Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,610
Le mutuz jana aliunguruma IdodomiaUsisahau umri wa passport wa Msuya ni almost 90! Na kwa mambo ya zamani ya kutokuwa na takwimu sahihi unaweza kukuta yupo above 90! NI watu wachache sana kama akina Mzee Mwinyi ndio bado wanaweza kuwa na afya mzuri wakati wameshagonga 80! Hivi hata mzee mwenzie Le Mutuz unamsikia sikia sana siku hizi?! Na hapo ujue Mzee Msuya ni mkubwa kuliko mzee mwenzie Le Mutuz!!