CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Mimi nilikuwepo eneo la tukio mpaka saa tatu, ni kukosa la kuandika kudai kashushuliwa wakati alikuwa anathibitisha moja ya kero zinazowakabili waendesha daladala. Kwanza Dr. Mwakyembe alikuwa anakagua nauli kama zinatozwa halali, mbona hilo hauongelei?
Sasa naanza kuelewa akili za baadhi ya watu wanaotaka ionekane mazuri yanafanywa upinzani tu, na sio CCM. Na hii ni dalili ya uroho wa madaraka na si nia ya dhati kutatua kero za wananchi
Sasa naanza kuelewa akili za baadhi ya watu wanaotaka ionekane mazuri yanafanywa upinzani tu, na sio CCM. Na hii ni dalili ya uroho wa madaraka na si nia ya dhati kutatua kero za wananchi