njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Wazee wa klabu namba 74 kwa ubora barani africa yanga sc wamekataa kuingiza team tarehe 3 july.Team hiyo ya mitaa ya twiga na jangwani ambayo kwa mujibu wa shirikisho la soka afrika ni ya tatu kwa ubora nchini nyuma ya simba na namungo kikawaida huwa ina utaratibu wa jadi na wa kihistoria wa kusikiliza busara za kamati hiyo ya wazee
Nilichokipenda ni jinsi wazee hao walivyofanya press hiyo huku nyuma kukiwa na official banners za sponsors,ama kwa hakika yanga ni team kubwa inayoendeshwa kiuweledi bila janjajanja
Nilichokipenda ni jinsi wazee hao walivyofanya press hiyo huku nyuma kukiwa na official banners za sponsors,ama kwa hakika yanga ni team kubwa inayoendeshwa kiuweledi bila janjajanja