BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Pinda amebaini hali hiyo baada ya kufanya ziara katika Ofisi ya Msajili wa Hati Msaidizi wa mkoa ambapo alikuta Ofisi imeandaa #Hatimiliki ambazo Wamiliki hawajazichukua na hivyo kuagiza Uongozi kutumia Vituo vya Redio kuwajulisha Wahusika.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya JamiiForums kuendesha Mjadala kuhusu Mchakato wa Umiliki wa Ardhi ambapo Wananchi wengi walilalamikia Urasimu, Vitendo vya #Rushwa na Kutojulikana kwa Taratibu za Kufuata ili Kupata Hatimiliki za Ardhi Nchini.