kcmc

KCMC (740 AM) is a radio station licensed to Texarkana, Texas, United States. It serves the Texarkana area. The station is currently owned by Texarkana Radio Center. Studios are located on Olive Street, just west of the border with Arkansas, and the transmitter is on De Loach Street in the Texarkana city limits also west of the Arkansas border.

View More On Wikipedia.org
  1. Lexus SUV

    Karibu GCC company limited, watengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mbao

    GCC COMPANY LIMITED ..DEALS WITH FURNITURES AND BED SOFA and more...... MAKING-TUPO , KCMC MAPIPA ROAD MOSHI-KILIMANJARO. Huduma zetu : 1. Kutengeneza makabati ya nguo (dress table included) , showcase za TV , kitchen cabinet , pallet , valvet , bed sofa , BED BOX , SOFA za kukalia , Na...
  2. Ndagullachrles

    KCMC na TPC waungana kutoa huduma za kitabibu

    MADAKTARI BINGWA KCMC KUTUOA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITAL YA TPC Moshi. Hospital yenye hadhi ya nyota nne inayomilikiwa na kiwanda cha Sukari cha TPC,ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kuingia makubaliano ya ushirikiano na Hospital ya Rufaa ya KCMC kwa ajili ya kutumia madaktari...
  3. Nyendo

    Watu 5 mbaroni wakihusishwa na kifo cha muuguzi wa KCMC

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya Khudheifa Changa, ambaye alikuwa ni Muuguzi wa Hospitali ya KCMC Moshi mkoani humo. Inadaiwa Khudheifa Changa aliuawa usiku wa kuamkia Julai 2, mwaka huu wakati akipita katika uchochoro wa Mtaa wa Marindi...
  4. Suley2019

    Muuguzi KCMC auawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali uchochoroni

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watuhumiwa watano kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Muuguzi wa hospitali ya KCMC Moshi Khudheifa Changa (26) Akitoa taarifaa hiyo kwa vyombo vya habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro ACP Simoni Maigwa amesema kuwa walio kamatwa ni...
  5. comte

    Tupate mkataba wa uendeshi wa hospital za Bugando (TEC) na KCMC (KKKT) ili tujadili bandari vizuri

    Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
  6. benzemah

    KCMC inapokea Wagonjwa 300 wa Akili kwa mwezi

    Daktari bingwa wa afya na magoniwa ya akili wa Hospitali ya Rufani ya Kanda ya KCMC, Dk. Editruda Gamassa, amesema hivi sasa wanapokea wagonjwa wa nie wenye matatizo ya afya ya akili, zaidi ya 300 kwa mwezi mmoja. Magonjwa ya afya ya akili ambayo ni tishio nchini ni Kihoro (Anxiety), Sonona...
  7. BARD AI

    Watumishi KCMC wahojiwa na Polisi kwa kudai Posho zao mtandaoni

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro, kitengo cha makosa ya kimtandao, linawahoji wafanyakazi kadhaa wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ya mjini Moshi kwa tuhuma za makosa mbalimbali ya kimtandao. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Simon Maigwa ambaye yuko safarini kikazi nje ya...
  8. Linguistic

    Nimempoteza Baba Mzazi Hospitali ya KCMC Moshi

    Wakuu napenda kuwapa taarifa kwamba nimempoteza Mzee Wangu Leo Hapo KCMC Moshi. Mzee alikuwa anasumbuliwa na Kansa maana alikuwa na Ukungu Kwenye Maini. Niko njiani naelekea Marangu-Kilimanjaro. Asante sana Wakuu Wangu
  9. F

    Tahadhari: Wizi wa vifaa ndani ya magari hospitali ya KCMC balaa

    Ni tahadhari tu kwa wale mnaotumia magari binafsi kwenda kuwaona wagonjwa ama kwa shughuli nyingine katika Hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC mjini Moshi kwamba muwe makini sana kuna mtandao mkubwa wa vijana wanaotumia funguo bandia kufungua milango ya magari na kuiba vitu vilivyomo ndani ya...
  10. Kinuju

    Mgao wa umeme: Hospitali ya KCMC yasitisha baadhi ya huduma

    Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k. ======= Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo...
  11. beth

    Rais Samia: Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa watumishi

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa Watumishi, akifafanua "Hii ni kutokana na kiwango cha ukuaji wa Uchumi" Amesema hayo leo akiwa Moshi Mkoani Kilimanjaro katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya KCMC Ameongeza, "Tunapopiga mahesabu ya...
  12. Shujaa Mwendazake

