Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?