Waziri wa Fedha na Makamu wa Rais ni PhD holders wa uchumi. Tunakwama wapi?

Jana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala...
Naona kama hujuma inatendeka hapa
 
Jana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala....
Kunae kaukweli fulani hivi
 
Kusoma siyo kuelimika .

Ukitoa vyote ulivvyofundishwa ndo inabaki akili sasa jiulize wenye tatizo la akili wako wangapi?

Kwa hakika watawala wengi hawapendi wenye akili kuwa nao karibu ni wafanya biashara Tu ndiyo wanaowapenda wenye akili

Kusoma siyo kuelimika
 
Kuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?

Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?...
Ukishakuwa CCM lazima Utolewe kitu hiki Kichwani.

20210716_160047.jpg
 
Wana PhD ya "Economics", shida ni kuitafsiri hiyo "economics" kuwa "uchumi", maana bongo kwa ground tunahangaika na "uchumi" na sio "economy" iliyopo kwenye nadharia na makaratasi🤣🤸🐒
 
Kuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?

Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?....
Nani alikuambia kuwa na elimu kubwa au kuongoza darasani ndo kipimo cha akili au mafanikio katika maisha.Elimu nyingi za Afrika ni mwendo wa kukariri, ukimaliza mitihani baada ya wiki ukiulizwa hakuna unachojua. Elimu ni fursa ya kupata ajira kwa nchi za Afrika na wala sio kingine
 
Jana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala.

Juzi juzi katuambia bajeti imesha piata haiwezi kurekebishwa.

Tulisema simu nyingi, Mwingulu ni muuaji, sijali ni uuaji gani, ila hafai kuwa waziri. Hamtakii mema Mh. Samia Rais wa nchi. Mwigulu ana furahia Mh. Samia kufeli ili nae uchaguzi ujao achukue fomu.
Acheni uchonganishi...Mpeni mawazo chanya akiyakataa then mmuhukumu...
 
Kuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?

Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?

Makamu wa Rais ni PhD holder wa uchumi/fedha na Waziri wa Fedha ni PhD holder wa uchumi kutoka pale jalalani (nimemnukuu Kabudi).

Je, hawa wote wanashindwa mshauri Rais kweli?

Hivi na yule Mshauri wa Rais wa mambo ya uchumi yupo kweli?
Unawaonea bure mkuu, hivi ukishawahi kuona mwanasiasa mwenye akili angalau? Yaani kaa ukijua mtu hata awe Guru kwenye fani fulani akishaingia kwenye siasa akili nayo inahama kutoka kichwani kuingia tumboni... then what do u think?
 
Back
Top Bottom