TheCrazy Mchokozi
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 181
- 252
I don't how such kind of people get access to power... this only happen in Africa
Uvaaji hauna kanuni, kuvaa ni kujistiri tu mkuuJamaa kavaa kishamba sana kama kawaida ya watu wa kanda ya ziwa hiyo suti na raba kama mbingu na ardhi
Palikuwa na kazi gani zaidi ya kushangaa ndege. Kwani yeye ni rubani? Mwenye kazi alikuwa ni jiwe ndiyo maaana aliingia mpaka chumba cha rubani na kukalia kiti ingawa hakuisogeza hata hatua moja.Yupo kikazi zaidi hajaenda kuuza sura pale
ha ha ha ha ahMrema Lyatonga ana kiatu saizi 18 kama cha Nwako Kanu
Ishakuwa tatizo,... tumekataa kutumia rasilimali ya wasomi tulionao,... tunapambana na mbwebwe na 'publicity stunt' kila sikuPolepole amesema wanaringia idadi ya wasiosoma akimaanisha wajinga kwamba ni wengi ndio wanaowaweka madarakani
Kumbuka yeye ni Waziri wa mambo ya ndani usalama wa raia waliokusanyika kuipokea ndege unamuhusu na hata usalama wa Rais pia unamuhusu bado pia yeye km waziri wa Mambo ya ndani akitoka hapo anaelekea kazini kuendelea na majukumu menginePalikuwa na kazi gani zaidi ya kushangaa ndege. Kwani yeye ni rubani? Mwenye kazi alikuwa ni jiwe ndiyo maaana aliingia mpaka chumba cha rubani na kukalia kiti ingawa hakuisogeza hata hatua moja.
hahahaha yapo mengi ya kuburudisha . iv nyerere si angezikwa na mtu kabisa kama mfalme?Jamaa kavaa kishamba sana kama kawaida ya watu wa kanda ya ziwa hiyo suti na raba kama mbingu na ardhi
Askari wa kutosha walikuwepo ikiwa ni pamoja na wale wanaoitwa wa usalama wa taifa na viongozi wao wa kutoa amri walikuwepo yeye na ilani ya CCM mkononi ndio bunduki?Kumbuka yeye ni Waziri wa mambo ya ndani usalama wa raia waliokusanyika kuipokea ndege unamuhusu na hata usalama wa Rais pia unamuhusu bado pia yeye km waziri wa Mambo ya ndani akitoka hapo anaelekea kazini kuendelea na majukumu mengine
Mrema Lyatonga ana kiatu saizi 18 kama cha Nwako Kanu
Akifa kasema azikwe na ilani ya ccm. Naona kaikumbatia hata hapo alipo.Baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Kangi Lugola amebuni vazi lake jipya ambalo amebandika bendera ya taifa kifuani upande wa kushoto, kulia na pia kwenye mikono na kama hiyo haitoshi anatembea na ilani ya CCM ambapo amenukuliwa akisema akifa azikwe na ilani ya chama hicho ya wakati huo kwakuwa kwake hakuna Ilani kama ya CCM na anapenda kutembea nayo katika utelelezaji wa shughuli za Kiserikali.
Lakini ukiangalia vizuri hilo vazi lake ni kuwa utagundua amegeuza mkao wa bendera ya taifa aliyoibandika upande wa kulia wa vazi lake ameipindua badala ya mistari ya njano na nyeusi kuelekea juu ikitokea kona ya chini upande wa kushoto kuelekea kona ya juu kulia yeye kaiweka ikitokea kona ya juu kushoto kuelekea kona ya chini kulia. Ile iliyopo upande wa kushoto ndio imekaa kwa usahihi hivyo hata hiyo ya kulia inapaswa aiweke kama hiyo ya kushoto. Haitakiwi kuigeuza hiyo bendera kwa namna yoyote ile. Amwambie fundi wake airekebishe vinginevyo anazidi kujiabisha
![]()
Ivi jamaaa ana mke kweli, uwezi kuvaa kishamba kiasi kile. Kama ana family vile. Unawezaje? Ukatoka nyumbani umevaa vile na family ikakuacha. Utafikiri katoka kunywa matapu tapuJamaa kavaa kishamba sana kama kawaida ya watu wa kanda ya ziwa hiyo suti na raba kama mbingu na ardhi
Vile viatu ameweka masponji mbele, kiatu kimetuna kama boti ya bakheresa. Na pale amechoka Kwa sababu ya kuzunguka na yale mandulaMrema Lyatonga ana kiatu saizi 18 kama cha Nwako Kanu
Rejea Tyson.Jamaa kavaa kishamba sana kama kawaida ya watu wa kanda ya ziwa hiyo suti na raba kama mbingu na ardhi
Basi inatosha nikikwambia katokea kazini kwahiyo hakupata muda wa kwenda kubadilisha na kuvaa unavyotaka weweAskari wa kutosha walikuwepo ikiwa ni pamoja na wale wanaoitwa wa usalama wa taifa na viongozi wao wa kutoa amri walikuwepo yeye na ilani ya CCM mkononi ndio bunduki?