Watoa risiti nao wamegoma kutoa hizo risiti. Hakuna Headmaster, Discipline master, Kiranja wala Monitor sasa hivi.Hakuna hela Mkuu na hii susia susia ya huduma mbali mbali nchini na kutoomba risiti ukinunua kitu ili kuathiri mapato ya Serikali ikipamba moto basi hii Serikali haramu itakuwa na wakati mgumu sana kulipa hata mishahara.
Mkuu wacha uongo, wewe si ulisema itachukua miaka 40 kukamilika? Njoo November 2020 uone majaribio Moro - Pugu. Dar bakini na ujanja wenu. JPM alimudu zote hizo sasa wameingia watoto wa watumwa kufuja pesa zilizokusanywa na wenye uchungu wa nchi hii.
Kweli wakati ukuta...CCM inaweza kufutika katika Ulimwengu wa Siasa muda si mrefu Sana...Hakuna hela Mkuu na hii susia susia ya huduma mbali mbali nchini na kutoomba risiti ukinunua kitu ili kuathiri mapato ya Serikali ikipamba moto basi hii Serikali haramu itakuwa na wakati mgumu sana kulipa hata mishahara.
..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara na ilimalizika ndani ya miaka mitano, toka Dar Es Salaam mpaka Kapirimposhi-Zambia.
..kwanini Magufuli na Samia wameshindwa kumaliza kipande cha Dar mpaka Morogoro kwa tunaelekea mwaka wa tano sasa?
..Na kama Dar mpaka Morogoro inachukua muda mrefu namna hii, reli itafika lini Mwanza na Kigoma?
Mnaulizia SGR ya nini, ya kazi gani, kivipi. Si Magu mlimwambia hamtaki maendeleo ya vitu bali demokrasia na uhuru wa kujieleza. Sasa ni kwamba mtatumia demokrasia na uhuru kwenda na kurudi MorogoroKama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Na hiyo ndio njia sahihi ya kuwa pararazy kabisa. Tokea mwezi jana nimeacha kutumia pesa ndugu zangu kwa mitandao kule kwetu. Yuko mfanya biashara ambaye naye ni swahiba wangu, tumekubaliana na deposit pesa nitakayo NMB acct yake namtumia slip na kumwambia hizo mpe shangazi au mjomba. Mchezo umeisha, tozo wakatozane LumumbaHakuna hela Mkuu na hii susia susia ya huduma mbali mbali nchini na kutoomba risiti ukinunua kitu ili kuathiri mapato ya Serikali ikipamba moto basi hii Serikali haramu itakuwa na wakati mgumu sana kulipa hata mishahara.
Mkuu wacha uongo, wewe si ulisema itachukua miaka 40 kukamilika? Njoo November 2020 uone majaribio Moro - Pugu. Dar bakini na ujanja wenu. JPM alimudu zote hizo sasa wameingia watoto wa watumwa kufuja pesa zilizokusanywa na wenye uchungu wa nchi hii.
The 1,224 km long SGR RAILWAY line construction in Tanzania
Yapı Merkezi is constructing the fastest railway in East Africa. The first phase of the 1,224 km total line, the 202 km long Dar Es Salaam - Morogoro Railway Project, is the most critical part of the project. When the 5-part line is completed, it will connect Uganda, Rwanda, Democratic Republic of Congo and Tanzania, and provide access to the Indian Ocean for all related countries.
The groundbreaking ceremony took place on on April 12, 2017 at Pugu with the participation of HE Dr. John Pombe Joseph Magufuli as President and Commander in Chief of the Armed Forces of the United Republic of Tanzania, Hon. Prof. Makame Mbarawa as Minister of Works, Transport and Communication, Mr. Yunus Belet as acting Ambassador of Republic of Turkey in Dar Es Salaam, Mr. Erdem Arıoğlu as Vice Chairman of Yapı Merkezi, Mr. Özge Arıoğlu as CEO of Yapı Merkezi, Mr. Emre Aykar as Yapı Merkezi Board Member and , Mr. Abdullah Kılıç as Yapı Merkezi East Africa Regional Manager.
All works pertaining to design, manufacture, assembly and operation startup of track superstructure, electrification, signaling, telecommunication, central control systems are being carried out by Yapı Merkezi.
202 km-long single line will be constructed at a design speed of 160 km / h between Dar Es Salaam and Morogoro. During the 30-month project, a total of 33 million cubic meters of excavation work will be undertaken; 96 pieces of 6,500 meter-long bridge and overpasses, 460 culverts, 6 stations and repair and maintenance workshops will be constructed.
Yapı Merkezi İnşaat ve Sanayi A.Ş.
Na hiyo ndio njia sahihi ya kuwa pararazy kabisa. Tokea mwezi jana nimeacha kutumia pesa ndugu zangu kwa mitandao kule kwetu. Yuko mfanya biashara ambaye naye ni swahiba wangu, tumekubaliana na deposit pesa nitakayo NMB acct yake namtumia slip na kumwambia hizo mpe shangazi au mjomba. Mchezo umeisha, tozo wakatozane Lumumba
Hakuna hela Mkuu na hii susia susia ya huduma mbali mbali nchini na kutoomba risiti ukinunua kitu ili kuathiri mapato ya Serikali ikipamba moto basi hii Serikali haramu itakuwa na wakati mgumu sana kulipa hata mishahara.
Mnaulizia SGR ya nini, ya kazi gani, kivipi. Si Magu mlimwambia hamtaki maendeleo ya vitu bali demokrasia na uhuru wa kujieleza. Sasa ni kwamba mtatumia demokrasia na uhuru kwenda na kurudi Morogoro
Tanzania Railways Corp waje watujibu hivi hii ofisi si alikwepogo Ben Mwanantala yupo wapiKama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Huyu jamaa si ameshakimbia toka TRC baada ya "kuchoshwa" kuripoti reli kila siku ipo 97% kipande kimekamilika, akaona heshima yake kiuandishi wa habari inashuka.Ben Mwanantala yupo wapi
Hapana...tuimarishe demokrasia kwanza. Libya walikuwa na kila kitu ila tu Gadaffi aliwanyima demokrasia wakamtoa. Nasi tunataka demokrasia tu, SGR na Stigla na madaraja ni maendeleo ya vitu yanaweza kusubiri vizazi vijavyo watajenga..kwanini CCM hamuihoji serikali yenu?
..kwanini sgr Dar to Moro haijaisha mpaka leo wakati tuliahidiwa itachukua miezi 18?
..wapinzani wanahoji kwasababu fedha za MKOPO zinazotumika kujenga sgr zitalipwa na Watz wote bila kujali vyama vyao.
Hapana...tuimarishe demokrasia kwanza. Libya walikuwa na kila kitu ila tu Gadaffi aliwanyima demokrasia wakamtoa. Nasi tunataka demokrasia tu, SGR na Stigla na madaraja ni maendeleo ya vitu yanaweza kusubiri vizazi vijavyo watajenga
Huwa natofautiana na wewe kwenye masuala mengi. Ila huli la Sgr umehoji suala la msingi. Umekosea kuongelea habari za kubambikiziana kesi.Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?