Waziri Mkuu Majaliwa huu ni mwezi wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kinaanza kazi lini?

Kwani wewe unaulizia SGR ya nini?

Kwani wewe unataka kula Sgr?

Wewe unataka hela mfukoni siyo SGR sasa unaulizia ya nini?

Mlipora uchaguzi mkasahau kuwa mna uwezo mdogo, sasa mnaumbuka. Hakikisheni vyombo vya dola vinaendelea kuwabeba maana hamna jipya.
 
Mlipora uchaguzi mkasahau kuwa mna uwezo mdogo, sasa mnaumbuka. Hakikisheni vyombo vya dola vinaendelea kuwabeba maana hamna jipya.
Kila siku unalia lia tu kuibiwa kura! Andamana mkuu au nenda na bomu kajilipua pale kwenye ofisi za ccm lumumba kuonesha uchungu wako!

Wewe unaulizia SGR ya nini wakati ulikuwa unasema hayo ni maendeleo ya vitu?
 
Mkuu wacha uongo, wewe si ulisema itachukua miaka 40 kukamilika? Njoo November 2020 uone majaribio Moro - Pugu. Dar bakini na ujanja wenu. JPM alimudu zote hizo sasa wameingia watoto wa watumwa kufuja pesa zilizokusanywa na wenye uchungu wa nchi hii.
Hit them up mkuu!!!
 
Kila siku unalia lia tu kuibiwa kura! Andamana mkuu au nenda na bomu kajilipua pale kwenye ofisi za ccm lumumba kuonesha uchungu wako!

Wewe unaulizia SGR ya nini wakati ulikuwa unasema hayo ni maendeleo ya vitu?

Kwani waziri Mkuu aliposema SGR itaanza kazi mwezi huu wa 8 alikuwa hajui sitaki maendeleo ya vitu? Majizi ya kura lazima muumbuke safari hii.
 
Kwani waziri Mkuu aliposema SGR itaanza kazi mwezi huu wa 8 alikuwa hajui sitaki maendeleo ya vitu? Majizi ya kura lazima muumbuke safari hii.
Eti kuumbuka!

Waziri mkuu akikuwa anawaambia wanaohitaji SGR! wewe huhitaji maana hayo ni maendeleo ya vitu na si watu,

Mkuu huu uchungu wako wa kuibiwa kura naomba vaa bomu kajilipue pale lumumba ili kufikisha ujumbe wako
 
Eti kuumbuka!

Waziri mkuu akikuwa anawaambia wanaohitaji SGR! wewe huhitaji maana hayo ni maendeleo ya vitu na si watu,

Mkuu huu uchungu wako wa kuibiwa kura naomba vaa bomu kajilipue pale lumumba ili kufikisha ujumbe wako

Mabomu zaidi ya haya ninayorusha hapa jukwaani? Yaani hapa nilipo napata raha nikiona sukuma Gang mnatapika ugoro tu.
 
Mabomu zaidi ya haya ninayorusha hapa jukwaani? Yaani hapa nilipo napata raha nikiona sukuma Gang mnatapika ugoro tu.
Pole sana mkuu!

Yani hata Lisu akiona hii coment yako kwamba hiki unachofanya hapa ni kurusha mabomu, atakucheka kwa dharau sana!
 
Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
PM wa ovyo kabisa katika historia ya Tz..
Toka alivodanganya tena akiwa msikitini kwamba Meko haumwi wakati jamaa alikuwa ashakata moto nikajua hili jamaa ni hopeless kabisa.
 
Hakuna hela Mkuu na hii susia susia ya huduma mbali mbali nchini na kutoomba risiti ukinunua kitu ili kuathiri mapato ya Serikali ikipamba moto basi hii Serikali haramu itakuwa na wakati mgumu sana kulipa hata mishahara.
Ni kususia tu ndio dawa yao..
Mi siombi risiti ya chochote siku hizi nikishafanya malipo..
Awamu ya kishenzi sana hii.
 
Wewe unataka nini!? Ushasema PM ni muongo je atakavyokuambia ni lini si bado utasema ni muongo... Ebu malizaneni kwanza gaidi mbowe ndo mengine muyafanye mspende kuongea wakati wa kula.
 
Wewe unataka nini!? Ushasema PM ni muongo je atakavyokuambia ni lini si bado utasema ni muongo... Ebu malizaneni kwanza gaidi mbowe ndo mengine muyafanye mspende kuongea wakati wa kula.
Atakavyoniambia ni lini, si alishasema mwezi huu wa nane? Mimi nimeweka na ushahidi wa uongo wake, ww ulitakiwa uonyeshe kama anasema ukweli.
 
..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara na ilimalizika ndani ya miaka mitano, toka Dar Es Salaam mpaka Kapirimposhi-Zambia.

..kwanini Magufuli na Samia wameshindwa kumaliza kipande cha Dar mpaka Morogoro kwa wakati, tunaelekea mwaka wa tano sasa?

..Na kama Dar mpaka Morogoro inachukua muda mrefu namna hii, reli itafika lini Mwanza na Kigoma?

..Ucheleweshaji huu unatokana na nini? Tatizo liko kwa mkandarasi, au serikali?
Reli ya Tazara ilijengwa na wachina kuanzia mbeba kokoto nk. Mradi wa SGR unazingatia kuwapa Watanzania nafasi kwenye ajira. Angalia wageni kutoka Yapi wako asilimia ngapi? Huwezi kulinganisha na TAZARA. Vile vile zingatia viwanda ambavyo vinajengwa kwa mfano kiwanda cha kutengeneza mataruma ambacho kina Watanzania wengi na uzalishaji huo utakuwa wa muda mrefu . ... .... creating opportunities for Tanzanians.

Sababu nyingine ya kuchelewa ni swala zima la Covid-19. JPM tutakukumbuka sana tu kwa kuona mbali na kutimiza yale ambayo taifa liliamua kufanya. Mwenyezi Mungu amemchukua mapema lakini ameonyesha njia how a country should be governed. Wezi kama JMK na genge lake la wahuni ambao wanafikiria matumbo yao tu siku zao zaja za kulia na kusaga meno. Kumbuka Mwenyezi Mungu hadhihakiwi kwa viumbe wake.

BTW vipande vya Mwanza, Tabora etc vimeanza na huko vitakwenda haraka zaidi kwa sababu mataruma na uzoefu upo mwingi miongoni mwa vijana wa kitanzania.
 
Reli ya Tazara ilijengwa na wachina kuanzia mbeba kokoto nk. Mradi wa SGR unazingatia kuwapa Watanzania nafasi kwenye ajira. Angalia wageni kutoka Yapi wako asilimia ngapi? Huwezi kulinganisha na TAZARA. Vile vile zingatia viwanda ambavyo vinajengwa kwa mfano kiwanda cha kutengeneza mataruma ambacho kina Watanzania wengi na uzalishaji huo utakuwa wa muda mrefu . ... .... creating opportunities for Tanzanians.

Sababu nyingine ya kuchelewa ni swala zima la Covid-19. JPM tutakukumbuka sana tu kwa kuona mbali na kutimiza yale ambayo taifa liliamua kufanya. Mwenyezi Mungu amemchukua mapema lakini ameonyesha njia how a country should be governed. Wezi kama JMK na genge lake la wahuni ambao wanafikiria matumbo yao tu siku zao zaja za kulia na kusaga meno. Kumbuka Mwenyezi Mungu hadhihakiwi kwa viumbe wake.

BTW vipande vya Mwanza, Tabora etc vimeanza na huko vitakwenda haraka zaidi kwa sababu mataruma na uzoefu upo mwingi miongoni mwa vijana wa kitanzania.

..Ni kweli walikuja Wachina wengi sana kujenga reli ya Tazara.

..lakini walikuwepo Watanzania wengi zaidi walioshiriki ktk ujenzi huo.

..hoja yangu ni kwamba sasa hivi tuna Vifaa bora zaidi, na utaalamu mkubwa zaidi, kuliko wakati wa ujenzi wa Tazara. Hivyo basi ujenzi wa SGR unatakiwa uende kwa kasi na kwa ufanisi kuliko Tazara.

..Ni kweli kwamba Waturuki wanajenga viwanda mbalimbali vya kusaidia ujenzi wa reli, kwa mfano kiwanda cha mataruma. Uwepo wa kiwanda hicho unatakiwa uongeze kasi ya ujenzi wa reli na sio upunguze kasi.

..Ninavyokumbuka Wachina nao walijenga viwanda mbalimbali vilivyowasaidia ktk ujenzi. Moja ya viwanda hivyo ni kile kilichopo Mang'ula kwa ajili ya mataruma ya reli na ukarabati wa mitambo mbalimbali.

..Kuhusu COVID siwezi kukubaliana na hoja hiyo. Kwanza, reli ya Dar to Moro ilitakiwa iwe imekamilika kabla ya mlipuko wa ugonjwa huo. Pili, ugonjwa huo haujatuathiri Watanzania, na nimesikia viongozi wa serikali wakisema uchumi wetu ilikuwa kuliko wa majirani zetu.

..Mwisho, habari za ujenzi wa vipande vya Mwanza na Tabora umezipata wapi? Taarifa rasmi ni kwamba ujenzi unaendelea kwa vipande vya phase 1 Dar to Moro; phase 2 Moro to Dodoma to Makutupora.

..Pia kuna kipande cha Mwanza to Isaka contract imekuwa awarded sio muda mrefu. Kipande cha Makutupora Tabora Isaka hakina mkandarasi.

..Nadhani serikali na TRC wanapaswa kuwa wawazi zaidi na wakweli kuhusu maendeleo na changamoto za mradi wa sgr.
 
Daaah, kweli hapa kazi ipo.
Mkuu sisemi uongo..
Last wk nimemenunua nyaya za 1.5mm na 2.5mmm (Euro cables) za fedha nyingi..Muuzaji akavuta efd mashine anataka kutoa risiti nikamwambia hapana sihitaji kabisa risiti..
Maana unaweza kuta hii kodi ingekatwa hapo ndio inalipa mshahara wa Siro..
Pumbavu zao kabisa watawala.
 
Back
Top Bottom