Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,772
- 218,394
Kama ulikuwa unadhani kuwa karibu na ziwa ndio kupata Maji basi umekosea, Uchunguzi wetu umebaini kwamba Maeneo mengi ya Kanda ya ziwa Victoria hayana maji safi wala salama.
Jambo hili la kutia aibu limegunduliwa na Team ya CHADEMA inayofuatilia kero za Wananchi kwenye ziara ya Oparesheni 255 inayoendelea kuvurumishwa huko Kanda ya Ziwa, Taarifa zinaonyesha kwamba maji ya ziwa Victoria yanafaidisha zaidi Misri huku wakazi wa kanda ya ziwa wakipiga miayo.
CHADEMA imeahidi kuondoa Jambo hilo siku chache baada ya kutwaa Nchi.
Jambo hili la kutia aibu limegunduliwa na Team ya CHADEMA inayofuatilia kero za Wananchi kwenye ziara ya Oparesheni 255 inayoendelea kuvurumishwa huko Kanda ya Ziwa, Taarifa zinaonyesha kwamba maji ya ziwa Victoria yanafaidisha zaidi Misri huku wakazi wa kanda ya ziwa wakipiga miayo.
CHADEMA imeahidi kuondoa Jambo hilo siku chache baada ya kutwaa Nchi.