Waziri Mwakyembe ashushuliwa.

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Harison Mwakyembe amejikuta katika wakati mgumu katika ziara yake ya kushtukiza alyoifanya katika kituo cha mabasi Mwenge.

Waziri huyo alifika maeneo hayo na kuanza kuamrisha madereva wa mabasi yanayofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo waondoe mabus hayo kwa sababu sio mahali stahili.

Aliwaamrisha wayapeleke mcus hayo katika kituo cha Makumbusho kama ambavyo imeandkwa kwenye magari yao.

Ndipo madereva, makondakta pamoja na wapga debe walipomjia juu na kumwambia kuwa serikali imefanya ufisadi wa kuuza eneo la makumbusho ambako hvi sasa panajengwa Ghorofa.

Madereva hao waliskika wakisema kuwa wamechoshwa na ubabaishaji unaofanywa na serikali ya CCM.

Madereva hao walisema kuwa hawaondoki eneo hlo hadi hapo watakapopatiwa eneo jngne ambalo linatakiwa.

"Haiwezekani kila siku tunalipia ushuru hapa halafu leo unakuja kusema kuwa si sahii. Hakikisheni kuwa kituo cha makumbusho kinarekebishwa ndipo sisi tuende huko" Aliskika mmojawapo wa madereva hao.

Palitokea mzozo mkali wa maneno baina ya Waziri Mwakyembe na vijana hao wanaofanya kazi katika daladala hzo.

Mwishoni kabisa waziri Mwakyembe alisikika akisema "Suala la eneo la Makumbusho nimelisikia na nitalifanyia kazi"
mwishoni ikabidi awpe number za simu ili awasiliane nao ndpo akaamua kuondoka kwa aibu bila kuacha maagzo yoyote

My Take: Napenda viongozi wasipende kufanya ziara ya kushtukiza bila kufanya uchunguzi kwanza kupitia wawakilishi.

Chanzo Cha Habari ni Mimi mwenyewe nilikuwepo eneo la tukio..

cheap popularity! Kwani matatizo yako Mwenge tu? The whole country hakuna kituo kisichokuwa na matatizo. Sasa waziri atavitembelea vyote? Ameona aende Mwenge kwasababu kutakuwa na mwangwi mkubwa! Kama waziri angetoa strategies za ku-improve huduma ktk vituo kutokana na uhitaji, na akafuatilia utekelezaji wake. Kama kweli alikuwa na nia ya dhati, tunategemea imediately effects za ziara yake hiyo ikiwa nipamoja na kuwajibisha wote waliozembea wajibu wao.
 
Waziri kuzungumza na wapiga debe wapi na wapi? Hana watendaji wa chini, je vijana walioranduka na mibangi wanayovuta wangeamua kumpa kisago si angewasumbua FFU na kuongeza overhead cost kwa jeshi la polisisiem? Hizo ni sifa za kijinga, asome budget then aende kwenye utekelezaji tumechoka na maneno matupu ya magamba, mwenzie Magufuli kila mwaka anasoma kilomita lukuki lakini tunapigwa vumbi tu huku kitaa. Heri nchi ipate janga la Tsumani kuliko hili janga la CCM

kuvimbiwa vibaya sana,ona huyu mpuuz anavyocheua,harufu mbaya! Unapozungumzia mwakyembe au magufuli ktk nchi hii,unazungumzia majembe pekee ktk nchi hii.acha ushabiki wa kijinga kijinga hapa na bila shaka we utakuwa wale wapuuz wa ukanda,kazi yao kubwa ni kuchafua wengine humu jf,mmepotoka na hamtaambulia chochote zaidi ya kupandikiza chuki kwa watz
 
Mtu yeyote akimtetea mwizi nae anakua mwizi!! Sina imani na DR.Mwakyembe tena,nitarudisha imani pale atakapotuambia alichokifichaga kwenye ripoti ya Richmond ili kuinususuru serikali iliyokua inatakiwa kuanguka ni kipi! Vinginevyo hizi ni ngonjera tuu!! Mtu makini hakurupuki kutoa maagizo bila utafiti kwanza,shame on him!
 
