Du, labda mawazo yangu yameharibika sana siku hizi.Kesho saa tano ni mbali, alale hata nyumbani kwa waandishi wa habari, arejee ccm akaunge mkono juhudi. Aongee chochote atakacho ndani ya cdm yeye Ni useless. Na kwenye haya cdm wapate somo hii kuokota mizoga huko ccm na kuipa nafasi ya uongozi ni jambo lisilokubalika.
Mbona kama umepanic au unajua anachoenda kuongea kesho mkuu? Relax relaxKesho saa tano ni mbali, alale hata nyumbani kwa waandishi wa habari, arejee ccm akaunge mkono juhudi. Aongee chochote atakacho ndani ya cdm yeye Ni useless. Na kwenye haya cdm wapate somo hii kuokota mizoga huko ccm na kuipa nafasi ya uongozi ni jambo lisilokubalika.
Ndo girls za wana ccm alishafika hadi PM unadhani bodi gani inamfaaAcha jaji Mutungi, hata Magufuli anaruhusiwa kufuatilia ila cdm hamna kupita bila kupingwa. Na huyo jaji Mutungi akiona mkulu hafurahi akifute cdm ili mkulu afurahi zaidi. Sumaye arejee tu ccm, huko cdm anapoteza muda wake bure. Arudi ccm akateuliwe kwenye bodi za taasisi za umma.
Anarudi analia eeh........Safi sana.......Safari hii hainaga Ushemeji by F T Sumaye!
KARIBU CCM TLUWAY!Kesho anaunguruma..View attachment 1280817
Kweli sina hoja za umalaya wa kusifu na kuabudu mgonjwa. Najua ni Mungu pekee muumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana ndiye anastahili kusifiwa na kuabudiwa.Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Kuna wigo mpana wa mawazo ya kisiasa siyo vizuri kuyarundika kwenye kapu moja kwa sababu ya maslahi ya kupambana na CCM.Self filtration for all debrils, CDM going to stabalize... Mbowe, its the time to compromise with ZZK and Mzee Maalim to have strong opposition than all the time...
Kwani mkuu aliyeipokea hiyo mizoga ni nani? Si ni mbowe? Ifike mahali tufungue akili zetu tutambue upuuzi aliofanya mbowe chadema.
Msigwa, Lema n.k wote wana wadhfa wa kuongoza chama, kwanini yeye ang'ang'anie nafasi hiyo miaka yote.
Ona leo chama kimejaa mamluki, wengine akina Lowassa wamesharudi CCM, chama kwa miaka minne kilikosa hoja ya msingi kabisa ya ufisadi ambayo ndiyo iliijenga Chadema.
Tunaomba updates live