Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

Kabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;

Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Yuko wapi kivipi..hufuatilii mambo ya Kitaifa...hujamuona pale Ikulu juzi?
 
Rais naye amerithi hiko cheo, unapoanza kushambulia mawaziri aliowarithi
 
Kabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;

Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Tulikaa na Waziri wa fedha, katibu kiongozi kujadili mikopo". Vice na uzoefu wake wote kama yuko sidelined. I don't know what exactly is transpiring in my beautiful mamaland.
 
Siamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.

Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?

Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?
Hata huyu Bibi Wa Unguja Pia Aririthi Huo Urais Kutoka Kwa Jpm So wote Ni Warithi na Sio PM pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hoja ya Madam SSH kumwondoa seating PM kufuatia yeye kula kiapo ingewezekana au pia ilitakiwa iwe kama ilivyotokea.

Kwanza, katiba haijaweza utaratibu ikitokea VP amerithi Urais kufuatia Rais kuijiuzulu au kufariki. Katiba iko wazi tu, VP atakula kiapo kuwa CinC kufuatia kifo kama ilivyotokea.

Bila shaka SSH alikuwa na imani na seating PM na hakuona haja kumwondoa ili apeleke upya jina lake bungeni kwa kuzingatia PM ndie alikua msimamizi mkuu wa msiba.

Kingine, Rais alikuwa bado na majonzi ya msiba na bila shaka akaamua kuendelea na mawaziri wote mwanzoni ila akaamua tu kuwabadilisha na kuongeza wengine kundini.

Miezi hii iliyopita umetengeneza "national healing from mourning" na mpaka watu wamesahau "yaliyopita" na wameanza kujipanga. Bila shaka pia kwa madam SSH kuwa na access na taarifa zote za kiusalama na kumjua nani ni nani anafanya nini, anakutana na nani, ana "mitikasi" gani, sio mbaya kuja na baraza jipya.

Mzee Ruksa mwaka tisini mwezi march, aliwataka mawaziri wote wajiuzuru akiwomo aliekuwa PM na Makamu wa kwanza wa Rais Joseph Sinde Warioba. Then akamrejesha tena kama PM na wakauda serikali.

Hata sasa madam anaweza kuwataka cabinet members wote wawasilishe barua mezani za kujiuzuru akiwamo PM, then akaja na jina la kupeleke mjengoni kama ili apitishwe kuwe PM na akamuapisha then wakasuka cabinet. Na kuwa kuwa PM wa sasa ni mbunge wa jimbo, ana nafasi ya kuteuliwa tena au akakalia bench kama mzee Msuya, Mzee John Malecela, Mzee EL; wote hawa walipoteza waliwahi kukaa bench bungeni.

Tumtakie heri madam SSH kwenye maamuzi atakayofanya; hii homa ya uchaguzi wa 2025 isifanya lengo la kuwatumikia wananchi likapotea.

Maombi yetu kwa Mungu asaidie tupate viongozi ambao hawako driven na next election, Mungu saidia tupate viongozi wenye shauku na kuwa driven na nini tufanye leo kwa Watanzania ambacho kina-serve purpose kwa kizazi cha leo na vizazi vijavyo.
 
Waziri mkuu akibadilishwa tu maana yake baraza zima zimevunjwa au kutenguliwa
 
Tanzania inaongozwa kidharula kwa sasa labda hatujafamu tu nini kinaendelea, Bunge siajabu limeshasimamishwa, ni Coup !
Hivi bunge likiwepo na likisimamishwa, tofauti yake kwetu sisi ambao hatukuwachagua ni nini?
 
Tanzania inaongozwa kidharula kwa sasa labda hatujafamu tu nini kinaendelea, Bunge siajabu limeshasimamishwa, ni Coup !
Mmmh
Mzee hii siyo code bali unaleta info za kustua mno
 
Back
Top Bottom