Kwa jinsi source ilivyo, unaweza kusema Mwakyembe hakujiandaa.
Lakini ni vigumu kujua utashi wa visit yake maana kuna mtu kasema alikuwa anaongelea
mpaka kuhusu nauli sasa ni vigumu kujua ukweli je alienda kuwafukuza kweli ama
kuna vitu alitaka kujua!

Umenena vema kijana!
 
ili ni mkubal mwakyembe ni lazima aulezee uma je richmond ni kwel ilitaka kumua? la sivyo ni mnafik tu!!!
 
Mbona sijaona sehemu aliyoshushuliwa hapa. Zaidi wamempatia ukweli kwa ajili ya kuufanyia kazi. Ili kama kuna mtu aliuziwa kituo chao pale Makumbusho then Mwakyembe anatakiwa afuatilie na kuwapatia ufumbuzi...tuache ushabiki wa kijinga.

kwani kushushuliwa maana yake ni nini?
 
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Harison Mwakyembe amejikuta katika wakati mgumu katika ziara yake ya kushtukiza alyoifanya katika kituo cha mabasi Mwenge.

Waziri huyo alifika maeneo hayo na kuanza kuamrisha madereva wa mabasi yanayofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo waondoe mabus hayo kwa sababu sio mahali stahili.

Aliwaamrisha wayapeleke mcus hayo katika kituo cha Makumbusho kama ambavyo imeandkwa kwenye magari yao.

Ndipo madereva, makondakta pamoja na wapga debe walipomjia juu na kumwambia kuwa serikali imefanya ufisadi wa kuuza eneo la makumbusho ambako hvi sasa panajengwa Ghorofa.

Madereva hao waliskika wakisema kuwa wamechoshwa na ubabaishaji unaofanywa na serikali ya CCM.

Madereva hao walisema kuwa hawaondoki eneo hlo hadi hapo watakapopatiwa eneo jngne ambalo linatakiwa.

"Haiwezekani kila siku tunalipia ushuru hapa halafu leo unakuja kusema kuwa si sahii. Hakikisheni kuwa kituo cha makumbusho kinarekebishwa ndipo sisi tuende huko" Aliskika mmojawapo wa madereva hao.

Palitokea mzozo mkali wa maneno baina ya Waziri Mwakyembe na vijana hao wanaofanya kazi katika daladala hzo.

Mwishoni kabisa waziri Mwakyembe alisikika akisema "Suala la eneo la Makumbusho nimelisikia na nitalifanyia kazi"
mwishoni ikabidi awpe number za simu ili awasiliane nao ndpo akaamua kuondoka kwa aibu bila kuacha maagzo yoyote

My Take: Napenda viongozi wasipende kufanya ziara ya kushtukiza bila kufanya uchunguzi kwanza kupitia wawakilishi.

Chanzo Cha Habari ni Mimi mwenyewe nilikuwepo eneo la tukio..

Uchunguzi wa nini sasa? si amekwenda na amejionea mwenyewe,ulitaka alitewe habari za kupikwa ofisini kwake,amejionea na kapewa sababu za wao kuwepo maeneo yale na ameondoka akielewa kuwa kituo kimejengwa ghorofa na kilichobaki ni yeye kusimamia ukweli na kufuatilia kwa nini kituo kimetumika kujenga nyumba

aendelee na kazi hiyo,kwani ataelewa mengi ktk hizo safari zake,kuliko kusubiri habari za uongo ofisini
 
Habari umeweka kinafiki,wewe lazima utakua gwandaz.

ni Gambaz lilo kambi ya Lowaz,chengz na rost. Hawa hawataki afanikiwe ata kidogo. Ingawa nakubali kuwa ni mlopokaji ndan ya magamba. Gwandalisn hawana time na hawa wasanii
 
Kama dhamira ya kiongozi ni safi, afanye tu ziara ya kushtukiza...hii ndio itampa ukweli uliofichika...Uchunguzi wa nini? Kuna chunguzi kibao hazijapatiwa majibu...na sasa bado twasubiri ya Ulimboka
 
