Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

Umekoment hivi au kuna mtu kashika simu akakoment fasta without known !.
Mimi sifanyi siasa za aina hii mkuu, Napenda sana fact,

Waziri Mkuu tunaye ,Huyu anayetafuta Waziri mkuu ni mshamba na mmebaba majungu tu,
 
Kabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;

Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Kwani juzi hukumuona kwenye mkutano wa Rais wa kupokea taarifa ya ujenzi wa madarasa?
 
Kabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;

Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Kakaaa kimya sana sababu anaona kuna mambo.mazito kwa hyo bora kukaa kimya tu hekima silence is wisdom...
 
Tusishangae anamuachia Kassimu yule yule .....no muda tu
 
Back
Top Bottom