Mike Tyson alipozidiwa ujanja na Evander Holyfield, Tyson alimng’ata Evander sikio na ilikuwa aibu kwelikweli siku hizo na pia ulikuwa mwisho wa umaarufu wa Tyson.
Je watanzania mnajua kwanini nchi nyingi barani Africa ukabila ni tatizo kubwa? Na ni akina nani walianzisha ukabila huo na kwa madhumuni gani?
CCM wameshatumia mbinu zote chafu kushinda chaguzi nyingi na wasichokijua ni kwamba mtu huishiwa mbinu mwishoni na kuanguka.
Hii mbinu Makonda wanayotumia CCM sasa ili kuwini lile kundi Sukuma ni mbinu itakayoweza kuwalipukia CCM na kuwafanya wakataliwe maeneo mengine nchini. Tumeona pia mbinu Biteko ilivyotumika kwa kuunda cheo cha naibu waziri mkuu ambacho kikatiba hakipo,
Kuelekea 2025 wataunda mbinu Masanja na hata mbinu Maganga na bila kujua watajikuta wanabaki na kabila flani na kuchukiwa na wengine wote.
Kuwatenga watu kikabila ni strategy mbovu sana Tanzania na ina laana kubwa! Mkumbuke hata Magufuli alicheza rafu zote kuwahi kuchezwa katika historia ya chaguzi za Tanzania pamoja na kuwa Msukuma wa Geita na kumwaga miundombinu kibao huko! Sasa mtu wa Mkunazini anafikiri atakubalika kanda ya ziwa kwa mbinu hizi?
Mbinu Makonda inaipasua nchi na CCM pia. Lakini kwanini CCM imefika pahali pa kutumia mbinu hizi ili kushinda na bado hawashindi kihalali? Ni dadili za kuufikia mwisho wa safari yao?
Je watanzania mnajua kwanini nchi nyingi barani Africa ukabila ni tatizo kubwa? Na ni akina nani walianzisha ukabila huo na kwa madhumuni gani?
CCM wameshatumia mbinu zote chafu kushinda chaguzi nyingi na wasichokijua ni kwamba mtu huishiwa mbinu mwishoni na kuanguka.
Hii mbinu Makonda wanayotumia CCM sasa ili kuwini lile kundi Sukuma ni mbinu itakayoweza kuwalipukia CCM na kuwafanya wakataliwe maeneo mengine nchini. Tumeona pia mbinu Biteko ilivyotumika kwa kuunda cheo cha naibu waziri mkuu ambacho kikatiba hakipo,
Kuelekea 2025 wataunda mbinu Masanja na hata mbinu Maganga na bila kujua watajikuta wanabaki na kabila flani na kuchukiwa na wengine wote.
Kuwatenga watu kikabila ni strategy mbovu sana Tanzania na ina laana kubwa! Mkumbuke hata Magufuli alicheza rafu zote kuwahi kuchezwa katika historia ya chaguzi za Tanzania pamoja na kuwa Msukuma wa Geita na kumwaga miundombinu kibao huko! Sasa mtu wa Mkunazini anafikiri atakubalika kanda ya ziwa kwa mbinu hizi?
Mbinu Makonda inaipasua nchi na CCM pia. Lakini kwanini CCM imefika pahali pa kutumia mbinu hizi ili kushinda na bado hawashindi kihalali? Ni dadili za kuufikia mwisho wa safari yao?