Wazee wa yanga wakataa kuingiza team uwanjani tarehe 3 july vs simba

Mtu anaweza akajiuliza ni kwa nini Yanga tu ndio wanakataa kucheza hiyo mechi, kwa nini Simba wenyewe wako tayari kucheza?

Je, Yanga wakicheza wataathirika nini. Kitendo chao cha kutaka kususia hiyo mechi kinafanya wengi waamini kwamba wanaogopa matokeo ya mechi hiyo inaweza kuwa aibu kubwa kwao.
sisi Simba tunasema point 3 tutawapa bila kujali matokeo 🤣🤣🤣
 
Mind game ya kipuuzi sana hii. Mind game inafanywa na mashabiki na wahamsishaji.
Yanga ni kikundi flan cha fitina fitina kinachoamini hakunaga kushindwa jambo ,bali ni kushinda tu.

Jiulize wazee wao ,ndio wako hivyo (kimaamuzi)Sasa hao wengine si ndio popoma waliokubuhu.
 
Too stupidity. Nimesoma comments hapo juu nimegundua most of you guys watupu kabisa. Moja kati ya mchangiaji katoa hoja kuwa unamjua aliyesema mechi iahirishwe ni nani?? Ana mamlaka gani??? Samahani mkuu ila hoja yako imedhihirisha uwezo wako mdogo kabisa wa kufikiri. Tangu lini Gvt ikaingilia masuala ya michezo directly?? Na kwa uzwazwa wenu mnajisahau kuwa soka linaendeshwa kwa kanuni?? Who told you guys kuwa mpira unaendeshwa na matamko?? Kwahiyo from such statement huyo aliyetoa hiyo kauli siku akija uwanjani na kumwamuru referee ampe mchezaji kadi nyekundu with no any faul referee atoe is it??? TUTASIMAMIA KANUNI MPAKA DAKIKA YA MWISHO. Once mkitaka kwenda ndivyo sivyo tutakwenda fifa na ligi itafutwa kama kanuni zinavyosema.
 
Too stupidity. Nimesoma comments hapo juu nimegundua most of you guys watupu kabisa. Moja kati ya mchangiaji katoa hoja kuwa unamjua aliyesema mechi iahirishwe ni nani?? Ana mamlaka gani??? Samahani mkuu ila hoja yako imedhihirisha uwezo wako mdogo kabisa wa kufikiri. Tangu lini Gvt ikaingilia masuala ya michezo directly?? Na kwa uzwazwa wenu mnajisahau kuwa soka linaendeshwa kwa kanuni?? Who told you guys kuwa mpira unaendeshwa na matamko?? Kwahiyo from such statement huyo aliyetoa hiyo kauli siku akija uwanjani na kumwamuru referee ampe mchezaji kadi nyekundu with no any faul referee atoe is it??? TUTASIMAMIA KANUNI MPAKA DAKIKA YA MWISHO. Once mkitaka kwenda ndivyo sivyo tutakwenda fifa na ligi itafutwa kama kanuni zinavyosema.
We ndo zwazwa kabisa ,tokea lini Yanga ikafuata sheria za mpira kikamilifu? Mbona hao yanga hawakugoma kucheza michezo minne mfululizo wakiwa uwanja wa nyumba ,kwann hawakuwakatalia tff kuwa kanuni haisemi hivyo na hakuna ligi yoyote duniani inayofanya hiki kitu.

Mkiona jambo fulani lina faida kwenu sheria na kanuni zipo sawa ila mkiona jambo haliwalipi kwa upande wenu hapo ndio kanuni zinaibuka ,,tukisema wana yanga wengi vichwa vyenu vimejaa makamasi tutakuwa tunawaonea?

Unasema mpira na siasa haviingilian ,ivi unajua anayehakikisha usalama uwanjan ni nan?
Wewe ni nan had upinge maamuz ya serikal ambayo ndio inajua kila kitu kinachoendelea kwenye nchi yake ,serikal ina uwezo wa kumsimamisha refa wakat wowote ule kama wataona Kuna mambo hayako sawa hapo uwanjan ,ni vile Kuna majitu mnajiachia hapo taifa ila hamjui mnajiachia sabab ya nan kuhakikisha usalama upo shwari.

