makato ya luku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I wish i have

    Waziri Makamba: TANESCO mpya imezaliwa leo, tunataka iendeshwe kibiashara

    Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba amesema ni wakati sasa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kuanza kujiendesha kibiashara, kwa ufanisi ili kuchangia uchumi wa Taifa. Mhe. Makamba amesema hayo leo Septemba 26, 2021 wakati akizungumza na Mameneja wa TANESCO wa ngazi ya Kanda, Mikoa, Wilaya...
  2. Mtuflani Official

    Umeme wa 5,000 nimekatwa 2000. Hii haiko sawa!

    Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%. Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na...
  3. kiraza

    Makato ya Luku yanatisha! Angalia hapa

    Hii ni zaidi ya kuisoma namba, sio hali ya kawaida kabisa!. Inatisha! NB: Mimi ni Mpangaji.
Back
Top Bottom