Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Looh! siasa za TZ zinakoelekea ni kubaya mno, si muda mrefu tutakuwa na viongozi ambao hawafanyi kazi yoyote kwa kuogopa kuitwa mafisadi.

Sioni tatizo waziri Masha kukutana na hiyo kampuni au kufanya nao mazungumzo. In fact hata ningelikuwa mimi ningekutana na kampuni yoyote ambayo inaonyesha interest ku invest au kufanya kazi yoyote Tanzania.

Labda tatizo linakuja kama huyo waziri anahongwa na kuanza kutumia pressure kulazimisha tender ichukuliwa na hao waliomhonga.

Lakini pia inawezekana kabisa asihongwe na pamoja na kukutana na hao jamaa bado akaachia taratibu zote zifuatwe kuhakikisha anapatikana mshindi anayefaa na aliyechaguliwa kwa uhalali.

Ninatofautiana na Masha kwenye mambo mengi lakini hili la kuonana na hao jamaa naona sio issue kabisa labda tu kama kuna ushahidi zaidi unaoonyesha kuwapendelea hawa jamaa wakati hawana sifa.

Inabidi nikiri mimi sijafuatilia hili saga na sijasoma thread ya vitambulisho, huenda huko kuna ushahidi zaidi.
 
Jamani nimeona ni cut and paste archive ya mambo ya Sagem huko Nigeria angalao uone jamaa na rushwa ili wapate upendeleo. Sasa kazi ipo, je Masha alishapokea au bado??? Leteni details vijana.
________________________________________________________________

NigeriaFirst

ICPC detains minister over fraud
Dec 4, 2003, 16:48

A serving minister, two former ministers, a former state governor and two senior government officials were arrested on 3 December for involvement in an alleged National Identity Card Project scam.

Nabbed on the instruction of the Independent Corrupt Practices Commission (ICPC) were current Minister of Labour and Productivity, Alhaji Hussaini Zannuwa Akwanga, former Internal Affairs Minister, Chief Sunday Michael Afolabi, a former Minister of State in that ministry, Dr Mohammed Shata and former Enugu State governor, Chief Okwesilieze Nwodo who is also a former national secretary of the Peoples Democratic Party (PDP).

Also arrested were Ms R. O. Akerele, present permanent secretary in the ministry of internal affairs, Christopher Orumgre Agidi, former director, Department of National Civic Registration and Niyi Adelagun, business representative of SAGEM S.A., the major contracting firm in the ID card project.

The ICPC in a statement signed by its Chief Information Officer, Mike Sowe, said the Commission had commenced investigations as the officials were "alleged to have collected colossal sums of money in local and foreign currencies" through a bribery scheme organised by SAGEM's agents in Nigeria including the Regional Area Manager, Identification Systems, Mr Jean Pierre Delarue, and Niyi Adelagun.

Mr Sowe said all the arrested officials have made useful statements to the Commission, while their accounts in the United Kingdom are being investigated, adding that the suspects would appear in court soon.

He also disclosed that Christopher Agidi has been arrested in the United Kingdom and efforts are being made to repatriate him to Nigeria to assist in the investigations.



--------------------------------------------------------------------------------


NigeriaFirst

Obasanjo sacks labour minister over corruption
Dec 4, 2003, 17:56

President Olusegun Obasanjo on 4 December approved the termination of the appointment of Alhaji Hussaini Akwanga as minister of Labour and Productivity over his alleged involvement in fraud in the National ID card scheme while he was a Permanent Secretary in the Ministry of Internal Affairs.

In a letter to the minister, the President stated that the ongoing investigation by the Anti-Corruption Commission into the National Identity Card project in which Alhaji Akwanga's role as Permanent Secretary in the Ministry of International Affairs has been called to question, is disheartening at a time efforts were being made to stamp out corruption in the public service.

The president said that as a member of the Federal Executive Council, the report of the former minister's involvement in the ID card scam constitutes a serious embarrassment to government, and a dent on his image as minister. He added that in line with this administration's commitment to transparency and to protect the integrity of the Federal Executive Council, it became imperative to terminate his appointment with immediate effect.

Alhaji Akwanga is to hand over the affairs of the Ministry of Labour and Productivity to the Permanent Secretary



--------------------------------------------------------------------------------


NigeriaFirst

Former Minister, others charged with ID Card fraud
Dec 30, 2003, 14:47

The former Minister of Internal Affairs, Chief Sunday Afolabi, and five others will each face a 16-count charge in connection with the National Identity Card scam estimated at $214 million.

The Independent Corrupt Practices and Other Related Offences Commission (ICPC) brought the indictment against the suspects who were arrested and detained by the State Security Service on 1 December.

Counsel to the ICPC, Mr. Sanussi Kado, filed the charges at the Abuja High Court on 29 December.

Justice Ibrahim Bukar, who granted the application, directed that all the suspects should be arraigned in his court today, 30 December.

Those charged along with Afolabi are:

The immediate past Minister of Labour and Productivity, Alhaji Husein Akwanga

The Permanent Secretary, Ministry of Internal Affairs, Ms. Turi Akerele

The former National Secretary of the Peoples Democratic Party, Dr. Okwesilieze Nwodo

The former Minister of State for Internal Affairs, Dr. Mohammed Shatta

SAGEM S.A. Representative in Nigeria, Mr. Niyi Adelagun
A breakdown of the charges shows that Afolabi is accused of receiving $330,000, while Akwanga is accused of allowing his daughters to collect $30,000 on his behalf. Adelagun, on the other hand, is the man identified as distributing the bribes while Nwodo is said to have conspired with him and facilitated the distribution. Meanwhile, Akerele is alleged to have collected $500,000.

Some of the lawyers working in defence of the accused are:

Chief Joseph Bodurin Daodu (SAN) for Afolabi

Chief Chris Uche (SAN) for Nwodo

Ricky Tafa (SAN) for Mohammed Shatta

Mr. Joe Kyari Gadzama (SAN) for Akwanga

Mr. Rotimi Jacobs for Akerele.
The National Identity Card scandal came into the limelight last September when President Olusegun Obasanjo summoned top officials of SAGEM. S.A. and the DNCR to a meeting over complaints of non-payment by some contractors.

Following investigations, the ICPC, by 3 December, subsequently alleged that the accused had received gratification worth $214 million from SAGEM of South Africa, which executed the National Identity Card project.



--------------------------------------------------------------------------------


Vanguard



$214m ideNtity card scam:Afolabi, Akwanga, others' trial begins in Abuja today

By Lemmy Ughegbe
Tuesday, December 30, 2003



ABUJA- FORMER Internal Affairs Minister, Chief Sunday Afolabi, and others currently in detention over the alleged $214 million National Identity Card scam are to face a 16-count charge when they are arraigned in court in Abuja today. The others are immediate past Internal Affairs Minister, Dr. Mohammed Shata; Permanent Secretary in the ministry, Ms. Turie Akerele; immediate past Labour Minister, Alhaji Hussain Akwanga; former National Secretary of the ruling PDP, Dr. Okwesilieze Nwodo, and Mr. Niyi Adelagun, partner of SAGEM S. A., the contractor for the National ID card project.


An Abuja High Court, presided over by Justice Ibrahim Bukar, yesterday, granted the Independent Corrupt Practices and Other Related Offences Commission (ICPC) leave to slam the 16-count charge against the suspects.


Of the six, only Dr. Nwodo was not specifically cited as having received or given part of the money, but he was said to have facilitated the link between Adelagun and other suspects.


Chief Afolabi is facing a two-count charge of receiving a $330,000 bribe, while Alhaji Akwanga is accused of allowing his daughter to receive his own share of $300,000. Dr. Shata's alleged offence is receiving $415,000 while Akerele allegedly got $500,000. Adelagun is facing a four-count charge of distributing the bribes.


Granting ICPC leave to arraign the suspects, Justice Bukar held that: "on the face of the documents before this honourable court, I am convinced that the complainant has sufficient evidence for the arraignment of the accused persons. Accordingly, the motion for leave is hereby granted."


Earlier, the Attorney General of the Federation (AGF) and Minister of Justice, Chief Akinlolu Olujimi (SAN), had told newsmen that the suspects would be arraigned very soon.


Speaking with newsmen after waiting for almost two hours for the judge to commence hearing of the motion for the enforcement of the fundamental human rights filed by counsel to Nwodo, Chief Olujimi explained that the Federal Government was investigating further the scam, hence the delay in their being charged to court.


The ICPC had on December 3, this year announced the arrest of the suspects over their alleged complicity in receiving a colossal amount of money as bribe to influence the award of the ID card project to SAGEM.


However, on December 17, the commission, in reply to a letter written by Dr (Mrs) Dorothy Nwodo, wife to one of the accused persons (Nwodo) wrote her, denied custody of her husband.


The letter with serial no: ICPC/HC/003/11/110 entitled: "RE: REQUEST TO SEE MY HUSBAND, DR OKWESILIEZE NWODO" signed by one Popoola on behalf of the commission's Chairman, Justice Mustapha Akanbi read thus:


"I am directed to acknowledge with thanks the receipt of your letter dated 16th December, 2003 relating to the above subject matter. I am also to inform you that your husband is not in the custody of the ICPC and has in fact not reported at any time in the office of the commission. I am to add that at no time did any officer from the Investigation Department of the commission, visit your house on 1st December, 2003, let alone refusing him to take anything with him. You may, therefore, wish to look elsewhere for your husband."



--------------------------------------------------------------------------------


Nigeria withdraws corruption charges against former Ministers

Abuja - 02/06/2004

Abuja, Nigeria (PANA) - The Nigerian government
Wednesday withdrew corruption charges against three
former Ministers and others in connection with the 214
million-dollar national Identity Card scheme.

Counsel to the Independent Corrupt Practices Commission
(ICPC), Makanjuola Esan, asked for the withdrawal of the
charges at the resumed hearing of the case before an
Abuja High Court.

He told the Court the ICPC was willing to stand down the
case and that the anti-graft Commission might likely file
fresh charges against the accused persons.

Presiding Justice Mudashiru Oniyangi struck out the case
and ordered that the seized international passports of
the accused persons be returned to them.

The Judge, however, rejected a motion by the defence
counsel to acquit the accused persons from subsequent
arrest and arraignment.

Shortly after the proceedings, the anti-graft panel
summoned the accused persons to its headquarters for
interrogation.

The Commission last December announced the arrest and
detention of two former Internal Affairs Ministers,
Sunday Afolabi and Mohammed Shata, and former Labour
Minister Hussaini Akwanga for allegedly collecting
various sums of money as bribe to influence the award
of the Identity Card project to French company SAGEM.

Also arrested were a former official of the ruling Peoples
Democratic Party (PDP), Okwesilieze Nwodo, and the Permanent
Secretary in the Ministry of Internal Affairs, Turie Akerele.

The accused, who all pleaded not guilty, were granted bail
following their arraignment 30 December 2003 at the Abuja
High Court.

Afolabi, however, died in a London hospital last month.
 
Naomba kutofautiana. Uzoefu wangu unaonesha kuwa sio lazima kampuni inaposhindwa kufanya kazi kwa mteja mmoja basi haiwezi kufanya vyema kwingine! Mfano kuna hii software maarufu sana duniani ya SAP- inaheshimika. Lakini ilikuwaje miaka ya nyuma Boeng Corp-kampuni kubwa ya ndege ilishindwa kufanya implementation yake???(ya SAP), wakati makampuni mengine yakaweza???. Je haiwezi kuwa hivyo kwa Sagem? Pili kama kuna wafuatiliaji wazuri wa Card Industry-watakubaliana nami Sagem ni kampuni kubwa-(siungi mkono kabisa kama kukua kwao kumekuja kwa kuwa watoa rushwa). Niko kwenye Card Indusstry kwa karibu miaka 11, na nadhani imekuwa kawaida sasa kila ID proejct kubwa popote pale duniani kelele kama hizi hazikosekani, na kibaya zaidi IT projects kubwa hapa Tanzania hazikosi kelele!!!! Sitaki tuseme tumezizoea, ila uchunguzi unapofanyika mwisho wa siku kelele zinathibitishwa kuwa ni kelele za mkosaji!
La mwisho najiuliza kama Masha angekaa kimya na mwishowe akapatikana contractor mbovu-je nasi tungekaa kimya kwamba bila kumlalamikia waziri mwenye dhamana ??????
Naomba tukubali kuwa pamoja na PPA/PPRA-bado kuna uzoefu kuwa viongozi wa taasisi, bodi, wizara kuna wakati zinahitaji kupata taarifa kwani-kila mmoja anatakiwa ku-monitor progress against performance targets. Nini mategemeo kwa mtu proactive???? atakaa anasubiri yaharibike- nimeshuhudia vyombo vingine nje ya PPA vikihitaji ushauri wa PPRAna PPRA haijawahi kusita kutoa ushauri.
Nakubaliana na mtoa hoja kuwa waziri kukutana na viongozi wa Sagem si kosa-tatizo sisi watanzania na hasa watumishi wa umma hatuko business mindedna PR yetu ni ya mashaka mashaka. Mimi nitachukia kama dokezo la Masha lilisema Sagem wasaidiwe kupata zabuni vinginevyo sioni kosa!
 
Masha ni bosi wa Katibu Mkuu wa mambo ya Ndani, right? Sasa Luhanjo anawezaje kumuamuru Katibu Mkuu wa wizara amzunguke waziri wake halafu Waziri akiulizia aambiwe ana nongwa?

Kama huu mradi ulikuwa unashughulikwa na mambo ya ndani Masha has the right, and is right, in asking for the status and decisions made under his nose, right? You bet he does!


MASWALI HAYA YAPATE MAJIBU, ili tupunguze wasiwasi nae!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu Kuhani, PD zimeandikwa tatizo lolote lipelekwe kwa KM na anwani yake ikawekwa hapo. Sasa kwa nini ikapelekwa kwa Waziri?????????????
Na hayo malalamiko yako wapi????mbona hajaambatanisha kwenye hiyo barua yake???????
 
halafu ni lini masha hata kama kujilinda alisema ameshawahi kukutana na hawa watu wa sagem hili kuweka wazi,kakutana na wengine au hawa tu?.naona ingekuwa busara angeweka wazi isitoshe yeye anahisi kuna watu wanataka kumchafua kisiasa,mie ainiingii kichwani kabisaa, kwa hili ,basi hata karamagi halikuwa sahihi kukutana na wawakilishi waliotaka kuwekeza buswagi hotelini, saa zingine kama atujui na kama swala linatuhusu tuachane nalo tu,maanake hili ishakuwa soo,inanikumbusha kama mtikila kushikwa pabaya vile,leo hili kesho atujui vyombo vya habari vitakuja na nini, mara watagusa familia,halafu?maanake masha asisahau Dr hoseah anatafuta sana pakutokea nakujisha Don chenge kashawahiwa na SFO,sasa huyu kijana wetu yupo yupo tu,lakini.......duh! ebwana eeh!
 
Mimi naamini kama KAMPUNI IMESHAKUWA NA REKODI YA RUSHWA. ITS ENOUGH CRITERIA KUTOIPA HATA NAFASI YA KUTUMA MAOMBI YA TENDA. Unaamini kwamba SAGEM angefanya huo ujinga Ulaya au US..angepeta? kama anavyopeta hapa kwetu?

Hapa tayari tunajua kwamba SAGEM waliboronga Nigeria. Jamani tunahitaji ushahidi gani zaidi wa kutafuta kampuni zenye integrity? au HAZIPO? au tulikuwa hatujui? in otherwords hatufanyi ground check kuhusu utendaji wa kampuni kama hii ambayo tunataka kuipa mradi wa billions? sitaki kuamini hivyo. Ama kweli waafrika tunahitaji msaada wa Yesu! We cant do even the smallest thing with success and intergrity? Damn!

Harafu inawezekana kabisa..SAGEM ikafanya kazi nzuri huko kwingine ulaya na nchi nyingine zilizoendelea kwa sababu huko wanabanwa na sheria...sasa kwa Africa ni tofauti; kama Kampuni inapata tenda kwa kumuhonga waziri..unategemea nini? hata kazi watakayofanya itakuwa substandards!

I can assure you..kampuni kama SAGEM haiwezi fanya inayotufanyia (kwa kushirikiana na viongozi wetu) katika nchi zilizoendelea! Na kama umeshafuatilia haya MNCs wanafanya madudu sana wakija Africa..kwa sababu wanajua consequences hakuna, maana wahusika wameshawaweka mifukoni! Angalia kampuni kubwa kubwa kama Barrick et al..wakiwa Canada wanalipa kodi zao vizuri na wanafuata sheria vyema kabisa..wakija Africa ndo matatizo yanapoaanzia. Na hii si kwa SAGEM tuu its across the board!

Haya makampuni na wajomba zao huko ulaya...wataendelea kutuchezea akili kwa sababu wanajua sisi ni malofa..we take too long to understand small things! na hakika ukiangalia viongozi wetu ndo wanatuuza! Juzi Lowassa ametuingiza kwenye hasara kubwa mno ya Richmond..lakini mpaka leo mtu yuko huru, hela nyingi imekwenda, umeme hatukupata..na bado wananchi wenye courage ya kulalamika wanaitwa wenye wivu na wasio na akili! Ndivyo tulivyo!

Kama alivyosema Fundi, huu mradi umeshakuwa tainted..na kwa sababu kila mtu anataka 10%..basi hata vitambulisho vikitoka itakuwa ni poor products. I will be pleasantly surprised to be proved wrong!
 
Looh! siasa za TZ zinakoelekea ni kubaya mno, si muda mrefu tutakuwa na viongozi ambao hawafanyi kazi yoyote kwa kuogopa kuitwa mafisadi.

Sioni tatizo waziri Masha kukutana na hiyo kampuni au kufanya nao mazungumzo. In fact hata ningelikuwa mimi ningekutana na kampuni yoyote ambayo inaonyesha interest ku invest au kufanya kazi yoyote Tanzania.

Labda tatizo linakuja kama huyo waziri anahongwa na kuanza kutumia pressure kulazimisha tender ichukuliwa na hao waliomhonga.

Lakini pia inawezekana kabisa asihongwe na pamoja na kukutana na hao jamaa bado akaachia taratibu zote zifuatwe kuhakikisha anapatikana mshindi anayefaa na aliyechaguliwa kwa uhalali.

Ninatofautiana na Masha kwenye mambo mengi lakini hili la kuonana na hao jamaa naona sio issue kabisa labda tu kama kuna ushahidi zaidi unaoonyesha kuwapendelea hawa jamaa wakati hawana sifa.

Inabidi nikiri mimi sijafuatilia hili saga na sijasoma thread ya vitambulisho, huenda huko kuna ushahidi zaidi.

Mtanzania,

.......well, lets assume kukutana huko hakuna shida..........now, hivi kweli unaamini kutajwa kwa SAGEM kwenye tuhuma hizi ni Coincidence??.......
 
Nakubaliana na mtoa hoja kuwa waziri kukutana na viongozi wa Sagem si kosa-tatizo sisi watanzania na hasa watumishi wa umma hatuko business mindedna PR yetu ni ya mashaka mashaka. Mimi nitachukia kama dokezo la Masha lilisema Sagem wasaidiwe kupata zabuni vinginevyo sioni kosa!


Masha na albino-anadai mauaji yao ni suala dogo.
Masha na siku saba dhidi ya Mengi- halafu hakuna hatua anazochukua.
Masha na Vitambulisho-anashinikiza kurudishwa kwa sagem kwenye mchakato huku hana mandate ya kufanya hivo (kukiuka/kuingilia taratibu za manunuzi ya serikali)-badae tunagundua alikutana nao kwa siri Geneva.

Huyu bwana mdogo inaonekana si makini na hafai kua kiongozi

Kwenye mchezo wa soka unafanya faulo unapewa njano halafu ukirudia unapewa njano ya pili na nyekundu kwasababu una njano mbili. Mi nafkili Masha ana njano mbili ni bora tu atupishe!(ang'atuke)
 
They have implemented ID and AFIS projects in 10+ countries in Africa na bado kila kukucha wanapata kazi left right and centre, I wonder how do they do that!

Really ? It tells you something, doesnt it. There are more Masha's out there than you'd care to admit.

My personal view ni kuwa hivi ni vita vya wakubwa - these are multinational corporations fighting for another shot at our money, wanapambana on our grounds and the locals just pawns, incidentally Tanzania ni uwanja this time!

We all know that and that's one reason we must be vigilant. Tusiwaonee haya watu kama Masha - we have had enough of it.

Natoa shukrani kwa Fundi Mchundo kwa kunipa darasa kuhusu utendaji serikalini. Maelezo yake yameniacha in no doubt kuwa kijana Masha ameenda nje ya msitari kwa kusukumwa na usawahiba wake na SAGEM.
 
"Whoever can be trusted with very little can be trusted with much, and whoever is dishonest with very little will be dishonest with much"

are there any surprises about Masha? I do not think so, after all his record track is well known here in JF
 
Bi mkubwa ulikuwa wapi mchumba au ndio mambo ya dublication ya nicknames nilikumiss karibu
 
Niende wapi ndugu yangu? Nipo tu maisha ndio kama hivyo magumu, muda hauruhusu kutazama JF, ila ninapoweza ninafungua na kuangalia mada mbalimbali.

Thanks for noticing.
 
Looh! siasa za TZ zinakoelekea ni kubaya mno, si muda mrefu tutakuwa na viongozi ambao hawafanyi kazi yoyote kwa kuogopa kuitwa mafisadi.

Sioni tatizo waziri Masha kukutana na hiyo kampuni au kufanya nao mazungumzo. In fact hata ningelikuwa mimi ningekutana na kampuni yoyote ambayo inaonyesha interest ku invest au kufanya kazi yoyote Tanzania.

Labda tatizo linakuja kama huyo waziri anahongwa na kuanza kutumia pressure kulazimisha tender ichukuliwa na hao waliomhonga.

Lakini pia inawezekana kabisa asihongwe na pamoja na kukutana na hao jamaa bado akaachia taratibu zote zifuatwe kuhakikisha anapatikana mshindi anayefaa na aliyechaguliwa kwa uhalali.

Ninatofautiana na Masha kwenye mambo mengi lakini hili la kuonana na hao jamaa naona sio issue kabisa labda tu kama kuna ushahidi zaidi unaoonyesha kuwapendelea hawa jamaa wakati hawana sifa.

Inabidi nikiri mimi sijafuatilia hili saga na sijasoma thread ya vitambulisho, huenda huko kuna ushahidi zaidi.

Mkuu Mtanzania heshima mbele, kama hii ya kukutana ni kweli, nasisitiza KAMA ni kweli amekutana na SAGEM wakati tender imeshatangazwa,... basi kuna tatizo kubwa la ukiukwaji wa sheria ya manunuzi AGAIN na mheshimiwa wetu huyu!...

Tazama hapa chini toka kwenye PPA 1984,Under Part V-PROHIBITIONS.

73-(1) No person, whether such person has made an offer or not shall, with intent to gaining any advantage or concession for himself or any other person;

(a) offer any member or an associate of a member of a tender board or its committee or any employee or an associate of an employee of a tender board or its committee or any consultant or an associate of any consultant or a person or an associate of any person providing services, a gift of money or other valuable thing; or

(b) approach any member or any associate of a member of a tender board or its committee or any of its officer or an associate of any office with respect to any matter that is before that tender board or committee or that is expected to come before a tender board or a committee



The dude has got issues.....
 
Mtanzania,

.......well, lets assume kukutana huko hakuna shida..........now, hivi kweli unaamini kutajwa kwa SAGEM kwenye tuhuma hizi ni Coincidence??.......

Mkuu Ogah,

Hii ni matatizo ya kuchanganya threads, comment yangu ilikuwa specific kwa ile article ya IPP Media.

Ndio maana pia nikaandika sijafuatilia huu mjadala wa vitambulisho.

Binafsi naanza kuwa na wasiwasi kwamba tutaishia kuwa na viongozi ambao hawafanyi kitu maana jambo lolote watakalofanya wataambiwa ni mafisadi. Bila ku take risk huwezi kuwa kiongozi mzuri.

Simtetei Masha kwenye hili ila pia sikubaliani na hilo wazo la kwamba kukutana na hao jamaa tayari ni issue.

Wacha nitatafuta muda na kuisoma hii thread ili nielemike zaidi.
 
.....................Tazama hapa chini toka kwenye PPA 1984,Under Part V-PROHIBITIONS.

73-(1) No person, whether such person has made an offer or not shall, with intent to gaining any advantage or concession for himself or any other person;


(b) approach any member or any associate of a member of a tender board or its committee or any of its officer or an associate of any office with respect to any matter that is before that tender board or committee or that is expected to come before a tender board or a committee


The dude has got issues.....

WELL PUT SOBER...........

.........halafu watu wanasema nini........eti Waziri hana makosa!!!.......na eti SAGEM warudishwe kwenye mchakato!!...........c'mon guys.............

Sober, Fundi Mchundo, Mag3..........

.....unajua tatizo la Bidders wengi ni kutokusoma general instructions na special instruction to bidders.......au wanawapa watu wasio experienced kuandaa Bid.......halafu no body checks.........sasa wazee wazima kama SAGEM wanapokuja ambiwa kuwa kuna documents huja-submit........ndio wanashtuka na kasheshe kama hizi huanza..................

......tena sasa wanakuja na madai eti kuna document ilichomolewa.........! all this is crying for a help.......and in a way........hence bribes comes in.......damn!!
 
Last edited:
Tazama hapa chini toka kwenye PPA 1984,Under Part V-PROHIBITIONS.

73-(1) No person, whether such person has made an offer or not shall, with intent to gaining any advantage or concession for himself or any other person;

(a) offer any member or an associate of a member of a tender board or its committee or any employee or an associate of an employee of a tender board or its committee or any consultant or an associate of any consultant or a person or an associate of any person providing services, a gift of money or other valuable thing; or

(b) approach any member or any associate of a member of a tender board or its committee or any of its officer or an associate of any office with respect to any matter that is before that tender board or committee or that is expected to come before a tender board or a committee

(Samahani nje ya mada🙂 Sheria hii ni sheria dume kama mhusika ni wa kike?
 
Invisible/ Wana JF

Naomba mtume tena ile attachment yenye Barua ya Masha kwenda kwa Waziri Mkuu Pinda. Niliifungua juzi nikaisoma Nusu sasa nataka kuimalizia kuisoma Tafadhali

Asanteni kwa Ushirikiano wenu
 
Back
Top Bottom