Ghasia bwana, mwanamke toka lini kapendeza bila kuvaa 'tights'. Haya turudishe TANU ilikoanzia maana walitia mikasi sana nguo za watu. TANU hadi CCM wamekua na mawazo ya kimjahdini kama wewe toka enzi hizoooooo na ndio maana nchi yetu ipo nyuma kama ilivyo.
Waziri mzima kama wewe umekaa unaangalia nani ana behind kubwa, nani ana boobs safi...kama ni Lesbian ama kama ungependa kuwa Lesbian naomba vumilia. TANU na CCM waliponzwa na 'fikra sahihi za CHAMA kimoja ama za m/kiti' ndo maana walighafirika, usifuate maovu yao fuata mazuri waliyoyajenga ktk jamii toka uhuru mpaka kwenye demokrasia tulipofikia. Kwa nini uanze kudivide watu kwa kufuata mavazi badala ya kuichukulia jamii yetu ktk mapana yake. Kumbuka si wote tunaoona kua HIJAB yako ni nguo ya heshima.
Acha wanaovaa vibaya wasemwe msikitini/kanisani ama wazazi na dugu zao, rafiki zao ama wapenzi wao, hii sio 1961. Kama sheria haikufutwa ni uvunjaji wa haki na ni wote tunajua kuna sheria nyingi za kikandamizaji TZ hazijafutwa. Tunachotaka ni maendeleo na kukuza uchumi wetu ikiwa ni pamoja na kutengeneza/kuimport/export/kuuza/ kuzawadiana/kuvaa ama kutovaa vimini kwa mapenzi yetu.
Waziri mzima kama wewe umekaa unaangalia nani ana behind kubwa, nani ana boobs safi...kama ni Lesbian ama kama ungependa kuwa Lesbian naomba vumilia. TANU na CCM waliponzwa na 'fikra sahihi za CHAMA kimoja ama za m/kiti' ndo maana walighafirika, usifuate maovu yao fuata mazuri waliyoyajenga ktk jamii toka uhuru mpaka kwenye demokrasia tulipofikia. Kwa nini uanze kudivide watu kwa kufuata mavazi badala ya kuichukulia jamii yetu ktk mapana yake. Kumbuka si wote tunaoona kua HIJAB yako ni nguo ya heshima.
Acha wanaovaa vibaya wasemwe msikitini/kanisani ama wazazi na dugu zao, rafiki zao ama wapenzi wao, hii sio 1961. Kama sheria haikufutwa ni uvunjaji wa haki na ni wote tunajua kuna sheria nyingi za kikandamizaji TZ hazijafutwa. Tunachotaka ni maendeleo na kukuza uchumi wetu ikiwa ni pamoja na kutengeneza/kuimport/export/kuuza/ kuzawadiana/kuvaa ama kutovaa vimini kwa mapenzi yetu.