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?

Habari zaidi:

Naongezea tu..Sasa urafiki wa nini kama huwezi kushirikiana na rafiki yako kukabiliana na janga linalokukabili?
 

Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.

Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.

Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.

Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.

Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.

Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?

Habari zaidi:

Mama utamsikia 'tony blair was here'. Juhudi zote za kujitegemea kuhusu covid 19 kaweka kapuni kazi kushabikia wazungu kuongeza urefu kamba yake ya mbuzi ale urefu mkubwa.
Tungekua bado na jpm bila shaka ushirikiano na cuba ungetufungua macho kuhusu hilo gonjwa mabeberu wamelibeba kama mbeleko kuwanyonya nchi changa.
 
Mama utamsikia 'tony blair was here'. Juhudi zote za kujitegemea kuhusu covid 19 kaweka kapuni kazi kushabikia wazungu kuongeza urefu kamba yake ya mbuzi ale urefu mkubwa.
Tungekua bado na jpm bila shaka ushirikiano na cuba ungetufungua macho kuhusu hilo gonjwa mabeberu wamelibeba kama mbeleko kuwanyonya nchi changa.
Magufuli kwanza alikuwa hakubali kuwa Covid ipo, alisema iliondolewa kwa maombi, sasa Cuba hawaamini huo upuuzi
 
Siyo kweli. Alikubali ipo, ndiyo maana akahimiza watu wajishonee barakoa.
===
Hivi wazo la mleta mada lilipewa kipaumbele na viongozi wa nchi hii?
Magufuli hajawahi kuhimiza watu kuvaa barakoa, wala hajawahi kuvaa barakoa

Kwenye vikao vyake Ikulu ilikuwa marufuku kuvaa barakoa, pia alikejeli viongozi wa dini waliokuwa wakihimiza watu kujihadhari na kusema kuwa hawana imani na kuwa Mungu ameondoa Covid Tanzania
 
Magufuli hajawahi kuhimiza watu kuvaa barakoa, wala hajawahi kuvaa barakoa

Kwenye vikao vyake Ikulu ilikuwa marufuku kuvaa barakoa, pia alikejeli viong
ozi wa dini waliokuwa wakihimiza watu kujihadhari na kusema kuwa hawana imani na kuwa Mungu ameondoa Covid Tanzania
Hivi, Mkuu, kwa nini unaona raha sana kusema uongo mbele ya jamii? Sasa teknolojia inakuumbua. Baki na aibu yako kwa sasa baada ya kumaliza kutazama clip hii hapa chini.
===
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom