Waziri Mkuu Majaliwa huu ni mwezi wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kinaanza kazi lini?

Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
 
..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara na ilimalizika ndani ya miaka mitano, toka Dar Es Salaam mpaka Kapirimposhi-Zambia.

..kwanini Magufuli na Samia wameshindwa kumaliza kipande cha Dar mpaka Morogoro kwa wakati, tunaelekea mwaka wa tano sasa?

..Na kama Dar mpaka Morogoro inachukua muda mrefu namna hii, reli itafika lini Mwanza na Kigoma? Ucheleweshaji huu unatokana na nini? Tatizo liko kwa mkandarasi, au serikali?
Una hoja ya msingi.
 
Kama uzi unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Hawa wazembe miaka 5 itapita wako hivi hivi wanaruka ruka tu
 
Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Hii SGR kukamilika kipande cha Dar-Moro ilishasemwa tangu 2019 na aliyekuwa waziri kamwelwe, kama wameshindwa kukamilisha km. 14 mwaka wa pili huu, vipi km. 1700 kwenda mwanza, vipi km. 1800 kwenda kigoma, vipi km. 1500 kwenda mpanda.......
 
1628441461282.png
 
Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
😆😆😆
 
Mnaulizia SGR ya nini, ya kazi gani, kivipi. Si Magu mlimwambia hamtaki maendeleo ya vitu bali demokrasia na uhuru wa kujieleza. Sasa ni kwamba mtatumia demokrasia na uhuru kwenda na kurudi Morogoro

Kwahiyo Magufuli aliacha kujenga hiyo reli akaanza kutekeleza demokrasia?
 
Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Haya aliyatamka kipindi kile kile alipodanganya msikitini kuwa eti "Magufuli haumwi ila yupo bize na mafaili mengi ofisini" ilihali mwenzie yu hoi huko anapumulia mashine.

Ulikuwa ni "MWEZI WA KUSEMA UONGO KWA WANANCHI - KWA HISANI YA OFISI YA PM".
 
Hapana...tuimarishe demokrasia kwanza. Libya walikuwa na kila kitu ila tu Gadaffi aliwanyima demokrasia wakamtoa. Nasi tunataka demokrasia tu, SGR na Stigla na madaraja ni maendeleo ya vitu yanaweza kusubiri vizazi vijavyo watajenga

Kwahiyo demokrasia ndio inawazuia kumalizia hiyo reli kipande cha Dar-Moro? Umeishiwa hoja za utetezi unaleta uchuro ili upotezee hili swali?
 
Hesabu kuanzia mwaka mmoja mbele ndipo inaweza kuanza kazi.
Ni chizi gani aliyetoa structure ya sgr dar ipite juu?
80% au zaidi ya pesa za mradi zimeishia kwenye kuweka minguzo hapa dar na bado haijakamilika
Lengo lilikuwa ni kuwakoga wapinzani.
 
..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara na ilimalizika ndani ya miaka mitano, toka Dar Es Salaam mpaka Kapirimposhi-Zambia.

..kwanini Magufuli na Samia wameshindwa kumaliza kipande cha Dar mpaka Morogoro kwa wakati, tunaelekea mwaka wa tano sasa?

..Na kama Dar mpaka Morogoro inachukua muda mrefu namna hii, reli itafika lini Mwanza na Kigoma? Ucheleweshaji huu unatokana na nini? Tatizo liko kwa mkandarasi, au serikali?
Acha uongo, walijenga wachina ulikuwa ni msaada.
 
Hapana...tuimarishe demokrasia kwanza. Libya walikuwa na kila kitu ila tu Gadaffi aliwanyima demokrasia wakamtoa. Nasi tunataka demokrasia tu, SGR na Stigla na madaraja ni maendeleo ya vitu yanaweza kusubiri vizazi vijavyo watajenga
Kama ni hivyo hata demokrasia inaweza kusubiri hadi vizazi vijavyo kama ilivyokuwa kabla ya 1992.
 
Back
Top Bottom