Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,158
- 2,272
Bora angelufa ili uchaguzi itangazwe chadema tukachukue jimbo
.
Ni mbunge wa kuteuliwa kama Prof. Muhongo yaani ni mbunge wa viti maalum vya Rais
Bora angelufa ili uchaguzi itangazwe chadema tukachukue jimbo
.
wafe tu magamba hawana maana. na wafe tu.
Kwani Al-Shabaab in roho..?
Waziri mwenyewe ukimuuliza atakuambia leo uisku atakuwa kakabidiwa vichuchu sealed 72, kazi kwake kukimbiza kutoboa seal huku inarudi, kazi kwake hadi azidi kasi ,rate ya kurudia seal.
Anaweza kuwa alikuwa akisubiri sana kifo..huku duniani unafiki wa uzinzi, kinywaji hata glass moja na mademu chini ya 4 ni tuu issue.....
haki na usawa na mshahara mnagawana au mnatumia cv moja?
wafe tu magamba hawana maana. na wafe tu.
Kuna njia nyingi za kuonyesha itikadi za chama chenye mlengo wa mauaji. Naona ndugu unatuonyesha itikadi za chama chako.
May be!!namkia kila la heri apone haraka !
kwani Rip ni nini?
Tumshukuru Allah kama wametoka salama katika ajali na majeraha ni kawaida ila
Upendo umeisha kwa Watanzania mtu kapata ajali mwombee apone usiombe afe maana wewe hutakaa katika nafasi yake bali atawekwa wa asili yao
Tumwombee kwa Allah apone na aendelee na kazi maana asiyejua ajali ataongea lolote katika ajali ila kama amewahi kuhusika katika ajali asingesema ovyo hata kidogo
na polis inapoua raia????hapo haki huwa pendingHapana, sio sawa, hatujafikia huko! Uhai ni haki ya Mtu kikatiba, na haijasikia Kama ni magma a au la! Siasa is uadui! Ukome!
Ni breaking news ya radio one stereo.
Dereva wake ajeruhiwa, pamoja na meneja wa TTCL kanda ya ziwa.
Hali ya waziri mwenyewe haijatajwa kama amejeruhiwa ama yuko salama.
Ajali hiyo imetokea mkoani Geita wakati gari iliyombeba waziri Mbarawa ilipogongwa na basi lililokuwa linatokea mkoani Kagera kwenda Mwanza.
Msafara wake ulikuwa unaelekea mkoani Kagera ambapo waziri alikuwa anakwenda kukagua mkongo wa Taifa.