Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Mkuu kubebea ndiyo nini? Tumpe huyu mama muda afanye kazi tu halafu akishindwa muanze kuongea. Eti kuna wasomi waliobebea!!!!!! Haya huyo mwenye PHD ktk wizara ya elimu emefanya nini? Nasikia tena kuna prototyping ya kufanya shule zote za msingi zijifunze masomo yote ktk kiingereza! Jiulize, walimu wako wapi wa kufundisha ktk primary schools masomo yote ktk kiingereza! Jamani we have to be fair, huyu mama apewe muda afanye kazi yake.
kosa alilofanya huyu Dada ni sawa sawa na kughushi, (kuficha taarifa ambazo zita saidia umma au mamlaka husika kutolea maamuzi) sasa mtu mwenye mentality au character ya namna hiyo hafai kushika hazina yetu
 
Wamemuweka pale ili wawe wanakwiba public funds from treasury coffers with impunity. Huyu dada hana educational, political or professional background ya kuwa Waziri wa fedha wa Tanzania. It's unfathomable huyu dada aliyemaliza Form 6 1995, leo anakuwa bosi wa Gavana wa Benki kuu, Benno Ndulu.
 
NI shame kwa kweli

hata kama ni hujuma, basi hii imezidi
It's so sad!
I don't know and it leaves more questions than answers......................perhaps there's a rationale behind these nominations that you and I don't know. It would take 100 Nyani Ngabus or Kirangas to debunk Mr Kikwete's mystery nominations

Cc: Nyani Ngabu, Kiranga
 
attachment.php
 
very strange. huyi mdada is too junior kwa kweli kushika liwizara km lile. ni kigezo gani kimetumika kumteua? hizo mba dissertation zake huwa wanalipa wanafanyiwa wanasiasa hawa huwa hawana muda wa kusoma. lakin ukiacha hayo ni nini uzoefu wake na accomplishments zake ktk mambo ya kiuchumi, biashara na fedha.? hivi samweli luhanga ana washauri kweli?
 
Mi ni mmojawapo wa watu wasiounga mkono waziri kuwa mtaalamu kwenye masuala ya wizara anayoiongoza. Wataalam wabaki kuwa makatibu wakuu, wakurugenzi nk... Waziri afanye administration, sio utaalamu.
Tunashuhudia migogoro na utendaji usioridhisha wizara ya nishati kwa sababu waziri amefika pale anajifanya yeye ndio mjuaji kila kitu...
 
Huyu mama hatoshi katika nafasi yake, period. Kama ni uteuzi wa kisiasa kulenga gender equity au muungano, katika nafasi hii mamlaka ya uteuzi ilishauriwa vibaya.

Mbali na changamoto mbalimbali za uchumi wetu ambazo sidhani kama ataweza kukabiliana nazo, pia katika nchi yoyote ile kuelekea uchaguzi mkuu, uchumi wa nchi huyumba. Kwa taifa letu tunakabiliwa na hatari ya kupinduka kabisa.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Exactly my sentiments, Kuna wizara za kuleta siasa na kufanya Majribio, mfano wizara ya Michezo, wizara ya wanawake na jinsia etc.Wizara ya Afya ni moja kati ya Mihimili mikuu ya Nchi.
Leo hii vinchi viduchu kama Norway,Sweden etc vinasikilizwa dunia nzima kwa kuwa Uchumi wao si wa kubeza.nchi hata iwe kubwa kama DRC, kama uchumi wake wa hovyo hakuna atakayewasikiliza.

Sasa huyu ndugu yetu kaenda kutuwekea Student pale, tena student asiye na "any outstanding" talent kuipeleka nchi mbele. Hebu tujiulize, wakati wenzetu wanateua kina Nobel Laureattes wa uchumi as treasury secretaries sie tunamuweka mtu aliyeshindwa kwenda University through Direct entry. Seriously???
Some people just don't grasp how hard The mathematics in Economic theories are, they are the kind of Maths Engineers avoid, leo hii unampeleka bidada wa style hii kweli? sasa huyu akikutana na Kina Jacob Lew wataongea nini?si atabaki kushangaa tu huyu?

Waziri wa fedha ni kama CFO wa nchi, kuna standards anazotakiwa kuwa nazo, ndio maana kwenye private sectors unaambiwa huwezi kuwa CFO mpaka uwe na CPA etc etc,wanafahamu umuhimu wa hivi vitu.Huwezi kumuweka mtu aliyeunga unga diploma kuwa CFO wa a bilion dollar company. Tanzania tuna GDP ya 20-30 Billion, so most likely we are a very complex $20B company, how can this company finances be put on the hands of such a person?
 
Mi ni mmojawapo wa watu wasiounga mkono waziri kuwa mtaalamu kwenye masuala ya wizara anayoiongoza. Wataalam wabaki kuwa makatibu wakuu, wakurugenzi nk... Waziri afanye administration, sio utaalamu.
Tunashuhudia migogoro na utendaji usioridhisha wizara ya nishati kwa sababu waziri amefika pale anajifanya yeye ndio mjuaji kila kitu...

Tabia binafsi ya waziri Muhongo isiwe ni kipimo cha Kukataa wataalamu kuongoza wizara wenye utaalamu nazo.kuna wizara unaweza kuwaachia watendaji watoe direction na kisiharibike kitu. Sio Wizara ya fedha.ukitazama kwa haraka huyu bidada pale wizarani yeye ni muweka sahihi tu, pale inapobidi, hana weledi wa kutoa monetary advisory.
 
ona wagonjwa walivyo na kazi kwenye taifa hili wewe bila kukazaniwa dawa siyo mwenzetu kabisa wahi kwa sangoma haraka.

Mim ninafikiri hii nchi imekwisha na sababu ni soga na kiherehere tu. people are not working ni kushauri na kuingia kwenye mitandao kutafuta elimu za wengine! Niambie mtu mwenye duka lake, mtu mwenye kakiwanda kake na wengine wa namna hii hwana nafasi ya kuanza kuwaongelea watu ambao wameteuliwa sasa na hawana hata week 2 ofisini! We have to be fair! Huyu mama muacha achape kazi ndiyo maana kuna wasaidizi wake hii ni pamoja na PS na Junior minister etc! Kazi itafanyika tu wewe let us give her time na mtaona tu! Mimi ninaona kuna na kawivu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwa hiyo mawaziri wote niwanafunzi huyo mama na nchemba. sasa watajigawaje hawa linchi lenyewe ndo linamatatizo kuliko kawaida
 
Shahada ya kwanza kasoma wapi huyu anti? Yaani kutoka diploma hadi Masters????? Majanga.

Itakua 'alichana sana pepa' wakamvusha 'madarasa'

Dah, Mh. Mkuya ni vile hawezi kusema tu, yeye mwenyewe haamini kawekwa Li-wizara lile!

Cheki anavoenda kupigwa 'tobo',kuna wataalam wa kupiga dili pale na experience zao yeye anaenda na 'first-class-diploma-uzoefu-baadae'? Yetu macho!
 
Kwa hiyi mheshimiwa waziri anafanya internship wizara ya fedha? coz phD ni demanding course, atagawaje muda wake ili kuivusha nchi hii? wizara hii ni nyeti mtu hawezi kwenda kufanyia filed practical au intern.

....hahah.....na Nchemba anye alisema anafanya PhD....kwa hiyo Malima yuko peke yake kuongoza Wizara.....hii Wizara ni rahisi sana kuiongoza aisee.....
 
Sina ugomvi na profesa kama angepewa hicho cheo which I think would make helluva sense to have Lipumba as a Treasury secretary for this great country.
i think profesa ameshajichanganya sana na siasa za nchi kiasi kwamba anakosa sifa za kuaminika, na makundi muhimu nchini,
kwani naye amejichimbia kwenye makundi fulani nchini (kwani pengine hata wewe unamkubali kwa kuangalia kundi lake alipojichimbia), kimsingi yule hata urais haumfai tena, hata yeye binafsi ameshalijua hilo.
hivyo amepoteza uwezo mkuu, anafaa kuendelea kutoa lekcha vyuoni na kuvaa joho na kutunukuu graduates vyeti siku za graduation, ili wale anaowatengenezea njia waje kumwongoza. aliyechaguliwa ananafuu
 
Exactly my sentiments, Kuna wizara za kuleta siasa na kufanya Majribio, mfano wizara ya Michezo, wizara ya wanawake na jinsia etc.Wizara ya Afya ni moja kati ya Mihimili mikuu ya Nchi.
Leo hii vinchi viduchu kama Norway,Sweden etc vinasikilizwa dunia nzima kwa kuwa Uchumi wao si wa kubeza.nchi hata iwe kubwa kama DRC, kama uchumi wake wa hovyo hakuna atakayewasikiliza.

Sasa huyu ndugu yetu kaenda kutuwekea Student pale, tena student asiye na "any outstanding" talent kuipeleka nchi mbele. Hebu tujiulize, wakati wenzetu wanateua kina Nobel Laureattes wa uchumi as treasury secretaries sie tunamuweka mtu aliyeshindwa kwenda University through Direct entry. Seriously???
Some people just don't grasp how hard The mathematics in Economic theories are, they are the kind of Maths Engineers avoid, leo hii unampeleka bidada wa style hii kweli? sasa huyu akikutana na Kina Jacob Lew wataongea nini?si atabaki kushangaa tu huyu?

Waziri wa fedha ni kama CFO wa nchi, kuna standards anazotakiwa kuwa nazo, ndio maana kwenye private sectors unaambiwa huwezi kuwa CFO mpaka uwe na CPA etc etc,wanafahamu umuhimu wa hivi vitu.Huwezi kumuweka mtu aliyeunga unga diploma kuwa CFO wa a bilion dollar company. Tanzania tuna GDP ya 20-30 Billion, so most likely we are a very complex $20B company, how can this company finances be put on the hands of such a person?

