Waziri Mbarawa apata ajali Geita

Waziri Mbarawa apata ajali Geita

Ni kawaida yenu hata ajali ya Chacha Wangwe si mulifurahi

chacha wangwe hapa hahusiki.
Tena mfe maccm, mnatuambia eti matibabu bure kwa watoto chini ya 5 yrs na wazee zaidi ya 60yrs, juzi nimempeleka mtoto wangu wa miaka miwili naambiwa dawa hakuna kanunue famasi huku nyie magamba mkimbilia india na uingereza kutibu malaria, NANI ATAWAPENDA KWA TABIA HII YA KUUA.
tena angekufa.
 
Mwehu wewe. Unajuaje kama dereva wa Waziri co Chadema?
Je huyo meneja wa ttcl unajuaje kama sio chadema?
akifa familia yake wakiwa n chadema je.
Ujinga sana.

mlengwa wetu hapa ni waziri. Japo hata hivyo sio rahisi gamba kuendeshwa na makamanda,makamanda hatujui kubandua number za magari ya serikali na kuweka za uraiani na kupiga misere kama mfanayavyo magamba.
 
Ismail Aden Rage(Mbunge wa CCM) huwa anahutubia Mikutano akiwa na Bastola Kiunoni(Tabia za Al Shabab).Nahisi nae ni Msomali.

mkuu usidhani ni msomali, yule ni msomali pure. Toka lini msomali anapatikana tabora?? Sijui hata hii operation yao ya kimbunga ya eti kuondoa wahamiaji haramu ililenga wahamiaji wapi? Maana bado namuona tembo dentist na yule mtembea na bstola kwenye mikutano wakiondolewa. Sijui kama wangekuwa CDM ccm wangesemaje.
 
Waziri Mzanzibar anatafuta nn bara? Anyway pole sana waziri

Hii Wizara kuna Idara zinahusika na Muungano. Mmoja wa mawaziri wachache mno wanao elewa wanafanya nini,wasiopenda kuandamana na wapiga debe a.k.a waandishi wa habari,wanapo kuwa wanatekeleza majukumu yao! Pole Prof. Mbarawa!
 
Hapana, sio sawa, hatujafikia huko! Uhai ni haki ya Mtu kikatiba, na haijasikia Kama ni magma a au la! Siasa is uadui! Ukome!

uhai ungekuwa haki ya kikatiba policcm wasingetuua na kusifiwa kwa kupandishwa cheo.magamba yafe tu na sisi tumechoka
 
Mkuu hapa sio suala la Magamba na Magwanda bali ni Tunazungumzia haki ambayo kila Mtanzania anatakiwa kupewa na sio chuki kulingana na chama chake.

Hawa siyo wale wabunge wa kalamu moja....
 
Jimbo gani wakati ni mbunge wa kuteuliwa, teh teh teh, viroba hatari.

Haha....kwani kuteuliwa ndio kunabadili nini?Hadi sasa Jk hana option ya mawaziri ktk list ya vilaya.Ndio hawezi kuwa na baraza jipya kabisa..na wengi anaowarudisha ni makombo yaleyale ya kila siku.
 
Akili za Bavicha bana, kwa hiyo unaomba CCM wote wafe wabakie Chadema, teh teh teh!

Kwani wao ndio wa kwanza kufurahisha wakifa.....idd amini , sadaam, Ghaddafi, Osama,mobutu .......etc si walifurahisha dunia walipoondoka..
 
Back
Top Bottom