Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,258
- 34,206
- Thread starter
- #21
Naona kama hujuma inatendeka hapaJana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala...