Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Hahahah elimu ya Zanzibar kisha kaenda abroad Malaysia!!! (Kwa wale wenye ndugu walio/wanaosoma huko ni mashahid wa kiwango), kisha distance learning! Maumivu ya kichwa huanzia hapo hapo! Hahahah msomi! Wazazi wanafurah kuona watoto wao wanaongea english nyumban!! ila hakuna kitu!

Angenyamaza angeheshimika zaid!!

Mkuu nimecheka sana na hayo maumivu ya kichwa na mambo ya distance learning! !!
No wonder huyu mama alificha kuanika amesoma wapi
 
Mdada mwenyewe keshasema kwa mdomo wake kama ilivyonukuliwa na Mshino hapo juu. Kwa ufupi elimu yake ni: A level+Diploma+Diploma masafa+Master masafa/huria + PhD masafa (anaihangaikia). Namshauri thesis yake ya PhD iwe na uzamifu kuchunguza uchumi wa nchi yetu: Kwa kuwa Tanzania ni nchi tajiri sana kwa raslimali, kwa nini watu wake wengi ni masikini wa kutupwa na uchumi wake wa kuombaomba? OOoohh my God, nami ngoja nijiandikishe mapema shahada masafa nipate digrii za ubwete: Masters (uwiano wa petrol na gas )+PHD (Crude oil and Gold) ili mwaka 2015 niwe Waziri wa Mafuta, Gas na Madini, au Mama OPEC, mutajibeba!!!

kwa kwa kwi kwi tehe tehe tehe huyu mama asipokimbia ofisi sijui
 
Kwa vyovyote Hutu mama alichonga vyeti. Miaka ailiyosoma na vyeti alivyopata na vyuo vya kusema kwa njia ya mitandao mwanza I kwa miaka ya 2000 insatiable Shaka sana. Inapaswa wateuzi wawe wanajiridhisha na kutumia mash inert zilizopo kupata taarifa sahihi
 
Hivi mtu akiwa na diploma mbili za kawaida ana fuzu kusomea degree ya uzamili? Mi nilidhani lazima awe na Advanced Diploma au Bachelor Degree! Mwenyezi MUNGU aturehemu, hivi vyeo vya kishikaji vitaimaliza nchi yetu.
 
This is just silly! kwani Mawaziri ambao wamekuwa wakiunderperfom hawakusoma sana au hawakusoma vyuo vizuri? Na watendaji kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaboronga ni kwa sababu hawana "impressive CVs"?
 
Mkuu nimecheka sana na hayo maumivu ya kichwa na mambo ya distance learning! !!
No wonder huyu mama alificha kuanika amesoma wapi

Tusidharau distance learning hata kidogo, ni shule tosha kabisa na mtu anaweza akawa mtaalamu kwa kusoma kwa njia hiyo. Pamoja na hayo bado, nami naona CV ya dada yetu Saada Mkuya ni nyepesi mno kupewa majukumu aliyopewa. Ingawa wepesi wake hautokani na kusoma through distance, bali hana uzoefu unaoeleweka vizuri wa uongozi na vilevile hana achivement anayoweza kujivunia kama mtaalamu wa fedha, uchumi au biashara.
 
Uyu mama naye ana matatizo, ndio elumu gani iyo. Nafikiri mwigulu ndio atakuwa anatoa command.. mchezo mchafu sana huu mzee kikwete... kwanini hukunitafute nikupe mtu maridadi....

Tatizo la Tanzania TISS iko bize na CDM, haina muda wa kumshauri raisi. Na hata akishauriwa atasema " akili ya kuambiwa ongeza na ya kwako". Matokeo yake ndo tunapata akina MKUYA na MWIGULU.
 
Ni aibu na inauma sana kupeleka CV kama hiyo wizara nyeti kama hiyo. Alikuwa na kipi cha zaida hata kupelekea kuteuliwa kuwa mbunge ili apewe uwaziri? Je, ni elimu yake? ni uzoefu wake? NI NINI HASA?????

Acha hizo, we huoni ni MREMBO?
 
Hivi lipumba vyeti vyake vimesaidia nini taifa hili make chama chenyewe kimekufa anachokiongoza leo anaanza kugombana na kubishana na watoto wa kike huyu mzee vipi kumbe kuwa na kichwa kikubwa siyo upeo wa mawazo.

Dah katika pumba nlizowah ona hapa yako ina make headline yan we unamponda Lipumba kuwa ellimu yake imesaidia nini nchi badala ya kuponda Serikali yako kwanini hwamtumii huyu mtu kama hujui Lipumba ni miongoni mwa wanauchumi 10 duniani lakini anatumiwa na mataifa mengine dunian hapa hawamtumii eti kwa kuwa ni wa chama pinzani. akili za kiongozi mkuu SAMUEL LUHANGA na zako haztofautian huwa hampend kuishughulisha akili
 
Huu hapa mtihani kwa wana JF, kati ya nchi hizo nne za Scandinavia, kwa kuchambua mabadiliko ya GDP kati ya mwaka 2000 na 2007; ni nchi gani inaelekea kwenye economic crisis?? Atakayepatia basi akaombe nafasi ya kuwa mshauri wa wizara yetu ya fedha, au waziri kabisa!!! Kazi ni kwenu!!

Comparative Economic Analysis.png
 
Kumbe nilikuwa na kila sababu ya kupuuza habari ile. Ina maana source ya Lipumba ilikuwa Tovuti ya Bunge na si kwamba alifanya utafiti na kugundua bi mdada elimu yake ni full magumashi?

kwasababu we ni mpuuzi lazima upuuze unajua kama mbunge ameamua kuweka CV yake kwny tovut ya bunge ujue ndo ukweli wake wote uko hapo ulitaka akatafute wap ukweli?? shughlisha akili yako kwani alichoongea lipumba na huyo dada Mukya kuna tofaut we umeelewa education background yake??
 
Lipumba alikuwa msaidizi wa raisi mwinyi wa maswala ya uchumi na mtakumbuka inflation ilifikia ngapi. Nadhani mzee alitumaini kukumbukwa kama jamaa zake kule znz. Anahasira kweli. Tunamwelewa. Haisaidii. Akifanya nchezo mama huyu atamwadhiri kwa hoja. Ni tabia ya wasomi wengi kuringia vyeti bila ufanisi. Mbona katika mawaziri mizigo ni wasomi wazuri sana?
 
Huyu Mkulu naye ni mzururaji sana! haiwezekani wote wawili wawe wanachukua PHD halafu awape kitengo sensitive kama kile!!? What a hilarious move!!:angry:
 
Huu hapa mtihani kwa wana JF, kati ya nchi hizo nne za Scandinavia, kwa kuchambua mabadiliko ya GDP kati ya mwaka 2000 na 2007; ni nchi gani inaelekea kwenye economic crisis?? Atakayepatia basi akaombe nafasi ya kuwa mshauri wa wizara yetu ya fedha, au waziri kabisa!!! Kazi ni kwenu!!

Denmark & Iceland (.. sorry ila sitaki uwaziri Mama Mdogo)
 
Huko Scotland huenda alienda kujifunza ung'eng'e tu. Maana Babu yangu hupata shida sana kumsiliza huyu binti. Ebu avipeleke vyeti hivyo pale TCU wavihakiki, make kugushi mmezidi (Hapa namlaamu sana Bwambo, mzee wa Magumashi)!! Hadi tovuti ya Bunge ikusahau!! Kuna walakini ktk vyeti tu!! Afu experience yako bado zero sn kuongoza hiyo Wizara. Ama kweli uongozi wa JK nimeona Mengi mf MULUGO, MULONGO (kitu cha Arusha), na huyu pia. JK tuonee huruma jameni.
 
Sawa, sasa turudi kwa huyo Lipumba! Kakaaa darasani kuanzia darasa la kwanza, probably hadi PhD na wala hakuna ubishi hata kidogo kwamba ni miongoni mwa wasomi wachache kabisa nchini ambao wana shule ya haja! Now tell me, kama hicho ndo kigezo; vyeti hivyo vya kutisha na visivyo na shaka hata chembe vina-reflect mafanikio yake ndani ya CUF? I mean, is there any correlation kati ya qualification zake na ufanisi wa CUF? Manake ninachoona mimi ni kwamba ameshindwa hata na Mbowe mwenye Form VI failure! Manake ninavyoona mimi ameshindwa hata na CUF ya Maalim Seif kule visiwani!

Unataka kusemaje sasa???!!!!
Ulitaka CUF wawe na kiwanda cha cement au vipi???!!

Alilosema ndio hili linaendelea kujadiliwa sasa na tutajua mengi tu!!!!!!!
 
Back
Top Bottom