Asante kwa taarifa, tunaisubiria kwa hamu hiyo kesho, tena I wish kutokee mfadhili, mkutano huo utangazwe live streaming na mubashara na TV zetu kama ile press conference ya Dr. Slaa, Serena.Kesho anaunguruma..View attachment 1280817
Naona wanaandaa panga kumkata ng’ombe mkia!!Kesho saa tano ni mbali, alale hata nyumbani kwa waandishi wa habari, arejee ccm akaunge mkono juhudi. Aongee chochote atakacho ndani ya cdm yeye Ni useless. Na kwenye haya cdm wapate somo hii kuokota mizoga huko ccm na kuipa nafasi ya uongozi ni jambo lisilokubalika.
Kwani mkuu aliyeipokea hiyo mizoga ni nani? Si ni mbowe? Ifike mahali tufungue akili zetu tutambue upuuzi aliofanya mbowe chadema.Kesho saa tano ni mbali, alale hata nyumbani kwa waandishi wa habari, arejee ccm akaunge mkono juhudi. Aongee chochote atakacho ndani ya cdm yeye Ni useless. Na kwenye haya cdm wapate somo hii kuokota mizoga huko ccm na kuipa nafasi ya uongozi ni jambo lisilokubalika.
Na Lowasa mlisema hivyo hivyo.... Wewe hukuepo bado!
Hana tofauti na Mwana wa jalalani...Magufuli mwana wa Africa anakubalika kila kona
Akija kwenu mtaacha kumuita zero ? Anyway akirudi CCM ataitwa zero brain wa taifa! Hope hatafanya ujinga kea kurudi kwa majambazi yaliyompora ardhi.Hahahahhaaaa VIVA MAGUFULI
Mwache arudi zake ccm kwao, mara ii hatufanyi makosa tena hawa ndumila kuwili huwa wanatumwa kuvuruga upinzani sasa watagonga mwamba Lowasa ndo ametuamsha.Kesho anaunguruma..View attachment 1280817
Maandalizi yanaendelea. Tega sikio na macho. Hatujawahi kuwaangusha wapenzi wetu wananchi.Asante kwa taarifa, tunaisubiria kwa hamu hiyo kesho, tena I wish kutokee mfadhili, mkutano huo utangazwe live streaming na mubashara na TV zetu kama ile press conference ya Dr. Slaa, Serena.
P
Kesho saa tano ni mbali, alale hata nyumbani kwa waandishi wa habari, arejee ccm akaunge mkono juhudi. Aongee chochote atakacho ndani ya cdm yeye Ni useless. Na kwenye haya cdm wapate somo hii kuokota mizoga huko ccm na kuipa nafasi ya uongozi ni jambo lisilokubalika.
Umeandika nini sasaAkija kwenu mtaacha kumuita zero ? Anyway akirudi CCM ataitwa zero brain wa taifa! Hope hatafanya ujinga kea kurudi kwa majambazi yaliyompora ardhi.
Ni kweli kuwa kesho atahutubia ila pamoja na mambo mengine atawakemea waandishi makanjanja waliomlisha maneno. Kama CCM mnatarajia kuwa atakuwa upande wenu basi nawashauri msihudhurie hiyo press
Barua hii hapa: yaani mpk anatumia nembo ya taifa (ya bibi na bwana)? Hawezi kuwa mpinzani huyu.
View attachment 1281052