Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

SSH kuunda na kuoendesha serikali ya Tanzania ni ndoto. Tutarajie awamu ya nne yaliyotukuta na awamu ya Pili.
 
Waziri wa Utumishi mkwe anaenda kuwa PM, binafsi huwa hata sijui mzee Majaliwa anafanya nini serikalini
Kila akitoa maagizo hakuna anayeyafanyia kazi. Mnakumbuka sakata lake na engineer wa daraja?
Kirahisi tu Mfugale akamuambia tuliza bol.
Mnakumbuka sakata la mkubwa Fulani temeke? Kirahisi tu Yuko nje kwa dhamana na si ajabu kesharudi kazini.
 
Siamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.

Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?

Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?
Wanaoweza kushika hiyo nafasi ni Hawa

Kassim Majaliwa (kwa heshima tuu )

Mwigulu Nchemba.

Ummy Mwalimu (nafasi finyu)
 
Linganisha hasara linayopata taifa kwa kutokana na Mbowe kukaa mahabusi na hasara linayopata kwa Halima na wenzake kuwa bungeni. Hata kama siyo hao akina Halima bado watapelekwa wengine 19 badala yao, hiyo hakuna cha kuokoa hapo.
Hasara hii hapa 😆😆

Screenshot_20220105-210157.png


Screenshot_20220106-103150.png
 
Kila akitoa maagizo hakuna anayeyafanyia kazi. Mnakumbuka sakata lake na engineer wa daraja?
Kirahisi tu Mfugale akamuambia tuliza bol.
Mnakumbuka sakata la mkubwa Fulani temeke? Kirahisi tu Yuko nje kwa dhamana na si ajabu kesharudi kazini.
Yupo yupo tu hata hajui kazi
 
Siamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.

Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?

Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?
sukuma gang mtawehuka Safar hii,

Samia hataki ushauri wako wewe na wanafiki wenzio,

subirini amiri jeshi mkuu awatie adabu nyie wavuruga amani ya Nchi
 
Back
Top Bottom