Context!
Nimesoma mifano yoooote anayoijaribu kuhusosha cdm na vuama vingine kuwa kwa nini wasiitwe ccm B balo ni cuf tu nikaona ni mifano tofauti kabisa km kuteuliwa kuwa member wa kamati fulani, hii italingana na kuwa waziri wa serikali smz kweli? Au makamu wa rais?
Kihusishwa na uccm B kunakuja na mantiki kuwa hiyo serikali inatekeleza ilani ya chama kipi??
Jahazi moja vipi nahodha wawili, au wanapeana zamu.
Cuf inaisimamiaje serilali ilihali na yenyewe imo?
Duni angejikita ktk hili
Mkuu unafikiri kuna dhambi ndogo na kubwa? Hivi sasa unamsikia Baregu akipiga miayo? acha wewe, unajua anavuna shilingi ngapi kwa siku? Subirini tu akimaliza kazi hiyo ya katiba atatangaza kurudi CCM.