Amefanya vizuri kwenda kujionea hali halisi. Kwa nchi ilipofikia kila mbinu inatakiwa kutumika. Sio kuweka strategy tu na kukaa ofisini, utapewa taarifa feki. Kila linalowezekana kulifanya kwa stahili yoyote lifanyike hali mradi lina maslahi kwa nchi yetu. Kwani kwenda pale Mwenge amepoteza nini? Wangapi wamepita kwenye wizara hii hawajawahi hata kunusa hiyo kero ya mwenge kwa pua yao? Kushitukiza kunasaidia kupata hali halisi. Tumpongeze kwa alichokifanya badala ya kumponda. Hebu tuwe wakweli na halisi. Wangapi wame-apply management za vitabuni na zimefeli? Tusilete management za vitabuni kwenye nchi kama hii ambayo imeoza kwa ufisadi. Hata Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitumia approach tofauti ktk uongozi wake na alikuwa anafanikiwa sana. HEKO DR MWAKYEMBE, MUNGU AKUPE NGUVU ZAIDI ZA KUTUMIKIA WATANZANIA KADIRI ATAKAVYOKUWEZESHA>
Kwa hiyo Mwakyembe anamwiga Mrema sivyo!!! Abuni mbinu yake mwenyewe sio kuigaiga yatamshinda.
 
If this thing is true hii sasa ni Lipua Lipua Show if not Orchestra...

Hilo la watu wa Bagamoyo kupaki hapo mbona dogo. Hivi hajanona makubwa hapo Mwege. Ukiwa kituo cha Mabasi Mwenge unashindwa kutofautisha kati ya kituo cha basi na siku ya gulio Katerero.

Ni aibu kubwa mno. Hakuna njia, hakuna mahali pa magari kupaki. Vibaka kibao. Mwenge Bus stop is more than a disaster na a serious show down of uzembe na ufisadi katika masuala ya mipango miji.

Kuna ufisadi mkubwa sana pale hasa katika collections. Ikifanyika stori ya uchunguzi hapo kutaibuliwa masuala ya ajabu. Naona Richard Makore wa Nipashe amekuwa akijaribu kugusa gusa. Asonge mbele. Watu wanafanya collection kubwa pale bila kulipa kodi hata thumuni...

Ok huko Makumbusho nako mbona kulishaharibika siku nyingi. Mtanzania waliandika stori hiyo zaidi ya miaka miwili iliyopita. Londa, aliyekuwa Meya wa Kinondoni (kumbuka kesi ya Londa na Makamba Vs Halima Mdee, Kamati ya Kanuni, Kinga na Madaraka ya Bunge) alihusishwa katima hilo deal. Hakuna hatua iliyochukuliwa.

Back to Mwakyembe, if this report is true kuwa ulikuwa pale na kilichoandikwa ndicho kweli kimejiri, can't u plz do a little research. Usisahau kuwa serikali yako imeoza kama mti wa mbuyu, ambao unakuwa umeoza ndani kote, lakini kwa nje unaonekana mkuuuuuuuuuuuubwa, ni suala la time to ya wawindaji kuugusa hata kwa bahati mbaya tu unaanguka.

Hilo la Mwenge mbona ni show ndogo tu kati ya shows nyingi na kubwa zinazodhihirisha kuwa u have failed this nation almost in every walks sphere of life, elimu, afya, maji, miundombinu, n.k, halafu eti muendelee kuaminiwa kuongoza! What.

Poleni Watanzania.



Nimependa mtazamo huu ijapokuwa humo mwenye bold sikubaliani na wewe. Ni kweli kabisa kituo cha Mwenge kinatisha na kielelezo cha ubovu au uduni wa mipango miji. Lakini tatizo la pale si la viongozi peke yake. Watanzania pia tuna matatizo makubwa. Hatuna discipline au nidhamu ya maisha. Watanzania ni wavivu na watovu wa nidhamu wakubwa. Tunataka kufanyiwa kila kitu. Ni waharibifu wa miundo mbinu tunayoitengeneza wenyewe. Fikiria wale wanaoondoa mifuniko ya maji taka barabarani au wale wanaoondoa vyuma kwenye madaraja. Fikiria yule anayeoona kibao kinachoonyesha bado kilomita 250 kuingia Moshi anaongeza ziro na kibao hicho kusomeka bado kilomita 2500. Watanzania ni walalamishi huku wakiwa wapenda sifa. Ni taifa la ajabu linalohitaji Dikteta kuliongoza.

