Waziri Mbarawa apata ajali Geita

Waziri Mbarawa apata ajali Geita

Hivi criteria gani ilitumika Makame Mbarawa kuwa waziri?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwa posts hizi, kuwarudisha watanzania pamoja itakuwa kwa neema ya Mungu. Wazee wenye busara watembelee huu uzi, na waanze mara moja mikakati ya umoja wa watanzania
 
Najiweka tayari kwa sherehe endapo ikiwa ame R I P. Ngoja nielekee kwa kinana(NDOVU) baridi nikapate pongezi za awali
 
mimi niliomba awamalize kwa vifo, ili b4 2015 waone wenyewe bunge linavyokuwa na sura ingine..nina hofu muda umepita sana..Mungu akianza jibu wanaweza kufa hadi CCM waogope na kudai CDM wanawaloga..
Akili za Bavicha bana, kwa hiyo unaomba CCM wote wafe wabakie Chadema, teh teh teh!
 
Dah! viongozi wa sirikali hawatakiwi kabisa na wananchi wenye hasira kali
 
Mnaficha mabilioni Uswiss.Mnanyonga demokrasia. mnajilipa mishahara minono huku maskini walimu na wafanyakaz wakitaabika.Ufisadi wa kutisha na kujilimbikizia mali huku maskini wakikosa maji na umeme na madawa hospitali. Ndo mana watu wanawaombea kifo!!!
 
mimi niliomba awamalize kwa vifo, ili b4 2015 waone wenyewe bunge linavyokuwa na sura ingine..nina hofu muda umepita sana..Mungu akianza jibu wanaweza kufa hadi CCM waogope na kudai CDM wanawaloga..

weekend ina mambo ndio munavyofundishwa pale makao makuu kinondoni dah kazi ipo.
 
Jamni hajafa huyu waziri?? Nasikitika. Maana sisi tunaopanda mabasi hawatuandalii hata uokoaji?? Angaetangulia ingekuwa poa.
 
Tumshukuru Allah kama wametoka salama katika ajali na majeraha ni kawaida ila
Upendo umeisha kwa Watanzania mtu kapata ajali mwombee apone usiombe afe maana wewe hutakaa katika nafasi yake bali atawekwa wa asili yao
Tumwombee kwa Allah apone na aendelee na kazi maana asiyejua ajali ataongea lolote katika ajali ila kama amewahi kuhusika katika ajali asingesema ovyo hata kidogo

Who is ALLAH?
 
Itikadi za ki Alshabaab

Sioni tofauti kati ya Chadema na Alshabaab, labda tu ni mirungi na viroba

Ndiyo maana chadema inadharaulika kwa ajili ya watu kama hawa , sasa ndiyo upinzani huo? Chadema ina safari ndefu sana , maana sasa hivi hamna tofauti kati yao na alshabaab
 
Amekoswa koswa kurest in peace akatambike huyo waziri.
 
ingependeza sn kama magamba yangepungua

Mwehu wewe. Unajuaje kama dereva wa Waziri co Chadema?
Je huyo meneja wa ttcl unajuaje kama sio chadema?
akifa familia yake wakiwa n chadema je.
Ujinga sana.
 
tumshukuru allah kama wametoka salama katika ajali na majeraha ni kawaida ila
upendo umeisha kwa watanzania mtu kapata ajali mwombee apone usiombe afe maana wewe hutakaa katika nafasi yake bali atawekwa wa asili yao
tumwombee kwa allah apone na aendelee na kazi maana asiyejua ajali ataongea lolote katika ajali ila kama amewahi kuhusika katika ajali asingesema ovyo hata kidogo

wao huua raia trough indirect way, wangap wanakufa njaa, hospital mbovu, ni majuz tu nimeshuhudia mjamzito akipoteza kichanga kisa hela ya matibabu, nenda muhimbil ukajionee, usione watu wanasema bora afe wametendwa na maov ya serikal, wameumizwa na misiba ya iletwayo na dola, nachoweza kusema ccm itende hak hawatasikia maneno hayo. Pamoja mkuu.
 
Back
Top Bottom