#COVID19 Waziri Gwajima: Kanda ya Ziwa, Kilimanjaro kumeathirika zaidi na Corona

Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.

Shinyanga siyo mkoa ulioko kanda ya ziwa.

Kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Mwanza na Geita.

Kwahiyo wewe unameza kila unachokiona humu JF?
Pumbavu mkubwa wewe laiyoni hujui kitu mbumbumb u
Kasome raman fisi maji wewe
Msomi uchwara ulipewa digrii ya chupi wewe
 
Hizo hela za mabeberu naona safari zinawatoa udenda!

Hebu njoo mbagala, chanika na kwingineko uone dala dala za kwenda kariakoo zinavyoshona alafu linganisha na hiki wanachokisema kipo mitaani kwetu!

Huu ugonjwa kama kweli unasambaa kwa njia ya hewa na kugusana, nadhani hapa dar wangekuwa wamebaki watu watano tu!

Toka januari mwaka jana tunaambiwa watu wanakufa sana lakini ukiuliza ni wapi wamekufa hakuna majibu.

Ndio juzi juzi tukapata majibu kwamba kumbe ile misafara tulikuwa tunaambiwa inaongozana imebeba misiba ya corona ilikuwa ni watu wanaenda kwenye mishe zao huko mikoani ila walikuwa wanaweka mashada ya maua kukwepa trafic.
 
Tukizingatia kuvaa barakoa kwa ufasaha,na kunawa mikono, Corona tutaipiga chini, tatizo nyinyi misukule ya dikteta magufuli mnapotosha ukweli, Sasa inakoendea maambukizi yakizidi, jiandae kwa Lockdown maalum ,
Ukivaa wewe na kunawa hutapata ugonjwa badala yake hiyo misukule ndio itakayokufa sawa wewe mfuta meza anakolewa mr dj?
 
Amka asubuhi tembelea hospitali na vituo vya afya, tafuta mazishi na shiriki utapata unachotaka kukiona 'mjinga' wewe.
Mazishi wanazika wapi? Vichakani au? Mbona kwenye makaburi ya huku mitaani hatuoni?

Ndio ile kina kigogo walikuwa wanasema watu wanakufa kwa maelfu tukisema onesha makaburi mapya hata 10 yaliyozikwa kwa siku haoneshi
 
Kwamba hakuna maambukizi ya Corona? Kwamba hizi taarifa na wale wagonjwa hospitali ni wa kuigiza? Mama hana roho ya kutoa watu roho, JIWE alikuwa na roho ya damu, hakujali watu kufa.
Mwambie afungie watu ndani sasa!

Mbona anaacha wanaambukizana tu kwenye madala madala?

Mwambie aige kabisa njia walizotumia wenzie ikiwemo kuwafungia ndani
 
Tulipigaga kelele mambo ya magonjwa siasa isiingizwe kati.. huyu huyu kipindi cha Magu alikuwa mganga wa mitishamba. tukapoteza ndugu zetu..

Afadhali arudi kwenye taaluma yake tupambane na haka kamdudu kitaalamu kama wenzetu wanavyopambana.
We matako kwani tanzania na ulaya wapi walikufa zaidi wakati wa magufuli !? Nyinyi ndiyo wale mkiulizwa kilo moja ya pamba na kilo moja ya chuma ipi nzito mnajibu " ya chuma" wazungu walivaa barakoa na madaktari bado walikufa kuliko sisi ,sasa ukiulizwa tufate njia ya mzungu lakini tufe kama wao au tusifuate tusife wewe ungechagua nini?kwa upuuzi uko nao najua ungechagua kufa kama wazungu
 
Mwongo huyu mbona hatuoni kitu? Huku hata huo umbea hamna tunasikia tu kwenye mitandao, huu ugonjwa wa kuleta mnaukuza sana. Eti walipungikiwa mitungi? Aiseee siasa mbaya.
Wanatafuta sababu na visingizio vya kushindwa kusimamia nchi ,
Watajua magu afananishwi na vitu vya kipumbavu, time will tell
 
... siasa ziliingia zika-braiwash watu wakadhani kwa kuwa kiongozi mkubwa kasema hakuna Corona basi ni kweli hakuna Corona. Sijui watanzania ujinga utatutoka lini tuweze kupima vitu kwa uhalisia wake na kuuona ukweli badala ya kusikiliza maneno ya wanaoitwa viongozi mengine yakiwa ya kilaghai. Ona sasa katuachia msala watu wamekuwa wajinga kabisa hata kuamini maelekezo ya wataaalamu imekuwa tatizo.
Tutajie nchi iliyo fuata mwongozo wa wanasayansi ambayo hawa kufa kati ya nchi za wazungu
 
... mashuleni na vyuoni? Hawa watoto wanaambukizana huko halafu jioni wanawapelekea wazazi wao! Dah; hatari sana!
Ndiyo vizuri kinga inajitengeneza kwa kasi kwa kuambukizana hata hii covid3 baada ya mwezi ujao itakuwa imepoteza nguvu
 
Binafsi naona serikali yenyewe bado haijawa serious Kama kweli hali yenyewe ndiyo hii tunayoambiwa.

Wanasubiri Nini Sasa kui-lock down hiyo miji na kutoa amri na siyo kushauri tu Kila siku kuhusu mikusanyiko na barakoa.

Fungeni shule na vyuo,Fungeni makanisa na misikiti,Zuieni michezo,Zuieni minada na magulio etc.

Kama mmeamua kwenda sambamba na Dunia then angalieni hatua wanazochukua hata majirani tu.
 
Kwa mujibu wa Dkt. Gwajima, huku kumeathirika zaidi:

“Maeneo ya kanda ya ziwa pamoja na Kilimanjaro yameathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo, na ilihitajika mitungi ya ziada kutokana na eneo la kanda ya ziwa kuathirika zaidi na ugonjwa huo,” alisema Gwajima."

Mwenye masikio na asikie:

“Nataka hapo wananchi watuelewe, tuvae barakoa, tunawe mikono na maji tiririka pia tujiepushe na misongamano isiyo ya lazima. Katika wakati huu hakuna ulazima wa mtu kwenda katika miziki au kupanda katika gari lililojaza watu,” amesisitiza Dk Gwajima."

--------
My take:

Tahadhari zaidi maeneo hayo ikiwamo kupunguza safari zinazoweza kuepukika, kutoka au kwenda maeneo hayo ni jambo la busara zaidi.
Vipi; maombi yameshindwa? Mungu kapumuzika?
 
nimefiwa na family yetu watu 4 mpaka sasa huko mwanza

Mmerogana mje kusingizia corona,Ondoeni uchawi kwenye familia mbaki salama.


Corona iache kuua Dar ambapo PoP inatisha ije kuua kilimanjaro.Hao wachagga lifestyle yao yenyewe ni kifo tosha kuna kabila linapoteza watu kwenye presha,sukari ,cancer kama kaskazini.
 
Back
Top Bottom