    #COVID19 Kilimanjaro: KCMC yazidiwa wagonjwa wanaohitaji Oksijeni

    Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC imezidiwa na idadi ya wagonjwa wanaohitaji hewa ya Oksijeni ukilinganisha na mitungi 400 inayozalishwa kwa siku huku mgonjwa mmoja akitumia mitungi 8 hadi 10 kwa siku.Hayo yamesemwa leo Ijumaa Julai 23 na Mkurugenzi Mtendaji Hospitali hiyo...
  13. Analogia Malenga

    #COVID19 KCMC yakumbwa na uhaba wa oksijeni kwa wagonjwa wa COVID-19

    Mkurugenzi Mtendaji wa KCMC, Profesa Gilleard Masenga amesema mgonjwa mmoja wa #COVID19 anatumia hadi mitungi 10 kwa siku. Hospitali ya Rufaa ya KCMC inzalisha mitungi 400 na idadi ya wagonjwa inazidi kuongezeka hali inayofanya hospitali kuzidiwa. ---- Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini...
  14. peno hasegawa

    Tetesi: Waziri Mkuu tembelea mortuary za Hospitali za KCMC na Mawenzi Mkoa wa Kilimanjaro kuna Jambo muhimu

    Ninatuma Uzi huu, kuijulisha serikali ya Tanzania kuwa Hali za wananchi ni mbaya kiafya huko Moshi mjini na Kilimanjaro Kwa ujumla. Wanaozaliwa ni wachache kuliko wanaofariki Kwa siku moja. Hali ya ugonjwa wa corona ni mbaya sana na kuna Haja ya serikali kuzuia misongamano, mazishi ya watu...
  15. Analogia Malenga

    KCMC Yaruhusu mtu mmoja tu kumuona mgonjwa

    Uongozi wa Hospitali ya KCMC umetoa taarifa ya kuruhusu mtu mmoja tu kumuona mgonjwa ambaye atakuwa amelazwa hospitalini ambao watakuwa na vitambulisho maalum Aidha wagonjwa wanaoenda klini au kuanzamatibabu wametakiwa kwenda peke yao au kuwa na ndugu mmoja iwapo watakuwa wamezidiwa
  16. Erythrocyte

    KCMC yakanusha kuua mgonjwa kizembe, yadai aliletwa akiwa tayari kishakufa

    Ushahidi huu hapa Natoa pole kwa Wafiwa . zaidi soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mama-anna-mghwira-usiongee-sana-peleka-vielelezo-juu-ya-kifo-cha-mama-yake-hoyce-temu.1872308/...
  17. S

    Mama Anna Mghwira usiongee sana, peleka vielelezo juu ya kifo Cha Mama yake Hoyce Temu

    MAMA ANNA MGWIRA PELEKA VIELEEZO VYA MAREHEMU SION TEMU MAMA WA HYOCE TEMU ALIYEFIA NJIANI KUTOPATA HUDUMA KCMC Habarini za usiku ndugu zangu wana jamii forum wenzangu, Nimesoma habari ya kulalamikiwa moja ya taasisi ya kidini inayotoa huduma za afya , hospitali ya rufani ya kanda ya...
  18. Pdidy

    Waliohusika kifo cha mama mzazi wa Hoyce Temu Hospitali ya KCMC waondolewe

    HUU MSIBA UMEHUZUNISHA WENGI SANA MKOANI MOSHI NA PENGINE WENGI WANAKUFA HAPO HOSPT BILA KUPEWA MSAADA WAZIRI WA AFYA WALIOCHANGIA KIFO CHA HUYU MAMA WAONDOLEWE KABISA HAPO HOSPT WATATUMALIZIA WAZAZI WETU MAPOKEZI MASAA MAWILI BILA HUDUMA??KWELI AISEE ===== MAMA MGHWIRA-KULIKUWA NA UZEMBE...
  19. Miss Zomboko

    KCMC yakanusha kuhusu mgomo wa Madaktari na uhaba wa PEP

    Hospitali ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro kupitia kwa msemaji wake Gabriel Chiseo, imeweka wazi kuwa hakuna mpango wa kugoma kwa madaktari kwenye ngazi zote na wanaendelea na majukumu yao kama kawaida. Akiongea na Supa Breakfast ya East Africa Radio leo Februari 15, 2021, Gabriel Chiseo...
  20. Cannabis

    Msemaji wa hospitali ya KCMC akanusha taarifa za mgomo wa madaktari katika hospitali hiyo

    Msemaji wa Hospitali ya KCMC Kilimanjaro, Gabriel Chiseo amekanusha taarifa zinazozunguka mtandaoni zenye madai ya kwamba madakatari katika hospitali hiyo wamegoma kufanya kazi kwa madai ya kukosa vifaa kinga (PPE) kutokana na ongezeko wa wagonjwa wenye matatizo ya mfumo wa upumuaji. Msemaji...
Back
Top Bottom