pumbavu wakati wake haikuwa hivi unamsingizia
Hii kitu yaenda kwa mawimbi mjomba. Linalokuja ni kali kuliko lilopita.
Atalaumiwa yeyote kwa kila la baadaye kwa kutodhibiti la wakati wake.
pumbavu wakati wake haikuwa hivi unamsingizia
Inatisha! Hao ni wengiIdadi ya watu Waliofariki katika Kwa muda wa masaa 24 , hospital ya KCMC na Mawenzi Hadi Leo saa 7 mchana ni watu 42
Wewe ndugu zako wamekufa wangapi? Waambie wamrudie Mwenyezi Mungu wamezidi kufanya dhambi.Ninatuma Uzi huu, kuijulisha serikali ya Tanzania kuwa Hali za wananchi ni mbaya kiafya huko Moshi mjini na Kilimanjaro Kwa ujumla.
Wanaozaliwa ni wachache kuliko wanaofariki Kwa siku moja.
Hali ya ugonjwa wa corona ni mbaya sana na kuna Haja ya serikali kuzuia misongamano, mazishi ya watu wengi. Mkuu wa mkoa amepiga kimya, watu wanaokufa ni wengi Hadi watumishi wa umma wanakaribia kufukuzwa kazi kwa kuomba ruhusa za Kila siku kwenda kuzika ndugu zao.
Kuwa mpole unadhania waliokufa walifanya ngono? Chezea coronaWewe ndugu zako wamekufa wangapi? Waambie wamrudie Mwenyezi Mungu wamezidi kufanya dhambi.
Duuh, hatari sana hiiIdadi ya watu Waliofariki katika Kwa muda wa masaa 24 , hospital ya KCMC na Mawenzi Hadi Leo saa 7 mchana ni watu 42
Kwani malaria hajauwi?Kuwa mpole unadhania waliokufa walifanya ngono? Chezea corona
Hiyo ni idadi kubwa sana, je watu wanaitikiaje njia za kujikinga hasa kuvaa barakoa, sanitizer, kupunguza pilika pilika hasa kwa wazee kukaa nyumbani......au vikao vya kwenye mbege bado vinaendelea. Mimi bado naamini jamii kuchukua tahadhari zaidi za kujikinga na labda matumizi ya dawa zetu za asili, nyungu nk.Idadi ya watu Waliofariki katika Kwa muda wa masaa 24 , hospital ya KCMC na Mawenzi Hadi Leo saa 7 mchana ni watu 42
PPRA Nako naona kilio kimehamia hukoHiyo ni idadi kubwa sana, je watu wanaitikiaje njia za kujikinga hasa kuvaa barakoa, sanitizer, kupunguza pilika pilika hasa kwa wazee kukaa nyumbani......au vikao vya kwenye mbege bado vinaendelea. Mimi bado naamini jamii kuchukua tahadhari zaidi za kujikinga na labda matumizi ya dawa zetu za asili, nyungu nk.
Poleni sana.Kimejaa maiti na hakuna mahali pa kuweka maiti zingine Mkuu.
Mkuu wewe na mrisho mna tungo kabisa.Mhe.Waziri Mkuu naona kama kapigwa kufuli maaana alikuwa anafurumua uovu lkn yapata mwezi naona kama mwenendo wake umepooza. Huenda kapigwa sindano ya Ganzi ili kumpunguza nguvu, Rimoti control iliyopo Busoga ndio nguzo kuu hata BANDARI YA FAMILIA BWAGGAPESA Ndio habari ya Mjini ili Vizazi na Vizazi watawale Uchumi wa Nchi hiii. Ippo siku yajjja hata miongo mingapi ijayo naVizazi vyenu mtazitapika pessa za Watanzania tuuuuu.
Hii habari ni tofauti na huu uchangiaji acha uchawi.Mhe.Waziri Mkuu naona kama kapigwa kufuli maaana alikuwa anafurumua uovu lkn yapata mwezi naona kama mwenendo wake umepooza. Huenda kapigwa sindano ya Ganzi ili kumpunguza nguvu, Rimoti control iliyopo Busoga ndio nguzo kuu hata BANDARI YA FAMILIA BWAGGAPESA Ndio habari ya Mjini ili Vizazi na Vizazi watawale Uchumi wa Nchi hiii. Ippo siku yajjja hata miongo mingapi ijayo naVizazi vyenu mtazitapika pessa za Watanzania tuuuuu.
Tozo za mitandao zimempataNawe umeona kama mimi, huyu jamaa siku hizi sijui kapatwa na nini....🤷
Nimekuelewa.Sasa unataka ukiandika upupu nikurembe na kukuchombeza na kukupapasa na kukuchekea?Kati ya kuandikia watu upupu na kutukanwa lipi ni baya zaidi?Yaani wewe utuandikie sisi upupu halafu sisi tukuchombeze?!Akili za wapi hizi!!
Yaani viongozi walewale waliokuwa wanapinga uwepo wa Corona Tanzania leo anawaambia kuwa washughulikie janga la Corona,wewe unaona kuwa huyu mtu yupo sawa kuchwani?