Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,006
- 1,171
Wakuu nampongeza mh Bashe waziri wa kilimo kwa mengi aliyoyafanya kilimo, isipokuwa Kwa Leo nampongeza kwa msimamo wake wa kutetea wakulima juu kuuza mazao Yao waliyolima kwa gharama zao kuuza kwenye soko lolote Le ye tija kwao ndani na nje ya nchi.
Wakuu, lazima tutambue kwamba kwa sasa kilimo ni biashara na ni kiwanda ambacho kinahitaji gharama kubwa sana za uendeshaji pia kina kuwa na risk kubwa sana ya kupata hasara kwenye mchakato wake so ukimpa mkulima tena risk ya kupata soko unammaliza na kuua kilimo ambayo ni back bone ya uchumi wetu.
Kwa hiyo naona sera mh Bashe inaenda kuinua sekta ya kilimo ambayo ni Uti wa mgongo wa uchumi wa taifa hili, kwa sababu wakulima wana uhakika wa soko.
Pili Inakadiriwa sekta ya kilimo imeajiri zaidi ya watanzania asilimia sitini , Kwa hiyo watanzania asilimia sitini wamehakikishiwa uhakika wa ajira zao Tatu inaweza kuongeza mapato ya nje kwa sababu watanani wengi wenye akili hawataishia kulalamika ila wataona hiyo fursa na kwenda kuzalisha Kwa wingi ili kuuza kwa nje
Kwa uchache sana hizo ni faida za sera kilimo za Mh Bashe.
Wajinga ni wale ambao hawajui faida za hiyo sera wamebaki na fikra za kilimo cha miaka ya sabini. Wanafiki ni wale wanaotambua hizo faida ila wanapindisha ukwell kwa maslahi yao Wakiwemo baadhi ya wabunge waropokaji wasiopenda kupima ukweli wa mambo, mmoja nimemsikia nikashangaa sana.
Wakuu, lazima tutambue kwamba kwa sasa kilimo ni biashara na ni kiwanda ambacho kinahitaji gharama kubwa sana za uendeshaji pia kina kuwa na risk kubwa sana ya kupata hasara kwenye mchakato wake so ukimpa mkulima tena risk ya kupata soko unammaliza na kuua kilimo ambayo ni back bone ya uchumi wetu.
Kwa hiyo naona sera mh Bashe inaenda kuinua sekta ya kilimo ambayo ni Uti wa mgongo wa uchumi wa taifa hili, kwa sababu wakulima wana uhakika wa soko.
Pili Inakadiriwa sekta ya kilimo imeajiri zaidi ya watanzania asilimia sitini , Kwa hiyo watanzania asilimia sitini wamehakikishiwa uhakika wa ajira zao Tatu inaweza kuongeza mapato ya nje kwa sababu watanani wengi wenye akili hawataishia kulalamika ila wataona hiyo fursa na kwenda kuzalisha Kwa wingi ili kuuza kwa nje
Kwa uchache sana hizo ni faida za sera kilimo za Mh Bashe.
Wajinga ni wale ambao hawajui faida za hiyo sera wamebaki na fikra za kilimo cha miaka ya sabini. Wanafiki ni wale wanaotambua hizo faida ila wanapindisha ukwell kwa maslahi yao Wakiwemo baadhi ya wabunge waropokaji wasiopenda kupima ukweli wa mambo, mmoja nimemsikia nikashangaa sana.