Madaktari wamegoma wanaua lakini wako wanaoshabikia eti waendeleze mgomo. Madaktari ndio wanaovunja haki za binadamu kwa kuwaacha wagonjwa wafe bila msaada wa matibabu. Lakini wako wanaowaona madaktari eti ni mashujaa. Dk. Ulimboka amepigwa. Pole ulimboka, kwa kufanyiwa ushenzi. Lakini wenye vichwa vya boga wanaodhani kuwa serikali inahusika. Hawataki hata kufikiri kuwa hivi ni nani anaweza kufanya unyama dhidi ya Dk. Ulimboka. Wanakuja na majibu rahisi kwa maswali magumu eti aliyefanya unyama huo ni serikali. Stupid thinking. Wanasahau kuwa madaktari wamejitengenezea maadui wengi ambao wanaweza kuwa ndio wanaohusika.


Now back to the point. Dk. Mwakyembe is doing a fine job. Anafanya staili ya Kim il Sung. On spot guidance. Ila wako wanaochukia wakiwemo mahasimu wake ndani ya CCM na pia kutoka Chadema chama ambacho kina-capitalize matatizo ya watanzania sawa na NAZI party ilivyocapitalize matatizo ya wajerumani na kuteka nchi au kutwaa madaraka kwa kura. Kwa CHADEMA hakina kizuri ambacho CCM na viongozi wake wanaweza kufanya. Kila siku ni shutuma tu.

Nchi hii inaelekea kubaya. Wengi wetu tuna mawazo ya ajabu na yasiyo na tija. Maneno mengi bila tija. Kazi yetu kunywa kahawa tu kuanzia asubuhi mpaka jioni. Hatufanyi kazi isipokuwa kupiga soga na kuzungumzia masuala yasiyo na tija. Waandishi wa habari ndio hasa usiseme. Mawazo yao sawa na ya watanzania wenzao. Wanaandika ujinga usio na maana. Dk. Ulimboka amepigwa sawa. Sasa hiyo imekuwa ndio stori ya kuuzia magazeti. Wanaandika alivyopigwa ulimboka. Lakini hatuoni kwenye magazeti yao idadi ya watanzania waliokufa kwa unyama wa madktari na mgomo wao wa kishenzi wenye mwelekeo wa kisiasa. Stupid nation. Maneno mengi bila vitendo
 
Waziri kuzungumza na wapiga debe wapi na wapi? Hana watendaji wa chini, je vijana walioranduka na mibangi wanayovuta wangeamua kumpa kisago si angewasumbua FFU na kuongeza overhead cost kwa jeshi la polisisiem? Hizo ni sifa za kijinga, asome budget then aende kwenye utekelezaji tumechoka na maneno matupu ya magamba, mwenzie Magufuli kila mwaka anasoma kilomita lukuki lakini tunapigwa vumbi tu huku kitaa. Heri nchi ipate janga la Tsumani kuliko hili janga la CCM

Kuanzia heading inaashiria chembechembe za chuki dhidi ya mchapakazi huyu! My concern hapa ni kwamba ukitaka kufanya kazi zako vizuri lazima ujishushe ili ufanikiwe katika uongozi. Uongozi sio kujitenga na wananchi au kuchagua tabaka la watu wakukutana nao eti kisa wewe ni waziri, this is very bad kwa kiongozi hasa kwa nchi hizi maskini ambapo zaidi ya silimia 80% ya wananchi wake ndio hawa wa hali ya chini hivyo ukitaka uwe unaonana na kina Mengi, Mfuruki, au kina Felix Mosha utayajuaje matatizo ya wananchi wako walio wengi? Sokoine alikuwa anakwenda mwendo kama huu na leo tunajivunia. Impact ya kiongozi wa juu kujishusha na kuonana na wananchi wa hali ya chini huwa inachochea hata wale walioko chini yake ambao kimuundo ni kama miungu watu nao wajishushe kwani kama mkubwa wao kaweza kwanini wao wasifanye? Badili mtizamo mkuu.
 
Post na content zmetofautiana wtz bhana!! Japo bora mwakyembe afanye hvyo kwan beuracracy za tz zinachelewesha maendeleo sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom