Waziri Bashe acha kuchezea Kodi zetu kwa maono mfu! Kilimo siyo filamu

Ni mara ngapi tumeona clip na picha zikionesha wakulima wakilia kwa kukosa masoko ya mazao yao.

*Tushaona nyanya zinauzwa debe sh 500/= na parachichi zikioza huko Iringa.
*Tushaona mahindi yakioza huko Songea na Katavi.
*Tushaona wakulima wa korosho wakiuza korosho kwa bei ya hasara ama kugomea masoko huko Mtwara.
*Tushaona wakulima wakikata mibuni na michai kwa bei mbaya ya mazao hayo.

Kilimo kimeshindwa kuvutia vijana kwasabb 2 tu.
1. Kukosekana kwa masoko ya uhakika ya kumfanya mkulima apate faida (sababu kubwa zaidi hii)
2. Upatikqnaji wa uhakika wa pembejeo na viwatilifu.

Kama wakulima wangekuwa wanapata faida hakuna kijana angekuwa bodaboda, machinga ama mamantilie. Wote wangejikita kwenye kilimo. Shughuli yoyote ya kiuchumi yenye faida huvutia watu.

Kwahiyo siyo kwamba vijana hawataki kilimo kwasbb ya ukosefu wa mitaji....NO.

Nani alitoa mafunzo na mitaji kwa bodaboda, mamantilie na machinga waliozagaa nchi nzima?

Wasomi wa SUA waliomaliza miaka dahali pamoja na maprofesa wao mbana hatuoni wakitumia utaalamu wao kuendesha mashamba makubwa??

Bashe ktk hili unatapanaya tu hela zetu za Kodi lkn zoezi la BBT halitafanikiwa wala halitakuwa endelevu. Kilimo hakiendeshwi hivyo.

Kazi ya serikali kupitia wizara ya kilimo iwe ni kujenga mifumo itakayoifanya shughuli ya kilimo kwenda sawa na kuvutia watu wengi zaidi.

NIMEMALIZA.
Sidhani kama Bashe ana muda wa kusikiliza loosers kama nyie..

 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kila kitu kinapingwa. Hii nchi ngumu sana, mnapinga kila kitu.
Waaache wajaribu serikali zilizopita zilileta mbinu nyingi, nao wajaribu.
Msisahau kilimo kwanza wakulima mlipewa na mbolea za ruzuku za mabilioni, kuna ubaya gani vijana kuwezeshwa. Mbona vijana mnapigana vita wenyewe?
Ombeni mradi huo upanuliwe nchi nzima sio kuupiga vita.
 
In short people can have buying power and still your product struggle to find market....
Kwanza wanasiasa wetu wanapoongea kuhusu kilimo huwa naona wanapenda sana kusema uongo. Badala ya kusema watu wetu zaidi ya 70% ni wakulima walitakiwa kusema watu hao wanajihusisha na Kilimo. Maana kilimo ni zaidi ya kulima.

La pili 80% ya mafukara wa Tanzania wanaishi vijijini ambako ndiko 99% ya chakula cha Watanzania kinatoka. Sasa hapo ni lazima wanasiasa wangeangalia ni kwa vipi watu wanaozalisha chakula wao ndiyo mafukara wa kutupwa? Kwa mfano kama kweli wanataka hiyo wanayoiita "Building Better tomorrow" ifanikiwe ni kwa nini kwanza wasingeanza na kiini cha matatizo kwa kilimo chetu.

Maana hiyo Programu yao waliyoizindua huko Dodoma, hadi iondoe umaskini kwa wakulima walioko kwenye vijiji vya Tanzania itachukua miaka mingapi? Wakati hiyo Programu inafanyika jee wakulima wadogo wa vijiji mbali mbali vya Tanzania watafaidikaje?

Mwaka 1969 Mwalimu alikuwa anahimiza wakulima kutumia Plau kulima, Punda kubebea mizigo, kuchagua mbegu bora, kuongeza mazao kwa heka, kuhifadhi chakula n.k. Jee miaka 54 baadae bado tunaona mambo haya bado hayajafanyika na hali ya wakulima vijijini ikiwa mbaya zaidi. Ila mtu anakuja na hoja kwamba BBT ndiyo mkombozi wa Kilimo Tanzania.
 
Kila kitu kinapingwa. Hii nchi ngumu sana, mnapinga kila kitu.
Waaache wajaribu serikali zilizopita zilileta mbinu nyingi, nao wajaribu.
Msisahau kilimo kwanza wakulima mlipewa na mbolea za ruzuku za mabilioni, kuna ubaya gani vijana kuwezeshwa. Mbona vijana mnapigana vita wenyewe?
Ombeni mradi huo upanuliwe nchi nzima sio kuupiga vita.
Kumbe unajua kwamba hizi comedy zipo kila awamu? Sasa tunapopinga tuheshimiwe.
 
Sidhani kama Bashe ana muda wa kusikiliza loosers kama nyie..


Karne ya Combined harvesters na machinery wanafundishwa kutumia rakes ?

Knowledge is Power na kama issue ni elimu tungeboresha vyuo vyetu vya kilimo ili elimu hio isiwe kwa vijana tu bali wakulima wote wanaovunjika migongo yao huko vijijini...

All in all tutajenga zaidi kwa kupunguza maigizo na ku-stick with basics
 
Karne ya Combined harvesters na machinery wanafundishwa kutumia rakes ?

Knowledge is Power na kama issue ni elimu tungeboresha vyuo vyetu vya kilimo ili elimu hio isiwe kwa vijana tu bali wakulima wote wanaovunjika migongo yao huko vijijini...

All in all tutajenga zaidi kwa kupunguza maigizo na ku-stick with basics
Wengi wao ni wataanza na kilimo Cha mazao ya mbogamboga,hapo hakuna hicho unachokisema wewe.
 
Kumbe unajua kwamba hizi comedy zipo kila awamu? Sasa tunapopinga tuheshimiwe.
Sio comedy watanzania ni wajinga,walipewa nbolea, mikopo aka n
mabilioni ya kikwete kila kijiji waliuza mbolea na kuila ile mikopo.
Viongizi wanamaono sana tu.
 
Kila kitu kinapingwa. Hii nchi ngumu sana, mnapinga kila kitu.
Acha hizi fikra kwamba mtu akiwa na mawazo tofauti basi anapinga.

Kwa mfano wote mnataka kwenda Chato kutembelea Kaburi la Magufuli, Mmoja akasema ili kumuenzi Seth Benjamin basi mtembee toka Dar Mpaka Chato kwa miguu, Mwingine aseme mpande Baiskeli kuenzi matumizi ya Baiskeli aliyokuwa anafanya Mwalimu Nyerere kutoka Pugu kuja Dar kuonana na wazee wa Dar es salaam kutayarisha mambo ya Uhuru wa Tanganyika.

Lakini Mwingine akasema badala ya kutembea kwa miguu ama kutumia Baiskeli basi Mpande Treni, mwingine Bajaji, mwingine Pikipiki na mwingine Ndege. Hayo yote ni mawazo na hakuna kupingana hapo. Ukiona mawazo ya wengine ni kupinga ujue una udhaifu wa kuvumilia mawazo ya wengine.
 
Kwa hiyo watu wasilime? Kafiche huo upuuzi wako.
Ni mara ngapi tumeona clip na picha zikionesha wakulima wakilia kwa kukosa masoko ya mazao yao.

*Tushaona nyanya zinauzwa debe sh 500/= na parachichi zikioza huko Iringa.
*Tushaona mahindi yakioza huko Songea na Katavi.
*Tushaona wakulima wa korosho wakiuza korosho kwa bei ya hasara ama kugomea masoko huko Mtwara.
*Tushaona wakulima wakikata mibuni na michai kwa bei mbaya ya mazao hayo.

Kilimo kimeshindwa kuvutia vijana kwasabb 2 tu.
1. Kukosekana kwa masoko ya uhakika ya kumfanya mkulima apate faida (sababu kubwa zaidi hii)
2. Upatikqnaji wa uhakika wa pembejeo na viwatilifu.

Kama wakulima wangekuwa wanapata faida hakuna kijana angekuwa bodaboda, machinga ama mamantilie. Wote wangejikita kwenye kilimo. Shughuli yoyote ya kiuchumi yenye faida huvutia watu.

Kwahiyo siyo kwamba vijana hawataki kilimo kwasbb ya ukosefu wa mitaji....NO.

Nani alitoa mafunzo na mitaji kwa bodaboda, mamantilie na machinga waliozagaa nchi nzima?

Wasomi wa SUA waliomaliza miaka dahali pamoja na maprofesa wao mbana hatuoni wakitumia utaalamu wao kuendesha mashamba makubwa??

Bashe ktk hili unatapanaya tu hela zetu za Kodi lkn zoezi la BBT halitafanikiwa wala halitakuwa endelevu. Kilimo hakiendeshwi hivyo.

Kazi ya serikali kupitia wizara ya kilimo iwe ni kujenga mifumo itakayoifanya shughuli ya kilimo kwenda sawa na kuvutia watu wengi zaidi.

NIMEMALIZA.
 
Huo mradi wao wa BB sijui ni vitu vya ajabu sana. Halafu Samia anasema hataki mchezo. Hivi tumeshajiuliza hii nchi wataalum wa kilimo wanapotelea wapi? Je kuna wataalamu hasa wa kilimo? Huko SUA wanajifunza nini. Bashe ajifunze juu ya kilimo. Wizara imeshindwa kabisa kuja na majibu. Bashe anachofanya ni kuhakikisha chakula kinapita Kenya kisha kinafika kwao Somalia.
Serikali inapaswa kufanya haya.
1.JKT iwe mfano hasa wa kuhamasisha vijana kujiajiri. Kuwepo na kanda maalamu za kufanya kilimo cha kisasa kupitia JKT mfano Singida ingewekewa mkakaati wa kuja na killimo cha Alizeti na Lindi ikawa na uwezo mkubwa wa kuzalisha Karanga..serikali ingewawezesha vijana kwa kuwakopesha mitaji na kuwatafutia masoko.
2. Drone hizi za Bashe je kuna mafundi wa kutosha na wenye uwezo wa kuziendesha na kuzihudumia? Hapa suluhisho ni kuzifanya VETA na SIDO kuandaa vijana ambao watakuwa na uwezo wa kuzitengeneza. Na sio na VETA na SIDO za 77 na 88 tu.
We umeshajaribu kulima au unabwabwaja tu kwenye simu. Wako vijana wengi tu kilimo kimewatoa nyie wavivu kazi yenu kukosoa mambo msiyoyajua.
 
Bashe is doing for the sake of doing to impress, hii game alishindwa zamani sana..

Hizo hela za block farming angezipeleka kuanzisha na kuendeleza cooperative unions Wakulima wakope pembejeo huko... na serikali idai cooperative unions... sasa hizi blabla ni outdated and we will never go anywhere.
Eti BLOCK za kilimo jangwani Dodoma!. Wazandiki, mafisadi wa Tanzania katika anga zao. Hizi block zingefunguliwa mikoa ya nyanda za juu kusini ikiwemob Iringa,Jombe, Mbeya na mikoa mingine ya kusini na kaskazin bila kusahau Tarime kwa walima mahindi na ndizi ingeleta maana kubwa sana.


Block farming Dodoma haina tofauti na power tiller za kilimo kwanza wkt wa JKT hukohuko Dodoma kunakofidiwa fedha za umma.



"Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi. Njaa hutweza utu wa binadamu". Dr. Bashiru Kakuru Ally
 
Kila kitu kinapingwa. Hii nchi ngumu sana, mnapinga kila kitu.
Waaache wajaribu serikali zilizopita zilileta mbinu nyingi, nao wajaribu.
Msisahau kilimo kwanza wakulima mlipewa na mbolea za ruzuku za mabilioni, kuna ubaya gani vijana kuwezeshwa. Mbona vijana mnapigana vita wenyewe?
Ombeni mradi huo upanuliwe nchi nzima sio kuupiga vita.
Nakubaliana na wewe, tumwache waziri afanye bila pressure tuone alikuwa anamaanisha nini...Kila la heri Mh. Bashe, Mungu akutangulie mbele
 
Sasa wakilima kwa trekta hiyo cost per unit itarudishwa na soko lipi? Hawa wengine wanaolima kwa nguvu za ugali products zao in aggregate zitauzwa soko lipi? Hiyo political pressure itahimiliwa vipi?
Bado una akili za kijima? Yaani unadhani mipango ya Bashe anaongelea kulima kama alivyolima babu yako? Kaeni msubiri muone
 
Ni mara ngapi tumeona clip na picha zikionesha wakulima wakilia kwa kukosa masoko ya mazao yao.

*Tushaona nyanya zinauzwa debe sh 500/= na parachichi zikioza huko Iringa.
*Tushaona mahindi yakioza huko Songea na Katavi.
*Tushaona wakulima wa korosho wakiuza korosho kwa bei ya hasara ama kugomea masoko huko Mtwara.
*Tushaona wakulima wakikata mibuni na michai kwa bei mbaya ya mazao hayo.

Kilimo kimeshindwa kuvutia vijana kwasabb 2 tu.
1. Kukosekana kwa masoko ya uhakika ya kumfanya mkulima apate faida (sababu kubwa zaidi hii)
2. Upatikqnaji wa uhakika wa pembejeo na viwatilifu.

Kama wakulima wangekuwa wanapata faida hakuna kijana angekuwa bodaboda, machinga ama mamantilie. Wote wangejikita kwenye kilimo. Shughuli yoyote ya kiuchumi yenye faida huvutia watu.

Kwahiyo siyo kwamba vijana hawataki kilimo kwasbb ya ukosefu wa mitaji....NO.

Nani alitoa mafunzo na mitaji kwa bodaboda, mamantilie na machinga waliozagaa nchi nzima?

Wasomi wa SUA waliomaliza miaka dahali pamoja na maprofesa wao mbana hatuoni wakitumia utaalamu wao kuendesha mashamba makubwa??

Bashe ktk hili unatapanaya tu hela zetu za Kodi lkn zoezi la BBT halitafanikiwa wala halitakuwa endelevu. Kilimo hakiendeshwi hivyo.

Kazi ya serikali kupitia wizara ya kilimo iwe ni kujenga mifumo itakayoifanya shughuli ya kilimo kwenda sawa na kuvutia watu wengi zaidi.

NIMEMALIZA.
Muacheni afanyekazi. Ila sisi kitalaamu kuna kitu tumekiona kikifanyika tu hicho hakika Bashe atafanikiwa na taifa litafanikiwa
 
Back
Top Bottom