Dawa kutoka CUBA ni Mpango Serikali kupitia wizara ya Afya au Polepole?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,299
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Rais kuwakilisha nchi.

Kwanini suala la dawa kutoka CUBA atangaze yeye kama yeye na siyo wizara ya afya.

Hizo dawa zimethibitishwa na nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital?

Unless kutakuwa na shida mahali
 
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.

Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.

Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?

Unless kuatakuwa na shida mahali
Amekurupuka.....alitakiwa aunganishe wizara na Cuba wafuate utaratibu...ikiwa ready wizara itatangaza na kumpa credit zake balozi bila hiyana ....alichofanya sio sawa....labda kama anataka KM nafasi i wazi.....
 
Amekurupuka.....alitakiwa aunganishe wizara na Cuba wafuate utaratibu...ikiwa ready wizara itatangaza na kumpa credit zake balozi bila hiyana ....alichofanya sio sawa....labda kama anataka KM nafasi i wazi.....
This is what is see
 
Zile za Corona kutoka Madagaska alitangaza nani ?

20231231_091626.jpg
 
Nishanunuaga dawa ya kupuliza/kuua viluilui vya wadudu wa mbuu hapo kibaha aise dawa si mchezo,
Najuwa hii issue ya dawa za wacuba hapo kibaha ni zengwe tu na hilo zengwe halijaanza leo
Kuna watu wanaona kama biashara zao zitaharibika
Nyie endeleeni kuleta siasa ila kwa sisi wengine kitambo tu tunajuwa namna ya kuzipata hizo dawa na kuzitumia kwa matumizi yetubinafsi
Na zinatusaidia

Ova
 
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.

Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.

Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?

Unless kuatakuwa na shida mahali
Maandalizi ya mbinyo wa medical suply toka Kwa wahisani!!
Labda Dawa hazitoshi au uhaba utatokea mbeleni au Kuna badiliko kuu la kimtazamo na kiuelekeo wa kitaifa tunajiandaa mapema!!

Tiba mbadala ndio zimewasimamia wacuba hadi Leo dhidi ya mmarekani!!

Tunarudi eden sio utumwani misri Tena sio!!?
 
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.

Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.

Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?

Unless kuatakuwa na shida mahali
Kampeni zimeanza?
 
Nishanunuaga dawa ya kupuliza/kuua viluilui vya wadudu wa mbuu hapo kibaha aise dawa si mchezo,
Najuwa hii issue ya dawa za wacuba hapo kibaha ni zengwe tu na hilo zengwe halijaanza leo
Kuna watu wanaona kama biashara zao zitaharibika
Nyie endeleeni kuleta siasa ila kwa sisi wengine kitambo tu tunajuwa namna ya kuzipata hizo dawa na kuzitumia kwa matumizi yetubinafsi
Na zinatusaidia

Ova
ndugu nikihitaji hii naipataje?
 
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.

Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.

Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?

Unless kuatakuwa na shida mahali

Unakurupuka. Unadhan anaweza kufanya hivyo bila ya kuwasiliana na mamlaka ya Ikulu-TZ ?
 
Amekurupuka.....alitakiwa aunganishe wizara na Cuba wafuate utaratibu...ikiwa ready wizara itatangaza na kumpa credit zake balozi bila hiyana ....alichofanya sio sawa....labda kama anataka KM nafasi i wazi.....
Au angewaunganisha wafanyabiashara wa dawa wa Tanzania na hao watengenezaji wa hizo dawa huko Cuba.
 
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.

Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.

Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?

Unless kuatakuwa na shida mahali
Watamhamishia Madagascar au Japan
 
Nishanunuaga dawa ya kupuliza/kuua viluilui vya wadudu wa mbuu hapo kibaha aise dawa si mchezo,
Najuwa hii issue ya dawa za wacuba hapo kibaha ni zengwe tu na hilo zengwe halijaanza leo
Kuna watu wanaona kama biashara zao zitaharibika
Nyie endeleeni kuleta siasa ila kwa sisi wengine kitambo tu tunajuwa namna ya kuzipata hizo dawa na kuzitumia kwa matumizi yetubinafsi
Na zinatusaidia

Ova
Kama kuna dawa ambazo ni nzuri zaidi kwanini awekewe vikwazo lengo letu ni moja kumtibu mtanzania katika aina bora zaidi ya dawa.
 
Back
Top Bottom