The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Rais kuwakilisha nchi.
Kwanini suala la dawa kutoka CUBA atangaze yeye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital?
Unless kutakuwa na shida mahali
Kwanini suala la dawa kutoka CUBA atangaze yeye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital?
Unless kutakuwa na shida mahali