- Thread starter
- #41
Ndiyo mkuu maana najua humu watu wako wa aina tofauti tofauti huenda hata hao niliowataja wapo humu watanionaOkay, kwahiyo hapa umekuja kuuliza kama inawezekana ama haiwezekani...sindio![]()
Ndiyo mkuu maana najua humu watu wako wa aina tofauti tofauti huenda hata hao niliowataja wapo humu watanionaOkay, kwahiyo hapa umekuja kuuliza kama inawezekana ama haiwezekani...sindio![]()
Hamna kitu sijauza ni mtaji tuu ndo umeniishianjoo tuuze mihogo hapa stand
Unaishi mkoa Gani na wilaya Gani? Una idea Gani ya biashara ambayo inahitaji mtaji wa chini ya million 5?Mimi ni ke Sasa kuliko nikadange nife na magonjwa Bora niombe kazi
Naishi Arusha idea ya biashara niliyonayo ni kuuza chakulaUnaishi mkoa Gani na wilaya Gani? Una idea Gani ya biashara ambayo inahitaji mtaji wa chini ya million 5?
Siyo kwa huo utaratibu wa kwenda kwa mkuu wa wilaya au mkoa mkuu. Tumeona hata watu wahitaji ambao ni wagonjwa wanahitaji pesa hata laki mbili tu kwa ajili ya matibabu,huyo mkuu wa mkoa au wilaya hatoi hata mia. Atakusaidia kukupa barua ya utambulisho upite uombe mitaani.Usipofanya hivyo hutoboi, wote waliotoboa kuna namna ya kudharirisha wamepitia na kujichoresha au kuchoreshwa Ila Mwisho wa yote wanakula Maisha
DuuuhSiyo kwa huo utaratibu wa kwenda kwa mkuu wa wilaya au mkoa mkuu. Tumeona hata watu wahitaji ambao ni wagonjwa wanahitaji pesa hata laki mbili tu kwa ajili ya matibabu,huyo mkuu wa mkoa au wilaya hatoi hata mia. Atakusaidia kukupa barua ya utambulisho upite uombe mitaani.
Ndio maana nikamwambia nenda Redioni utapata msaada sio huko sijui kwa mkuu wa nini hupati kituSiyo kwa huo utaratibu wa kwenda kwa mkuu wa wilaya au mkoa mkuu. Tumeona hata watu wahitaji ambao ni wagonjwa wanahitaji pesa hata laki mbili tu kwa ajili ya matibabu,huyo mkuu wa mkoa au wilaya hatoi hata mia. Atakusaidia kukupa barua ya utambulisho upite uombe mitaani.
Ni kweli, lakini pia kwa nini asiende kwenye Taasisi mbalimbali za private ama government ambazo zinahusika na masuala aliyo somea.zilizopo katika eneo lake akaomba kujitolea,ili kuongeza uwezekano wa kupata ajira pale zinapo tangazwa. Ingawa pia anaweza kulipwa nauli na posho ndogo ndogo akiwa anajitolea.Ndio maana nikamwambia nenda Redioni utapata msaada sio huko sijui kwa mkuu wa nini hupati kitu
Sasa hio inategemea na yeye mwenyewe,Ni kweli, lakini pia kwa nini asiende kwenye Taasisi mbalimbali za private ama government ambazo zinahusika na masuala aliyo somea.zilizopo katika eneo lake akaomba kujitolea,ili kuongeza uwezekano wa kupata ajira pale zinapo tangazwa. Ingawa pia anaweza kulipwa nauli na posho ndogo ndogo akiwa anajitolea.
Basi sawa, endelea kusubiri tu mkuu..😊Ndiyo mkuu maana najua humu watu wako wa aina tofauti tofauti huenda hata hao niliowataja wapo humu wataniona
Ni responder mzuri mkuu???Mtafute mwanafa atakukonekti
Mfate dm kwenye page zake za social media zote,atakujibu
Ni kwel.Kwa mtu mpambanaji hawez kukujib shit za kijinga namna hii, atakuonea huruma kwanza, kisha atakushauri halaf kama hana cha kukusaidia angalau atakutia moyo ujione bado tumain lipoWaliobebwa bebwa ndio husemaga hivyo wanaona Mambo rahisi rahisi tu,
NimejiungaJiunge na mtandao wa ajiraportal. Huwa wanatoa ajira mara Kwa mara...Kuna rafiki yangu amebahatika kupitia huo mtandao
Umesema kwel, but hardship iko prolong kwa kipind kirefu ni rahis kukata tamaa, ni human nature, kuna wengine ambao tuliojaaliwa ku force more bila kujal ila kwa girls ni ngumu mkuu..asaidiweAcha kujidharilisha na kujichoresha. Usipende kutafuta sympathy mkuu. Anzia ulipo na pia anza na chochote kwa kujiajiri.
Noma sio kidogo chief..noma tani 5 yan hii mzee...2015 parefu sana bila kazi, sema ilibid awe ashakua sugu wa maisha kam ameweza ku survive kipind chooote hiki?. AsaidiweDaaah pole , 2015 mwanangu noma sana, Mungu atakuaimamia