Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,797
- 22,337
Yah true.Usipofanya hivyo hutoboi, wote waliotoboa kuna namna ya kudharirisha wamepitia na kujichoresha au kuchoreshwa Ila Mwisho wa yote wanakula Maisha
Maana ujue hata kuamua kufanya biashara na haukua na mpango huo before, unakua unaona kama unajichoresha hiv.. Nakumbuka wakat nimejiingiza kwenye ujasiriamali, kipengele cha kupata pesa ni inakulazimu ukauze, sasa kwenye marketing hapa yan nilikubali AIBU ZOTE nikawa TAYARI KUJICHORESHA ili mradi tu mtu akusikilize akikuelwa mtafanya kazi unapata angalau pesa. Otherwise, ni lazima uwe tayar kukubal na kumeza aibu il usogee hatua flan