Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya ametengwa au amejitenga na siasa za CCM na s=Serikali

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,574
Waziri mkuu mstaafu Cleopa Msuya imekua nadra sana kumsikia wala kumwona katika shughuli mbali mbali za cha chama na serekali. Tangu nafuatilia siasa enzo za Rais Kikwetu sio mtu wa kuongea wa kushiriki jambo lolote la kitaifa Tofauti na wenzake akina J.S.Warioba, J.S Malecela, E.N Lowassa na M.K.P.Pinda.

Hata kwenye dhifa kubwa za kitaifa kama sikukuu za uhuru na muungano hayupo, uapisho wa hiongozi wakuu haonekani hata kwenye misiba pia hahudhurii. haonekani wala kuzungumziwa kama mawaziri wakuu wastaafu wenzake. Nini kilimsibu waziri mkuu huyu mstaafu mpaka akawa kimya na kutosikika kabisa kiasi hiki hata kuwe na tukio kubwa kitaifa yeye anapiga kimya tuu.?
 
Mkuu kuna wakati bora kukaa kimya inasaidia sana kulinda heshima yako
Ukimya wake umezidi na sijasema awe muongeji sana au mkosoaji hapana..hata kuhudhuria misiba ya viongozi wa kitaifa haonekani, sherehe za uapisho wa maraisi na viongozi wakuu hayumo...kwenye dhima za kitaifa kama uhuru na muungano haonekani
 
Ukimya wake umezidi na sijasema awe muongeji sana au mkosoaji hapana..hata kuhudhuria misiba ya viongozi wa kitaifa haonekani, sherehe za uapisho wa maraisi na viongozi wakuu hayumo...kwenye dhima za kitaifa kama uhuru na muungano haonekani
Mkuu Mzee anaweza kuwa na sababu zake za msingi kabisa kwanini hatokei katika matukio haya ila hii haita badilisha chochote maana mambo yanakwenda kama kawaida.
 
Usisahau umri wa passport wa Msuya ni almost 90! Na kwa mambo ya zamani ya kutokuwa na takwimu sahihi unaweza kukuta yupo above 90! NI watu wachache sana kama akina Mzee Mwinyi ndio bado wanaweza kuwa na afya mzuri wakati wameshagonga 80! Hivi hata mzee mwenzie Le Mutuz unamsikia sikia sana siku hizi?! Na hapo ujue Mzee Msuya ni mkubwa kuliko mzee mwenzie Le Mutuz!!
 
Back
Top Bottom