Wazo nililopata kuhusu ajira

Wazo nililopata kuhusu ajira

Kutokana na changamoto ya ajira serikalini na private sector nimepata wazo la kwenda Kwa mkuu wa wilaya nikajieleze kule akishindwa nitaenda Kwa mkuu wa mkoa huko ikiwa shida nawaza niende utumishi na vyeti vyangu nikalie huko kwa watanzania wenzangu huenda wakanisaidia na Mimi nikaingia kwenye system.

Ikishindikana naenda Kwa Paul Makonda Ndo hayo tuu wakuu je, inawezeka wakanisikiliza maana ndo wazo langu Hilo limenijia wakati nipo kwenye meditation/tafakuri.

Natanguliza shukrani
Mm nikupe wazo kawaambie waajiri kuanzia waliomaliza chuo zamani kuja wa Sasa.
Wasichanganye wa Sasa na wa zamani, kwenye mtihani ni wazi kabisa mtu alietoka chuo hivi karibuni ni rahisi kukumbuka na kushinda mtihani wa usaili kuliko mtu wa zamani.
Najiuliza hivi kitengo Cha PSRS hakina watu wa research? Wanashindwaje kuwa wathubutu wa kubuni mbinu hizo mpaka sisi wa mtaani tunaliona hilo, hivi inaingia akilini kuita watu 1200 wanaowania nafasi 10 siyo kuwatia majaribu ya rushwa watendaji kazi wa psrs
 
Kuna watu wataniponda ila najua Kuna ushauri mzuri wadau wengine wametoa huko juu najua wenye uhitaji pia watautumia na watatoboa tuu
Mimi mwenye sina ajira kuliko nitafute misugar mummy Bora tutafute kazi karibu nipo mbezi africana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom