Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini?

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,755
15,238
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa? Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.

Kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!! Kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa. Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa, na kuacha wananchi masikini ambao usipowatetea wanatembea bila viatu.

Kitu ambacho hakijui Rais Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.

Viongozi sehemu ambazo wao ni wauzaji bei zinapanda balaa eg mafuta, ila sehemu ambazo viongozi ni wanunuzi bei zinashuka kwa kasi au kudumaa palepale, eg korosho na pamba!!
 
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa?
Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.
kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!!kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa.
Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa.

Kitu ambacho hakijui Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.
Hana jipya kabisa siku hizi tangu apewe uwaziri
 
Ukiwa na cheo ni mtaji mkubwa, hizi ni fursa ambazo wanaambiana wao kwa wao

Nakumbuka kuna mkuu wa wilaya mmoja yeye kutwa kukimbizana na watu tu na kesi zisizoisha na kufunga watu tu
Mwisho mkuu wa Mkoa akamwambia utakufa masikini achana nao nunua mazoa jikite kwenye biashara mda ndio huu
 
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa?
Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.
kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!!kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa.
Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa, na kuacha wananchi masikini ambao usipowatetea wanatembea bila viatu.

Kitu ambacho hakijui Rais Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.
Last time Niko Njombe kuvizia kuwekeza naambiwa maparachichi yametupwa mtoni tani kibao kwenye mto wakati Canada pakee ni soko tosha la parachichi za hass.Maana yangu ni Kwamba wanapelekwa vijana Islael wakati masoko hayajulikani na uongezaji wa thamani ni hovyo,hivi kweli parachichi za Hass ni za kupimwa kwa vindoo na sado kwa ubora wake,hata kwa kuzisambzaa mitaani tuu ifakara na Mwanza tuu zitaliwa zote,Huyu waziri wa mbolea fake sijui kaponaje hapa kwa Dotto Biteko makamu waziri mkuu.Majariwa mbona Irani imeahidi kusaka masoko kila kona ya dunia,Ulaya yote avocado zinatoka,china tuu wanataka Sana maparachichi.Then,kwanini tuna.gesi na bado mnatulipua mtungi mdogo Shilng 26,000/- hii ni haki kweli.
Nimezunguka ziwa Victoria kwa kiasi kikubwa vitaru vya kuzalisha samaki sijaona,hivi sato ni kuuzwa 14,000/- kwa kilo,naomba Tuwe serious.Sato wawe wengi mpaka wapemee,nchi hii tunataka iwazidi majirani.wote kwa ubora wa maisha.
 
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa?
Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.
kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!!kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa.
Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa, na kuacha wananchi masikini ambao usipowatetea wanatembea bila viatu.

Kitu ambacho hakijui Rais Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.
Mbona nimeona video clip huko mtwara wamakonde wanasherehekea bei ya mbaazi kupanda? Ni mazao yote yameshuka bei au baadhi? Ujue mengine yanaathirika na uzalishaji wake duniani kwa mwaka husika
 
Last time Niko Njombe kuvizia kuwekeza naambiwa maparachichi yametupwa mtoni tani kibao kwenye mto wakati Canada pakee ni soko tosha la parachichi za hass.Maana yangu ni Kwamba wanapelekwa vijana Islael wakati masoko hayajulikani na uongezaji wa thamani ni hovyo,hivi kweli parachichi za Hass ni za kupimwa kwa vindoo na sado kwa ubora wake,hata kwa kuzisambzaa mitaani tuu ifakara na Mwanza tuu zitaliwa zote,Huyu waziri wa mbolea fake sijui kaponaje hapa kwa Dotto Biteko makamu waziri mkuu.Majariwa mbona Irani imeahidi kusaka masoko kila kona ya dunia,Ulaya yote avocado zinatoka,china tuu wanataka Sana maparachichi.Then,kwanini tuna.gesi na bado mnatulipua mtungi mdogo Shilng 26,000/- hii ni haki kweli.
Nimezunguka ziwa Victoria kwa kiasi kikubwa vitaru vya kuzalisha samaki sijaona,hivi sato ni kuuzwa 14,000/- kwa kilo,naomba Tuwe serious.Sato wawe wengi mpaka wapemee,nchi hii tunataka iwazidi majirani.wote kwa ubora wa maisha.
Uko vizuri sana
 
Serikali ya Samia na MaCCM imefeli mazima, Vururu vururu. Watanzania #WenyeNchiNiWananchi tuchukue hatua, tunacheka na Manyani MaCCM. Na haya ndio madhara yake. Tunavuna mbabua. Si wakulima, si wafugaji, si wavuvi, si wafanyabiashara, si wafanyakazi. Wote tunaimizwa. Salama yetu Tudai #KatibaMpyaNiSasa.
 
Acha Utapeli wewe,ukitoa pamba hakuna zao lingine limeanguka bei
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa?
Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.
kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!!kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa.
Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa, na kuacha wananchi masikini ambao usipowatetea wanatembea bila viatu.

Kitu ambacho hakijui Rais Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.
 
Acha Utapeli wewe,ukitoa pamba hakuna zao lingine limeanguka bei
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa?
Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.
kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!!kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa.
Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa, na kuacha wananchi masikini ambao usipowatetea wanatembea bila viatu.

Kitu ambacho hakijui Rais Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.
 
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa?
Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba, korosha hali ni mbaya.
kwenye tumbaku wakulima hawajalipwa hadi leo!!!kila siku ni ahadi na ngonjera zisizo isha kabisa.
Bashe wa leo yuko bize kutetea wafanyabiashara tu ambao ni matajiri tayari na hata asipowatetea hawawezi kufa na njaa, na kuacha wananchi masikini ambao usipowatetea wanatembea bila viatu.

Kitu ambacho hakijui Rais Samia au anakijua lakini ameamua kukaa kimya ni mawaziri wake kugeuka wafanyabiashara wakubwa sana. Ukiona mafuta yameadimika sababu kubwa ni kwamba viongozi wa hiyo wizara ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta kwa hiyo hata yakifichwa ili yapande bei hawaoni shida, pia ukiona mazao ya kilimo hayapandi bei ujue wanunuzi wakubwa wa hayo mazao ni haohao mawaziri wa rais Samia!.
Bei za mazao hasipqngwi na Bashe.

Bei za mazao ni supply and demand ya dunia.
 
Bei za mazao hasipqngwi na Bashe.

Bei za mazao ni supply and demand ya dunia.
Kama ni bei ya dunia utanaka kutuambia toka msimu wa pamba bei haijaongezeka kwenye soko la dunia? Peleka ukuwadi wenu wa marabu koko ya dpworld kwenye makorido ya lumumba.
 
Acha Utapeli wako na uzushi ,ukitoa pamba hakuna zao lingine bei imeporomoka.

Mwisho awamu ya Mwendazake hata bei za Sasa hazikuwepo watu walikacha Kilimo.
 
Hana jipya kabisa siku hizi tangu apewe uwaziri
Duniani wapi inawezekana Wananchi hawajitambui ila waziri ndiye ajitambue?!!!haiwezekani!!!mfano kuna huyo waziri wa tamisemi,kila siku ni kuzungushwa wizara tu,na bado inaonekana nu sawa tu!!
 
Back
Top Bottom