LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,400
- 3,632
Wewe ni wakuonewa huruma tu maana uwezo wako ndipo ulipoishia kwa sasa.Hesabu kuanzia mwaka mmoja mbele ndipo inaweza kuanza kazi.
Ni chizi gani aliyetoa structure ya sgr dar ipite juu?
80% au zaidi ya pesa za mradi zimeishia kwenye kuweka minguzo hapa dar na bado haijakamilika