Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Watu mtapigwa bumbuwazi mtakaposikia Riz 1 ndio anapewa hichio kijiti....Muangalie kwa jicho la kipekee Ummy Mwalimu!
Utashangaa ndio Majaliwa wa Kesho.
Watu mtapigwa bumbuwazi mtakaposikia Riz 1 ndio anapewa hichio kijiti....Muangalie kwa jicho la kipekee Ummy Mwalimu!
Utashangaa ndio Majaliwa wa Kesho.
Hoja ni machungu kwa walipa kodi sasa Mbowe analipwa kwa kodi ya wananchi? Sometimes uwe na akili pana ya kujadiri yanayohusiana.Umekazana na Halima hadi unamsahau Mbowe, kumbuka kuna andiko linaonya kuwa "nilikuwa mfungwa hukunitembelea'
Kwani wewe siku ile hukumuona? Au unataka aje Chumbani kwakoKabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;
Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Linganisha hasara linayopata taifa kwa kutokana na Mbowe kukaa mahabusi na hasara linayopata kwa Halima na wenzake kuwa bungeni. Hata kama siyo hao akina Halima bado watapelekwa wengine 19 badala yao, hiyo hakuna cha kuokoa hapo.Hoja ni machungu kwa walipa kodi sasa Mbowe analipwa kwa kodi ya wananchi? Sometimes uwe na akili pana ya kujadiri yanayohusiana.
Atoke mnazi uweke mnazi?Tunywe mtori nyama tutazikuta chini.
Spika ni Dr Emmanuel Nchimbi
Kwani mzee wa Msoga ilipomshinda nchi alikuwa amerithi sukumagang?Huyu mama aliionywa mapema kuachana na kabineti ya Jiwe lakini alitupuuza
Sawa mkuu nimekuelewa.Linganisha hasara linayopata taifa kwa kutokana na Mbowe kukaa mahabusi na hasara linayopata kwa Halima na wenzake kuwa bungeni. Hata kama siyo hao akina Halima bado watapelekwa wengine 19 badala yao, hiyo hakuna cha kuokoa hapo.
Sio lazima Spika awe mbunge wakuchaguliwa.Uspika anaweza kugombea hata mtu asiye mbunge ila awe mwanachama wa chama cha kisiasa kwa mujibu wa katiba.Ni mbunge wa kuchaguliwa?
uchichimame wala uchikae ukiend juu nchale ukishuka nchaleMimi napatwa sana na uoga maana tarehe kama hizi mwaka jana kuna mtu alisema hatamaliza na Kassim, na kweli ikawa
Sasa ndio akili zinamkaa sawasawa , amichelewa kubadilisha baraza kuna wengine wachawi sana watamyumbisha dishi ili awabakishe .Huyu mama aliionywa mapema kuachana na kabineti ya Jiwe lakini alitupuuza
Sipati picha siku Riz1 akiteuliwa hiyo nafasi kelele za watz zitakavyokuwa nchi nzima.Watu mtapigwa bumbuwazi mtakaposikia Riz 1 ndio anapewa hichio kijiti....
Ukiunganisha tweet ya kigogo kumhusu aliyemuita katelephone na baada ya siku chache samia naye kaja na ile ya huko kwa kasimu, siwezi shangaa makamba akipaa.Jina lako ..linaleta mashaka kuamini but huenda code ya marope ndy unaimanisha sana uongo mkuu mdanganaji?
Pendekezo: Makamu: MrSiamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.
Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?
Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?
Kama mzee wa msoga aliyeajiri kila mwaka,kuza uchumi,Uhuru wa habari,nchi ilimshinda..Basi hatujawahi pata rais ambaye aliiweza nchi,maana wengine walipangisha watu foleni za unga,wakafulia majani ya mpapai,sukari guru na gwanjiKwani mzee wa Msoga ilipomshinda nchi alikuwa amerithi sukumagang?
Si rafiki zake kina Chenge,Kalamagi,Rostam nk.waliomuharibia?
Ngoja ajaze wazanzibar wenzake akose kisingizio.
Hivyi yeye hakuwa sehemu ya utawala wa Jiwe au kujitoa ufahamu?
Munyakidada!!Mh. William Lukuvi
Mh. William Lukuvi