Waziri Mbarawa apata ajali Geita

Waziri Mbarawa apata ajali Geita

amenusurika au kafa ? Hata kama kafa huna mamlaka ya kusema rip , unatakiwa useme roho yake iwekwe mahali inapostahili , unazijua dhambi zake ?
 
hawajasema kama kaukata ama laah ngoja tusikilizie unataka ukachukue jimbo nico..
Mimi nitasaidia kwa hali na mali atakayesimama kutokea CDM...nasubiri kwa level karibu ile ya kumsubiri Masih ....halafu sipendi wazenj wanapitapita mitaa ya Tanganyika km mawaziri wakati hata masai tuu kule zenj hatembei kwa raha bila hata kutaka uongozi.
 
Msafara wa waziri wa sayansi na mawasiliano Tanzania, umepatwa ajali baada ya kugongwa na basi la abiria mnamo saa mbili hivi usiku huko Sengerema baada ya kuvuka Kivuko cha Busisi, upande wa dereva ndo ulioharibika zaidi na kwamba dereva wake amejeruhiwa na mwingine ni Mkuu wa TTCL kanda ya ziwa.

Ni breaking news ya radio one stereo. Iliyodomwa na Abdallah Mwaipaya

Dereva wake ajeruhiwa, pamoja na meneja wa TTCL kanda ya ziwa Mheshimiwa Mr. Mabula

Hali ya waziri mwenyewe haijatajwa kama amejeruhiwa ama yuko salama. Msemaji wake amedai kuwa wako katika harakati za kuurejesha Mwanza kwanza kwa ajili ya uchunguzi na tiba.

Ajali hiyo imetokea mkoani Geita wakati gari iliyombeba waziri Mbarawa ilipogongwa na basi lililokuwa linatokea mkoani Kagera kwenda Mwanza.

Msafara wake ulikuwa unaelekea mkoani Kagera ambapo waziri alikuwa anakwenda kukagua mkongo wa Taifa.


Tutarajie Habari kamili kesho kwenye TV na Redio.

Source: Radio One sasa hivi saa 22:57pm 28/09/2013
 
Tumshukuru Allah kama wametoka salama katika ajali na majeraha ni kawaida ila
Upendo umeisha kwa Watanzania mtu kapata ajali mwombee apone usiombe afe maana wewe hutakaa katika nafasi yake bali atawekwa wa asili yao
Tumwombee kwa Allah apone na aendelee na kazi maana asiyejua ajali ataongea lolote katika ajali ila kama amewahi kuhusika katika ajali asingesema ovyo hata kidogo

Kweli Mkuu Watanzania wamekuwa na roho kama ya Al-shabaab
lakini Waswahili hao hao wanasema usilipe baya kwa baya
Tumuombe ndugu yetu apate kupona tuache kumuombe mabaya
 
Mazishi lini wakuu? Tuna bajeti ya kuzika viongozi! Pumzika unapostahili mh.Waziri...........
Si nasikia hawalazi......au watalaza ili awe chambo ya kupiga kampeni kwa magamba...
 
Mkongo wa Taifa umeanza kufanya kazi lini maana mpaka leo mitandao ya simu katika internet inasumbua sana na gharama zimepanda mara dufu wakati wakitandaza walisema mtandao utakuwa wa haraka sana na utapunguza gharama sasa sijaona faida yake
Si ndio hapo mkuu!
 
kweli mkuu watanzania wamekuwa na roho kama ya al-shabaab
lakini waswahili hao hao wanasema usilipe baya kwa baya
tumuombe ndugu yetu apate kupona tuache kumuombe mabaya


haki na usawa na mshahara mnagawana au mnatumia cv moja?
 
Kweli Mkuu Watanzania wamekuwa na roho kama ya Al-shabaab
lakini Waswahili hao hao wanasema usilipe baya kwa baya
Tumuombe ndugu yetu apate kupona tuache kumuombe mabaya
Kwani Al-Shabaab in roho..?

Waziri mwenyewe ukimuuliza atakuambia leo uisku atakuwa kakabidiwa vichuchu sealed 72, kazi kwake kukimbiza kutoboa seal huku inarudi, kazi kwake hadi azidi kasi ,rate ya kurudia seal.

Anaweza kuwa alikuwa akisubiri sana kifo..huku duniani unafiki wa uzinzi, kinywaji hata glass moja na mademu chini ya 4 ni tuu issue.....
 
Angalieni dua za wanyonge juu ya bili za kodi ya simu ni mbaya na michango ya wanajamii humu nyingi zitaleta maafa kwa viongozi wetu
Tumwombe Allah awape macho muone/ndoto njema muote na mpate kujua ni nini wananchi wanafikiria juu yenu na familia zenu ili mpate amani na furaha katika misha yenu ya kila siku.

Maana Upendo,Uvumilivu, Amani, Mshikamano na Utulivu unaisha katika nchi yetu kwa kasi ya ajabu
 
...

......watanzania wangapi wamekufa wanakufa watakufa kwa sababu ya UTAWALA BORA?

...KAMA WEWE NI GAMBA KUFAAAAAAAAAAAAAA TUUUU!!!
 
Mkongo wa Taifa umeanza kufanya kazi lini maana mpaka leo mitandao ya simu katika internet inasumbua sana na gharama zimepanda mara dufu wakati wakitandaza walisema mtandao utakuwa wa haraka sana na utapunguza gharama sasa sijaona faida yake

Bora angelufa ili uchaguzi itangazwe chadema tukachukue jimbo
.
 
Back
Top Bottom