Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

PharaohMtakatifu

JF-Expert Member
Jul 3, 2023
713
1,161
Salamu kamsalimie waziri wa Afya.

Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.

Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=

Inakuwaje mama mjamzito akijifungua mtoto wa kike atoe kiasi Cha pesa Tsh 15,000/= na akijifungua mtoto wa kiume atoe Tsh30,000/=

Je Ina maana Kuna utofauti Gani wakujifungua mtoto kike na wakiume? Ni kwamba dawa au huduma zinazo tumika Kwa mtoto wakiume ni kubwa mno kulinganisha na mtoto wakike?

Hii haikubariki sijasomea afya lakini Nasema huu ni utapeli na wizi wa waziwazi Kwa wanaNchi.

Haya ninayo yasema yanatokea katika kituo cha afya bugarama kilichopo wilaya ya kahama shinyanga. Ni baada ya jirani yangu kwenda kupata huduma alipoambiwa hayo ndipo akaja kuuliza kwangu hii Hali umeanza lini?

Tunahitaji Tamko rasmi kama serikali imeruhusu na kuyabariki yafanyike haya yote.

Ndg Wana jamvi na kwenu haya yanatokea?
 
Sio huko tu mkuu.
Hospitali nyingi wanauza kadi za clinic.
Nilishuhudia hii Chanika hospitali ya nguvu kazi. Wanaambiwa kadi zimeisha na kuelekezwa sehemu ya kwenda kununua, nje ya jengo la hospitali.
Hiyo inayonunuliwa imeandikwa "Haiuzwi'
Hii nchi kwa sasa ina ujinga mwingi wakutojali.
 
Salamu kamsalimie waziri wa Afya.

Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.

Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=

Inakuwaje mama mjamzito akijifungua mtoto wa kike atoe kiasi Cha pesa Tsh 15,000/= na akijifungua mtoto wa kiume atoe Tsh30,000/=

Je Ina maana Kuna utofauti Gani wakujifungua mtoto kike na wakiume? Ni kwamba dawa au huduma zinazo tumika Kwa mtoto wakiume ni kubwa mno kulinganisha na mtoto wakike?

Hii haikubariki sijasomea afya lakini Nasema huu ni utapeli na wizi wa waziwazi Kwa wanaNchi.

Haya ninayo yasema yanatokea katika kituo cha afya bugarama kilichopo wilaya ya kahama shinyanga. Ni baada ya jirani yangu kwenda kupata huduma alipoambiwa hayo ndipo akaja kuuliza kwangu hii Hali umeanza lini?

Tunahitaji Tamko rasmi kama serikali imeruhusu na kuyabariki yafanyike haya yote.

Ndg Wana jamvi na kwenu haya yanatokea?
Wewe Kwa nini ulitoa buku 10 badala ya kumripoti huyo mtumishi asiyekuwa mwaminifu?

Pia Nape atueleze inakuaje vocha imeandikwa 500 then inauzwa 600 Kwa maelezo ya kinyemela?

Mwisho kama gharama zinapanda taarifa itolewe,binafsi huwa sitoa kama ninajua hiyo gharama sio ya kulipia unless nihakikishiwe kwamba zimeisha na huwezi subiria Serikali Hadi ilete ndio wanapitia humo humo maana hapo utakuata karibu wateja wote wameuziwa huwezi kubisha.
 
Sio huko tu mkuu.
Hospitali nyingi wanauza kadi za clinic.
Nilishuhudia hii Chanika hospitali ya nguvu kazi. Wanaambiwa kadi zimeisha na kuelekezwa sehemu ya kwenda kununua, nje ya jengo la hospitali.
Hiyo inayonunuliwa imeandikwa "Haiuzwi'
Hii nchi kwa sasa ina ujinga mwingi wakutojali.
No ujinga Kwa Watanzania kuendelea kulalamika kana kwamba hamjui Ofisi za Viongozi au TAKUKURU.

Watumishi wasio waaminifu wako Kila sehemu ingawa kweli zinaweza kuwa zimeisha na Huduma lazima ziendelee hapo no way out maana mnazaana hovyo na Kwa Kasi sana kiasi kwamba mahitaji yanaongezeka Kwa Kasi kubwa
 
Salamu kamsalimie waziri wa Afya.

Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.

Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=

Inakuwaje mama mjamzito akijifungua mtoto wa kike atoe kiasi Cha pesa Tsh 15,000/= na akijifungua mtoto wa kiume atoe Tsh30,000/=

Je Ina maana Kuna utofauti Gani wakujifungua mtoto kike na wakiume? Ni kwamba dawa au huduma zinazo tumika Kwa mtoto wakiume ni kubwa mno kulinganisha na mtoto wakike?

Hii haikubariki sijasomea afya lakini Nasema huu ni utapeli na wizi wa waziwazi Kwa wanaNchi.

Haya ninayo yasema yanatokea katika kituo cha afya bugarama kilichopo wilaya ya kahama shinyanga. Ni baada ya jirani yangu kwenda kupata huduma alipoambiwa hayo ndipo akaja kuuliza kwangu hii Hali umeanza lini?

Tunahitaji Tamko rasmi kama serikali imeruhusu na kuyabariki yafanyike haya yote.

Ndg Wana jamvi na kwenu haya yanatokea?
Mimba sio dharula, ni maandalizi na unakaa na ujauzito miezi 9, changia huduma kwa maendeleo yako na afya ya mtoto wako, Watanzania tubadilike maana hakuna kitu cha Bure.
 
Sio huko tu mkuu.
Hospitali nyingi wanauza kadi za clinic.
Nilishuhudia hii Chanika hospitali ya nguvu kazi. Wanaambiwa kadi zimeisha na kuelekezwa sehemu ya kwenda kununua, nje ya jengo la hospitali.
Hiyo inayonunuliwa imeandikwa "Haiuzwi'
Hii nchi kwa sasa ina ujinga mwingi wakutojali.
Siku hizi hakuna kadi

Kuna vitabu
 
Back
Top Bottom