Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,360
- 91,912
SafiUsiache wazo lipite bila kulifanyia kazi.
Kama unaamini kile unacho kiwaza ndio kitakusaidia, basi hauna haja ya kuja kuomba ushauri.
Fuata wazo lako kwanza, kisha utaomba ushauri baada ya kupata matokeo ya wazo lako.