Shelisheli
Senior Member
- May 13, 2011
- 178
- 27
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Harison Mwakyembe amejikuta katika wakati mgumu katika ziara yake ya kushtukiza alyoifanya katika kituo cha mabasi Mwenge.
Waziri huyo alifika maeneo hayo na kuanza kuamrisha madereva wa mabasi yanayofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo waondoe mabus hayo kwa sababu sio mahali stahili.
Aliwaamrisha wayapeleke mcus hayo katika kituo cha Makumbusho kama ambavyo imeandkwa kwenye magari yao.
Ndipo madereva, makondakta pamoja na wapga debe walipomjia juu na kumwambia kuwa serikali imefanya ufisadi wa kuuza eneo la makumbusho ambako hvi sasa panajengwa Ghorofa.
Madereva hao waliskika wakisema kuwa wamechoshwa na ubabaishaji unaofanywa na serikali ya CCM.
Madereva hao walisema kuwa hawaondoki eneo hlo hadi hapo watakapopatiwa eneo jngne ambalo linatakiwa.
"Haiwezekani kila siku tunalipia ushuru hapa halafu leo unakuja kusema kuwa si sahii. Hakikisheni kuwa kituo cha makumbusho kinarekebishwa ndipo sisi tuende huko" Aliskika mmojawapo wa madereva hao.
Palitokea mzozo mkali wa maneno baina ya Waziri Mwakyembe na vijana hao wanaofanya kazi katika daladala hzo.
Mwishoni kabisa waziri Mwakyembe alisikika akisema "Suala la eneo la Makumbusho nimelisikia na nitalifanyia kazi"
mwishoni ikabidi awpe number za simu ili awasiliane nao ndpo akaamua kuondoka kwa aibu bila kuacha maagzo yoyote
My Take: Napenda viongozi wasipende kufanya ziara ya kushtukiza bila kufanya uchunguzi kwanza kupitia wawakilishi.
Chanzo Cha Habari ni Mimi mwenyewe nilikuwepo eneo la tukio..
Waziri kuzungumza na wapiga debe wapi na wapi? Hana watendaji wa chini, je vijana walioranduka na mibangi wanayovuta wangeamua kumpa kisago si angewasumbua FFU na kuongeza overhead cost kwa jeshi la polisisiem? Hizo ni sifa za kijinga, asome budget then aende kwenye utekelezaji tumechoka na maneno matupu ya magamba, mwenzie Magufuli kila mwaka anasoma kilomita lukuki lakini tunapigwa vumbi tu huku kitaa. Heri nchi ipate janga la Tsumani kuliko hili janga la CCM
Ni kweli mkuu ni bangi na visuruali vyao vifupi Pamoja na kahawa waliyobugia
Kwa jinsi source ilivyo, unaweza kusema Mwakyembe hakujiandaa.
Lakini ni vigumu kujua utashi wa visit yake maana kuna mtu kasema alikuwa anaongelea
mpaka kuhusu nauli sasa ni vigumu kujua ukweli je alienda kuwafukuza kweli ama
kuna vitu alitaka kujua!
Mbona sijaona sehemu aliyoshushuliwa hapa. Zaidi wamempatia ukweli kwa ajili ya kuufanyia kazi. Ili kama kuna mtu aliuziwa kituo chao pale Makumbusho then Mwakyembe anatakiwa afuatilie na kuwapatia ufumbuzi...tuache ushabiki wa kijinga.
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Harison Mwakyembe amejikuta katika wakati mgumu katika ziara yake ya kushtukiza alyoifanya katika kituo cha mabasi Mwenge.
Waziri huyo alifika maeneo hayo na kuanza kuamrisha madereva wa mabasi yanayofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo waondoe mabus hayo kwa sababu sio mahali stahili.
Aliwaamrisha wayapeleke mcus hayo katika kituo cha Makumbusho kama ambavyo imeandkwa kwenye magari yao.
Ndipo madereva, makondakta pamoja na wapga debe walipomjia juu na kumwambia kuwa serikali imefanya ufisadi wa kuuza eneo la makumbusho ambako hvi sasa panajengwa Ghorofa.
Madereva hao waliskika wakisema kuwa wamechoshwa na ubabaishaji unaofanywa na serikali ya CCM.
Madereva hao walisema kuwa hawaondoki eneo hlo hadi hapo watakapopatiwa eneo jngne ambalo linatakiwa.
"Haiwezekani kila siku tunalipia ushuru hapa halafu leo unakuja kusema kuwa si sahii. Hakikisheni kuwa kituo cha makumbusho kinarekebishwa ndipo sisi tuende huko" Aliskika mmojawapo wa madereva hao.
Palitokea mzozo mkali wa maneno baina ya Waziri Mwakyembe na vijana hao wanaofanya kazi katika daladala hzo.
Mwishoni kabisa waziri Mwakyembe alisikika akisema "Suala la eneo la Makumbusho nimelisikia na nitalifanyia kazi"
mwishoni ikabidi awpe number za simu ili awasiliane nao ndpo akaamua kuondoka kwa aibu bila kuacha maagzo yoyote
My Take: Napenda viongozi wasipende kufanya ziara ya kushtukiza bila kufanya uchunguzi kwanza kupitia wawakilishi.
Chanzo Cha Habari ni Mimi mwenyewe nilikuwepo eneo la tukio..
Habari umeweka kinafiki,wewe lazima utakua gwandaz.
Liwalo na Liwe!!!!!!!!!!!!!!!huu nao ni upepo tu utapita.........
Habari umeweka kinafiki,wewe lazima utakua gwandaz.
Kwa hiyo Mwakyembe anamwiga Mrema sivyo!!! Abuni mbinu yake mwenyewe sio kuigaiga yatamshinda.Amefanya vizuri kwenda kujionea hali halisi. Kwa nchi ilipofikia kila mbinu inatakiwa kutumika. Sio kuweka strategy tu na kukaa ofisini, utapewa taarifa feki. Kila linalowezekana kulifanya kwa stahili yoyote lifanyike hali mradi lina maslahi kwa nchi yetu. Kwani kwenda pale Mwenge amepoteza nini? Wangapi wamepita kwenye wizara hii hawajawahi hata kunusa hiyo kero ya mwenge kwa pua yao? Kushitukiza kunasaidia kupata hali halisi. Tumpongeze kwa alichokifanya badala ya kumponda. Hebu tuwe wakweli na halisi. Wangapi wame-apply management za vitabuni na zimefeli? Tusilete management za vitabuni kwenye nchi kama hii ambayo imeoza kwa ufisadi. Hata Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitumia approach tofauti ktk uongozi wake na alikuwa anafanikiwa sana. HEKO DR MWAKYEMBE, MUNGU AKUPE NGUVU ZAIDI ZA KUTUMIKIA WATANZANIA KADIRI ATAKAVYOKUWEZESHA>
If this thing is true hii sasa ni Lipua Lipua Show if not Orchestra...
Hilo la watu wa Bagamoyo kupaki hapo mbona dogo. Hivi hajanona makubwa hapo Mwege. Ukiwa kituo cha Mabasi Mwenge unashindwa kutofautisha kati ya kituo cha basi na siku ya gulio Katerero.
Ni aibu kubwa mno. Hakuna njia, hakuna mahali pa magari kupaki. Vibaka kibao. Mwenge Bus stop is more than a disaster na a serious show down of uzembe na ufisadi katika masuala ya mipango miji.
Kuna ufisadi mkubwa sana pale hasa katika collections. Ikifanyika stori ya uchunguzi hapo kutaibuliwa masuala ya ajabu. Naona Richard Makore wa Nipashe amekuwa akijaribu kugusa gusa. Asonge mbele. Watu wanafanya collection kubwa pale bila kulipa kodi hata thumuni...
Ok huko Makumbusho nako mbona kulishaharibika siku nyingi. Mtanzania waliandika stori hiyo zaidi ya miaka miwili iliyopita. Londa, aliyekuwa Meya wa Kinondoni (kumbuka kesi ya Londa na Makamba Vs Halima Mdee, Kamati ya Kanuni, Kinga na Madaraka ya Bunge) alihusishwa katima hilo deal. Hakuna hatua iliyochukuliwa.
Back to Mwakyembe, if this report is true kuwa ulikuwa pale na kilichoandikwa ndicho kweli kimejiri, can't u plz do a little research. Usisahau kuwa serikali yako imeoza kama mti wa mbuyu, ambao unakuwa umeoza ndani kote, lakini kwa nje unaonekana mkuuuuuuuuuuuubwa, ni suala la time to ya wawindaji kuugusa hata kwa bahati mbaya tu unaanguka.
Hilo la Mwenge mbona ni show ndogo tu kati ya shows nyingi na kubwa zinazodhihirisha kuwa u have failed this nation almost in every walks sphere of life, elimu, afya, maji, miundombinu, n.k, halafu eti muendelee kuaminiwa kuongoza! What.
Poleni Watanzania.
Waziri kuzungumza na wapiga debe wapi na wapi? Hana watendaji wa chini, je vijana walioranduka na mibangi wanayovuta wangeamua kumpa kisago si angewasumbua FFU na kuongeza overhead cost kwa jeshi la polisisiem? Hizo ni sifa za kijinga, asome budget then aende kwenye utekelezaji tumechoka na maneno matupu ya magamba, mwenzie Magufuli kila mwaka anasoma kilomita lukuki lakini tunapigwa vumbi tu huku kitaa. Heri nchi ipate janga la Tsumani kuliko hili janga la CCM
Mnafiki,mzandiki na una ushabiki wa kimagamba,nyambafu!!!Habari umeweka kinafiki,wewe lazima utakua gwandaz.