Wazo nililopata kuhusu ajira

Wazo nililopata kuhusu ajira

Nakumbuka 2015 kuna dogo rafiki angu alikuwa analala nje kariakoo ila saivi ana duka la simu pale agrey kajitafuta kajipata yan hiyo miaka ni mingi ukiwa una ishue unafanya unaweza ukajipata masta aaah NOMA SANA MASTA
Kwel kabisaa..kwenye kipind kama hik better angekua anafanya kitu hata kwa udogo, 8 years angekua angalau ameshapata idea kwamba muelekeo wangu ni huu na sio ule
 
Hii ni common principle kwa watu ambao wan history za kupambana sana au kusahau walipotoka. Most of the people wenye mind hiz wanakufaga wapweke sana. Na wakifikisikaga wanapotea mazima.

Be exposed to other experience, enjoy it to the fullest
Sio wote kaka.
Mtu aliyejipambania alone kwale upwek hata sio kitu cha kumshangaza sana.Maana mpaka ujisimamishe kimafanikio ni lazima uwe ushakutana na uhalisia ambao ni fact kabisa kwamba life is all about choices..u cant get all, u have to choose bit in real sense hwez luwa mpweke ukiwa n pesa.Upweke ni mindset. Hakuna raha yotote kwenye ufukara na umasikini, wanaigiza tu.

Kwa mtu aliyejoambania akafanikiwa hakuna msamiati kwake unaoitwa HOFU. Watu hawa hawaogopi kabisaaa KUFIRISIKA maana they have come from 0, nothing yani. Mpaka kufika juu kashafirisika sanaaaaaa and trust me hawa watu huwa hawafirisiki na wakirisika wanajua namnanya ku bounce back, maana wanajitengezea mafanikio yao wenyewe, hawajabebwa kufika walipofika
 
Hao unaotaka kuwafata nao wana ndugu zao mtaani hawana hizo ajira!
Tatizo lako hutaki kukubaliana na uhalisia kwamba hizo ajira hazipo, wewe kichwani unawaza kwamba zipo na watu wanakubania tu!
Ila naona huu ni mwanzo tu, muda si mrefu graduates akili zitawakaa sawa na ndiyo utakuwa mwanzo wa kupiga hatua kufafikia maendeleo ya kweli!
 
Hao unaotaka kuwafata nao wana ndugu zao mtaani hawana hizo ajira!
Tatizo lako hutaki kukubaliana na uhalisia kwamba hizo ajira hazipo, wewe kichwani unawaza kwamba zipo na watu wanakubania tu!
Ila naona huu ni mwanzo tu, muda si mrefu graduates akili zitawakaa sawa na ndiyo utakuwa mwanzo wa kupiga hatua kufafikia maendeleo ya kweli!
Mkuu nitafanikiwa kweli Nijenge ninunue usafiri na nisomeshe wanangu shule nzuri kweli
 
Kutokana na changamoto ya ajira serikalini na private sector nimepata wazo la kwenda Kwa mkuu wa wilaya nikajieleze kule akishindwa nitaenda Kwa mkuu wa mkoa huko ikiwa shida nawaza niende utumishi na vyeti vyangu nikalie huko kwa watanzania wenzangu huenda wakanisaidia na Mimi nikaingia kwenye system.

Ikishindikana naenda Kwa Paul Makonda Ndo hayo tuu wakuu je, inawezeka wakanisikiliza maana ndo wazo langu Hilo limenijia wakati nipo kwenye meditation/tafakuri.

Natanguliza shukrani
Tuma ata kwenye email ya ikulu
 
Be in touch with right people
Ikiwa Umemaliza chuo since 2015 mpaka leo and you are already a singo Mama with no future with no progress

Unabidi kujaribu kubadilisha mindset kuhusu Ajira na kujaribu kuwekeza muda na Maarifa katika sekta binafsi na Biashara .


Kwakuwa umesoma unaweza kutumia Elimu yako kumshawishi mtu ili Akusapoti kupitia idea yako uliyonayo

In this this life sio lazima uwe serikalini ndo upate Maisha mazuri.

We are focus on Financial freedom and not to be employed with anybody else as to get job security

Kuwa makini Sana katika tafakuri zako mbalimbali.
 
Ni kweli, lakini pia kwa nini asiende kwenye Taasisi mbalimbali za private ama government ambazo zinahusika na masuala aliyo somea.zilizopo katika eneo lake akaomba kujitolea,ili kuongeza uwezekano wa kupata ajira pale zinapo tangazwa. Ingawa pia anaweza kulipwa nauli na posho ndogo ndogo akiwa anajitolea.
Mkuu kwa sasa kupata nafasi ya kujitolea ni kama kuomba ajira tu. Kama una connection mbili tatu msaidie apate iyo nafasi ya kujitolea
 
Nenda kwenye Redio yenye wasikilizaji wengi mfano Clouds FM, Wasafi FM, EFM, etc omba wakufanyie kipindi jieleze km ulivyojieleza kwenye mada yako hii omba watu wakupe kazi au ajira, watu wengi wanahitaji watu wakuwafanyia kazi Ila kuwafikia ndio mtihani ukiacha namba mchezo umeisha, hapo bado hujaelewa?
Huko redioni wanaenda wenye ulemavu wew Kama mzima unda tatizo Kisha sema umesoma watu ndo wakusaidie la sivyo hukubaliwi na media yeyote kueleza hio habari....au Kama vipi mwakani jiunge jkt kujitolea utapata stadi za maisha utajiajiri
 
Huko redioni wanaenda wenye ulemavu wew Kama mzima unda tatizo Kisha sema umesoma watu ndo wakusaidie la sivyo hukubaliwi na media yeyote kueleza hio habari....au Kama vipi mwakani jiunge jkt kujitolea utapata stadi za maisha utajiajiri
Siwezi kujitolea jkt nipo over 25
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom