Waziri Makamba: TANESCO mpya imezaliwa leo, tunataka iendeshwe kibiashara

Kabisa Mkuu Mwenyezi Mungu ni mkubwa sana ameinusuru nchi yetu kwa maovu mengi ya kutisha nchini kwa kumnyakua yule dhalimu.,

To hell with this dictator. Ameharibu sana Nchi yetu, Mungu ametupenda kwa kumpeleka jehanamu mapema
 
Kwani lisu ndiyo amekuwa rais kwamba ndiyo yeye anayewakimbiza huko kkoo baada ya kumchagua kwamba wamepotea njia kumchagua lisu Leo anawanyanyasa??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wizara ya Nishati chini ya Waziri Makamba na TANESCO yake HAWAWEZI kufanya lolote positive kwa kipindi chote Waziri Makamba na Bodi yake ya TANESCO watakapokuwa madarakani. Watakaonipinga , tusubiri 2025na baada ya muda wa Bodi kuisha tufanye tathmini.
 
Zitto wa Zambarau alisema mabadiliko wizara ya nishati ni pele limepata mkunaji!
 
 
Kauli yake ilikua promising kwamba hatimaye sasa tumepata mwarobaini wa changamoto za kutokua na umeme wa uhakika.

Whatever happened to that.
 
Uliona wapi dili na huduma bora vinakaa chumba kimoja?
Dili akiwa jikoni
Huduma nzuri amefungiwa store.
Ila muambieni kipara, nimekuja shamba huku Kigelo Kongowe Kibaha. Pwani. nategemea kulala hukuhuku, kwamba hakuna UMEME tangu mchana saa hii Ni saa 8:43 pm
 
Pole Sana
Kumbuka wakati wa ges walisemaje na ikawaje?

Gesiwana nunua kwa wazungu ndio tunapata umeme lazima bei iwejuu sababu gas hatupati bure.

Umeme wa rufiji wakisema bei itadhuka naelewa sababu katika uzalishaji maji ni bure.
 
Kabisa Mkuu Mwenyezi Mungu ni mkubwa sana ameinusuru nchi yetu kwa maovu mengi ya kutisha nchini kwa kumnyakua yule dhalimu.,

Punguza mahasira ndugu utakuwa kichaa bila kujijua.
 
Hii Wizara bora angepewa tu Prof Muhongo, Huyu ndiyo alianzisha Sera ya umeme kutokatika ovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…