Na kwa kweli "time will tell" kwamba uteuzi huu una malengo maalum au ni katika kuimarisha mambo fulani.

Dada Saada Mkuya hana kosa kuteuliwa kushika nafasi hio ya juu kabisa ambayo huko nyuma imewahi kushikwa na watu kama Cleopa Msuya, ma-Profesa Kighoma Malima (marehemu)na Simon Mbilinyi.

Bila shaka ndio maana uteuzi huu umetangazwa na Waziri Kiongozi Ombeni Sefue kuepuka hadhira ambayo imechanganyikiwa. Lakini tatizo ni kwamba wizara hiyo si wizara ya kujisahau

Kuna mikutano na Mhasibu mkuu bwana Utto,BOT, World Bank, IMF na vyombo vya kimataifa vinavotoa misaada kwa Tanzania.

Je dada Saada anakuja na mambo gani mapya wizarani hapo panapoitwa hazina na je washauri wake ni walewale walokuwa wakiwashauri mawaziri waliobobea katika masuala ya uchumi au watabadilishwa kulingana na level yake?

Mimi nimetumia vigezo nilivyotoa na sikuzungumzii masuala ya usawa, ntaaangalia kwa makini utendaji wa dada yetu katika kila eneo la mfumo wa uchumi wetu maana hata mkaguzi wa serikali bwana Utto amesema kwamba serikali ipo hoi na gavana wa BOT anasema serikali haina fedha na inazidi kukopa pesa kutoka kwenye mzunguko.

Na ndio maana bei ya umeme, mafuta na vyakula inapanda kila baada ya muda kuelekea 2015, bila kusahau jinsi dada yetu na mwenzie Janeth Mbene walivyosimamia suala la SIM Card.

Tunasubiri na watanzania wa sasa tupo macho.
 
Mim ninafikiri hii nchi imekwisha na sababu ni soga na kiherehere tu. people are not working ni kushauri na kuingia kwenye mitandao kutafuta elimu za wengine! Niambie mtu mwenye duka lake, mtu mwenye kakiwanda kake na wengine wa namna hii hwana nafasi ya kuanza kuwaongelea watu ambao wameteuliwa sasa na hawana hata week 2 ofisini! We have to be fair! Huyu mama muacha achape kazi ndiyo maana kuna wasaidizi wake hii ni pamoja na PS na Junior minister etc! Kazi itafanyika tu wewe let us give her time na mtaona tu! Mimi ninaona kuna na kawivu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Credible and impeccable credentials combined with a proven track record and experience do matter the most especially if you lead a highly sensitive department/ministry like Treasury/Ministry of Finance, not only in Tanzania but any country under the sun. There are tons of things that are at stakes here that can directly impact the future economic outlook of this great nation of ours (which is already very fluid).
To make the matters even worse look at her deputies and what they bring up to the table, then you will realize why people like prof. Lipumba or other concerned wananchi who know it very well already got spooked by this mystery nomination
 
Na kwa kweli "time will tell" kwamba uteuzi huu una malengo maalum au ni katika kuimarisha mambo fulani.

Dada Saada Mkuya hana kosa kuteuliwa kushika nafasi hio ya juu kabisa ambayo huko nyuma imewahi kushikwa na watu kama Cleopa Msuya, ma-Profesa Kighoma Malima (marehemu)na Simon Mbilinyi.

Bila shaka ndio maana uteuzi huu umetangazwa na Waziri Kiongozi Ombeni Sefue kuepuka hadhira ambayo imechanganyikiwa. Lakini tatizo ni kwamba wizara hiyo si wizara ya kujisahau

Kuna mikutano na Mhasibu mkuu bwana Utto,BOT, World Bank, IMF na vyombo vya kimataifa vinavotoa misaada kwa Tanzania.

Je dada Saada anakuja na mambo gani mapya wizarani hapo panapoitwa hazina na je washauri wake ni walewale walokuwa wakiwashauri mawaziri waliobobea katika masuala ya uchumi au watabadilishwa kulingana na level yake?

Mimi nimetumia vigezo nilivyotoa na sikuzungumzii masuala ya usawa, ntaaangalia kwa makini utendaji wa dada yetu katika kila eneo la mfumo wa uchumi wetu maana hata mkaguzi wa serikali bwana Utto amesema kwamba serikali ipo hoi na gavana wa BOT anasema serikali haina fedha na inazidi kukopa pesa kutoka kwenye mzunguko.

Na ndio maana bei ya umeme, mafuta na vyakula inapanda kila baada ya muda kuelekea 2015, bila kusahau jinsi dada yetu na mwenzie Janeth Mbene walivyosimamia suala la SIM Card.

Tunasubiri na watanzania wa sasa tupo

macho.
Baada ya kumsikia Prof. Lipumba akihoji uteuzi huu nikizingatia mahusiano yake na JK na mahusiano ya CCM na CUF nimejua wazi Watanzania tumeuziwa mbuzi ktk gunia!
 
Back
Top Bottom