peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,029
- 26,235
Hii ndio SSH anaipenda na huu ndio msarafa wake wa kumwangusha 2025. Ila ongezea hao Mwigulu NchembaPendekezo: Makamu: Mr
Ridhiwan,
Spika: Dr. Tulia,
PM: Dr. Makamba Jr.,
Hii ndio SSH anaipenda na huu ndio msarafa wake wa kumwangusha 2025. Ila ongezea hao Mwigulu NchembaPendekezo: Makamu: Mr
Ridhiwan,
Spika: Dr. Tulia,
PM: Dr. Makamba Jr.,
Abaki huko huko Serikalini Ualimu ulimshinda kabisaaaaWaziri wa Utumishi mkwe anaenda kuwa PM, binafsi huwa hata sijui mzee Majaliwa anafanya nini serikalini
Hakuna hata kazi anafanya zaidi ya kuzunga zunga tu sioni jipya kwake hata mawaziri sidhani kama wanajua mzee ni PMAbaki huko huko Serikalini Ualimu ulimshinda kabisaaaa
HeheheeeeeHukawi kuwa unajipigia debe
Tunywe mtori nyama tutazikuta chini.
Spika ni Dr Emmanuel Nchimbi
Alifanya vizurHuyu mama aliionywa mapema kuachana na kabineti ya Jiwe lakini alitupuuza
Bora hao jamaa nchi ilikuwaga na hela tuliwahi maisha safiiiitakuwa Msoga wamejoin power na ulipo tupo? halafu Boyz 2 men back in action..
Kila akitoa maagizo hakuna anayeyafanyia kazi. Mnakumbuka sakata lake na engineer wa daraja?Waziri wa Utumishi mkwe anaenda kuwa PM, binafsi huwa hata sijui mzee Majaliwa anafanya nini serikalini
Wanaoweza kushika hiyo nafasi ni HawaSiamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.
Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?
Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?
Yaliwakuta yapi hizo awamu?SSH kuunda na kuoendesha serikali ya Tanzania ni ndoto. Tutarajie awamu ya nne yaliyotukuta na awamu ya Pili.
Duuudh Nyerere Dam ndio imekufa akichaguliwa huyoTunywe mtori nyama tutazikuta chini.
Spika ni Dr Emmanuel Nchimbi
Huyu nafasi anayo kama sio sasa hata baada 2025Atakuwa Mwigulu
Lakini hakuonyesha kumshambulia Ndugaye kama wenzake.Mbona hotuba ya juzi alikuepo au hukutazama? Na alipewa nafasi ya kuongea
Hasara hii hapa 😆😆Linganisha hasara linayopata taifa kwa kutokana na Mbowe kukaa mahabusi na hasara linayopata kwa Halima na wenzake kuwa bungeni. Hata kama siyo hao akina Halima bado watapelekwa wengine 19 badala yao, hiyo hakuna cha kuokoa hapo.
Mwisho wako wa kufikiriUtakuwa wewe,
Yupo yupo tu hata hajui kaziKila akitoa maagizo hakuna anayeyafanyia kazi. Mnakumbuka sakata lake na engineer wa daraja?
Kirahisi tu Mfugale akamuambia tuliza bol.
Mnakumbuka sakata la mkubwa Fulani temeke? Kirahisi tu Yuko nje kwa dhamana na si ajabu kesharudi kazini.
sukuma gang mtawehuka Safar hii,Siamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.
Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?
Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?