Uwanja unatumia wa serikal ,ulinzi wa serikal ,Sasa kama serikal haingilian na mpira kwann mnatumia uwanja wao ambao ni wa timu ya taifa ? Je nao wakiamua kuwakazia msitumie viwanja vyao mtatumia uwanja gani ? Mtu hujiwez ila kelele kibao , Simba sio wajinga kutii mamlaka ya serikal na wanajua kuwa serikali na mpira haviingilian kimaandishi ila kivitendo ni km mapacha ,huwez kujitenga na serikal alaf ukatoboa .

Na kwenye hili nataman sana yanga muendelee na msimamo wenu wa kutoleta timu uwanjan ili mje mpewe funzo la kihistoria alaf tuone mtafanya nn kuishinda serikal yenye dola zote tatu .

Kuna mda mnajitafutia vikwazo vya bure bure ,mkianza kuliwa vichwa mmoja mmoja kelele zisiwepo ,Kuna muda udikteta unahitajika sana kwa majitu majinga kama ya wana yanga
 
We ndo zwazwa kabisa ,tokea lini Yanga ikafuata sheria za mpira kikamilifu? Mbona hao yanga hawakugoma kucheza michezo minne mfululizo wakiwa uwanja wa nyumba ,kwann hawakuwakatalia tff kuwa kanuni haisemi hivyo na hakuna ligi yoyote duniani inayofanya hiki kitu.

Mkiona jambo fulani lina faida kwenu sheria na kanuni zipo sawa ila mkiona jambo haliwalipi kwa upande wenu hapo ndio kanuni zinaibuka ,,tukisema wana yanga wengi vichwa vyenu vimejaa makamasi tutakuwa tunawaonea?

Unasema mpira na siasa haviingilian ,ivi unajua anayehakikisha usalama uwanjan ni nan?
Wewe ni nan had upinge maamuz ya serikal ambayo ndio inajua kila kitu kinachoendelea kwenye nchi yake ,serikal ina uwezo wa kumsimamisha refa wakat wowote ule kama wataona Kuna mambo hayako sawa hapo uwanjan ,ni vile Kuna majitu mnajiachia hapo taifa ila hamjui mnajiachia sabab ya nan kuhakikisha usalama upo shwari.

Uwanja unatumia wa serikal ,ulinzi wa serikal ,Sasa kama serikal haingilian na mpira kwann mnatumia uwanja wao ambao ni wa timu ya taifa ? Je nao wakiamua kuwakazia msitumie viwanja vyao mtatumia uwanja gani ? Mtu hujiwez ila kelele kibao , Simba sio wajinga kutii mamlaka ya serikal na wanajua kuwa serikali na mpira haviingilian kimaandishi ila kivitendo ni km mapacha ,huwez kujitenga na serikal alaf ukatoboa .

Na kwenye hili nataman sana yanga muendelee na msimamo wenu wa kutoleta timu uwanjan ili mje mpewe funzo la kihistoria alaf tuone mtafanya nn kuishinda serikal yenye dola zote tatu .

Kuna mda mnajitafutia vikwazo vya bure bure ,mkianza kuliwa vichwa mmoja mmoja kelele zisiwepo ,Kuna muda udikteta unahitajika sana kwa majitu majinga kama ya wana yanga
Mkuu ungenyamaza ingekua bora kuliko ulivyopuyanga hapa. Hivi unajua matumizi ya directly na indirectly?? Uliisoma vema comment yangu?? Au unatumia simu ya shemeji yako mkuu!!!? Tff wanajua kila kitu. Waliwaita viongozi wa yanga kuwaomba watumie busara mechi ichezwe!!! Ingekua utaratibu uko kama unavyofikiria kwenye akili yako karia asingeagiza kukutana na viongozi wa yanga . Mwisho na si kwa ulazima. Siku nyingine usilete hearsays hapa jf. Huku kuna tulokuzidi akili.
 
Mkuu ungenyamaza ingekua bora kuliko ulivyopuyanga hapa. Hivi unajua matumizi ya directly na indirectly?? Uliisoma vema comment yangu?? Au unatumia simu ya shemeji yako mkuu!!!? Tff wanajua kila kitu. Waliwaita viongozi wa yanga kuwaomba watumie busara mechi ichezwe!!! Ingekua utaratibu uko kama unavyofikiria kwenye akili yako karia asingeagiza kukutana na viongozi wa yanga . Mwisho na si kwa ulazima. Siku nyingine usilete hearsays hapa jf. Huku kuna tulokuzidi akili.
Akili zako nizaki "k" tu! Unaongea nini sasa hapo? K ni k tu hatakama iwendogo ni k tu
 
Mkuu ungenyamaza ingekua bora kuliko ulivyopuyanga hapa. Hivi unajua matumizi ya directly na indirectly?? Uliisoma vema comment yangu?? Au unatumia simu ya shemeji yako mkuu!!!? Tff wanajua kila kitu. Waliwaita viongozi wa yanga kuwaomba watumie busara mechi ichezwe!!! Ingekua utaratibu uko kama unavyofikiria kwenye akili yako karia asingeagiza kukutana na viongozi wa yanga . Mwisho na si kwa ulazima. Siku nyingine usilete hearsays hapa jf. Huku kuna tulokuzidi akili.
Embu soma ulichoandika
 
Too stupidity. Nimesoma comments hapo juu nimegundua most of you guys watupu kabisa. Moja kati ya mchangiaji katoa hoja kuwa unamjua aliyesema mechi iahirishwe ni nani?? Ana mamlaka gani??? Samahani mkuu ila hoja yako imedhihirisha uwezo wako mdogo kabisa wa kufikiri. Tangu lini Gvt ikaingilia masuala ya michezo directly?? Na kwa uzwazwa wenu mnajisahau kuwa soka linaendeshwa kwa kanuni?? Who told you guys kuwa mpira unaendeshwa na matamko?? Kwahiyo from such statement huyo aliyetoa hiyo kauli siku akija uwanjani na kumwamuru referee ampe mchezaji kadi nyekundu with no any faul referee atoe is it??? TUTASIMAMIA KANUNI MPAKA DAKIKA YA MWISHO. Once mkitaka kwenda ndivyo sivyo tutakwenda fifa na ligi itafutwa kama kanuni zinavyosema.
Utopolo bhana. Uwanja wenu wa nyumbani mnatumia wa serikali halafu mnabana pua sijui serikali haingilii michezo directly. Serikali ikikataza viwanja vyake visitumike kwenye michezo ya ligi (hawabanwi na yoyote kwamba lazima viwanja vyake vitumike kwenye ligi)) nyinyi utopolo mtachezea wapi hiyo ligi? Na kwa akili yako unafikiri serikali kukataza viwanja vyake visitumike kwenye ligi atakuwa hajaingilia michezo directly? Mnakuwa utopolo kuzidisha mpaka mnashindwa kufikiri kwa mapana.
 
We ndo zwazwa kabisa ,tokea lini Yanga ikafuata sheria za mpira kikamilifu? Mbona hao yanga hawakugoma kucheza michezo minne mfululizo wakiwa uwanja wa nyumba ,kwann hawakuwakatalia tff kuwa kanuni haisemi hivyo na hakuna ligi yoyote duniani inayofanya hiki kitu.

Mkiona jambo fulani lina faida kwenu sheria na kanuni zipo sawa ila mkiona jambo haliwalipi kwa upande wenu hapo ndio kanuni zinaibuka ,,tukisema wana yanga wengi vichwa vyenu vimejaa makamasi tutakuwa tunawaonea?

Unasema mpira na siasa haviingilian ,ivi unajua anayehakikisha usalama uwanjan ni nan?
Wewe ni nan had upinge maamuz ya serikal ambayo ndio inajua kila kitu kinachoendelea kwenye nchi yake ,serikal ina uwezo wa kumsimamisha refa wakat wowote ule kama wataona Kuna mambo hayako sawa hapo uwanjan ,ni vile Kuna majitu mnajiachia hapo taifa ila hamjui mnajiachia sabab ya nan kuhakikisha usalama upo shwari.

Uwanja unatumia wa serikal ,ulinzi wa serikal ,Sasa kama serikal haingilian na mpira kwann mnatumia uwanja wao ambao ni wa timu ya taifa ? Je nao wakiamua kuwakazia msitumie viwanja vyao mtatumia uwanja gani ? Mtu hujiwez ila kelele kibao , Simba sio wajinga kutii mamlaka ya serikal na wanajua kuwa serikali na mpira haviingilian kimaandishi ila kivitendo ni km mapacha ,huwez kujitenga na serikal alaf ukatoboa .

Na kwenye hili nataman sana yanga muendelee na msimamo wenu wa kutoleta timu uwanjan ili mje mpewe funzo la kihistoria alaf tuone mtafanya nn kuishinda serikal yenye dola zote tatu .

Kuna mda mnajitafutia vikwazo vya bure bure ,mkianza kuliwa vichwa mmoja mmoja kelele zisiwepo ,Kuna muda udikteta unahitajika sana kwa majitu majinga kama ya wana yanga
Asipokuelewa huyo utopolo nafikiri hata kuelewa tena. Sijui wamesahau miaka michache tu iliyopita Mwenyekiti wao Manji alishughulikiwa vilivyo na hakuna aliyemsaidia, akina Hans Pope, Kaburu na Aveva na hata viongozi wa TFF Malinzi,Katibu mkuu Mwesiga na mhasibu wa TFF walishughulikiwa kwa kesi ya ML na hakuna aliyekimbilia kushitaki FIFA.

Hawa viongozi wa Yanga kuna kitu wanakitafuta ipo siku watakipata.
 
Mkuu ungenyamaza ingekua bora kuliko ulivyopuyanga hapa. Hivi unajua matumizi ya directly na indirectly?? Uliisoma vema comment yangu?? Au unatumia simu ya shemeji yako mkuu!!!? Tff wanajua kila kitu. Waliwaita viongozi wa yanga kuwaomba watumie busara mechi ichezwe!!! Ingekua utaratibu uko kama unavyofikiria kwenye akili yako karia asingeagiza kukutana na viongozi wa yanga . Mwisho na si kwa ulazima. Siku nyingine usilete hearsays hapa jf. Huku kuna tulokuzidi akili.
yaan wewe unizid akil mm!!! Embu angalia uharo unaharisha hapa ,wenye akil hawafanan na wewe.

Sasa kama tff waliwaita yanga na Simba na wakubaliana mechi irudiwe na wote wakakubali iweje mwingine alete mgomo usio na tija? Akili ,akili ,akili ,wenye akil hawajisifu kijana bali nondo zao zinawaelezea bila kificho ,Sasa kama na wewe unajihesabu ni miongoni mwa watu wenye akili elimu yetu imeenda na maji haki,, kanuni ,kanuni upumbavu tu ,na nasema nyie si wazee wa kanuni msipeleke timu uwanjan hiyo tar3 tuone kama mna nguvu kuizid serikali ambayo ndio ilisogeza muda mbele chini ya waziri lia lia wa yanga ,alafu lawama kwa karia .

Hata mkienda fifa serikali inawashinda mchana kweupe maana hoja anazo ,kwanza serikal ikisema tu kuhusu usalama hamna pakutokea . Acheni uoga na upumbavu peleken timu uwanjan msipende kubmbebesha lawama karia ,hakuna anayeweza kubishana na serikali wakat huo huo mnatumia uwanja wake na ulinzi wake ,ndio maana nimekwambia hizo sheria ni za kwenye makaratas tu ila kiuhalisia football haitengan na serikal hata kidogo.

Jengen uwanja wenu wa yanga muache kutumia uwanja wa serikali, mnajikuta watu wa kanuni wakat mshazivunja mara kibao na hakuna alieongea.
 
siku ile wakiwa kigamboni engineer hersi wakati anahijiwa na mtangazaji wa azam akasema tumepokea simu kutoka tff kwamba mechi imesogezwa mbele na email walipata sasa unashangaa mtu kama tarimba anasambaza sumu na fomu kachukua huku akijua yupo kwenye kamari na jina litakatwa
 
Too stupidity. Nimesoma comments hapo juu nimegundua most of you guys watupu kabisa. Moja kati ya mchangiaji katoa hoja kuwa unamjua aliyesema mechi iahirishwe ni nani?? Ana mamlaka gani??? Samahani mkuu ila hoja yako imedhihirisha uwezo wako mdogo kabisa wa kufikiri. Tangu lini Gvt ikaingilia masuala ya michezo directly?? Na kwa uzwazwa wenu mnajisahau kuwa soka linaendeshwa kwa kanuni?? Who told you guys kuwa mpira unaendeshwa na matamko?? Kwahiyo from such statement huyo aliyetoa hiyo kauli siku akija uwanjani na kumwamuru referee ampe mchezaji kadi nyekundu with no any faul referee atoe is it??? TUTASIMAMIA KANUNI MPAKA DAKIKA YA MWISHO. Once mkitaka kwenda ndivyo sivyo tutakwenda fifa na ligi itafutwa kama kanuni zinavyosema.
Too stupidity kwanni amfati kanuni kukataa kucheza kwenye uwanja wa serikali? na serikali airuhusiwi kwenye michezo
Ivi ule ulinzi wa askari polisi na Yale majibwa ya kunusa pale uwanjani
yanasimamiwa na nani kama sio serikali?
Ivi huo mchakato wa mabadiriko ya timu upo chini ya nani kama sio serikali?
Kama serikali aiingiliani na maswala ya michezo basi pasingekua na waziri wa michezo si anatoka serikalini au ?

>>Nikwambie ni matamko tu ndio yanasema mpira au michezo ahusiani na serikali lakini kivitendo serikali ipo pale pale .
Wale raia au mashabiki wanao angalia mpira pale uwanjani wapo chini ya nani? Na ni nani mwenye majukumu ya kuwalinda kama sio serikali?
Ivi Leo itokee habari kwamba kuna tishio la ugaidi kwnye uwanja wa mpira alafu serikali iseme kwamba atuhusiki ayo mambo ya tff na FIFA ndio watajua wao akuna kitu kama icho serikali itasimama kuhakikisha mambo yanakua poa.
Mnasema FIFA tutaenda kushtaki serikali kuingilia michezo FIFA watauliza shirikisho la nchi sababu ni nini mpaka serikali iingilie michezo?
Shirikisho litauliza serikalini tumeulizwa ivi je sisi tujibu nini ?
Serikali watakuja na jibu kulikua na tishio la ugaidi au boko haramu walipanga kufanya yao na ndio mana tulipeleka mechi mbele kupisha uchunguzi na kama tungegundua upo na hata mechi ingehairishwa kabisa achilia mbali kupeleka mbele unafikiri kwa majbu aya utopolo watachomoka, unajifanya kuivimbia serikali,
>>serikali ndio kila kitu nchini

je tff wangeruhusu mechi ipigwe alafu waje polisi toka serikalini wasimamishe mechi na alafu afwate kiongozi mkuu wa mpira aulizwe je unajua sababu ni nini ya sisi kupeleka mechi mbele atajibu nini??
Kwamba atajibu Mimi nafwata kanuni ya FIFA sawa hapa pana ugaidi kwaiyo ata watu wafe sababu kanuni ya FIFA?
Kifupi yanga kam kweli wapo serious kugoma iyo tarehe 3 basi kitawakuta kitu kizito na watajuta unaanzaje kushindana na serikali we nani na ndio mana tff walifyata mkia baada ya taarifa kutoka wizaran na iyo wizara inaongozwa na yanga kindakiki muheshimiwa
Inosent Bashungwa.
Dingilai kama unakumbuka mwaka flani serikali ilifuta mashindano ya umiseta ili pesa ziende kwenye upungufu wa madawati primary na secondary je tff walipinga kwamba serikali imewaingilia kwenye sekta yao? Kuna kima yeyeto wa tff aliebisha? Achana na serikali bana ikiamua imeamua.
 
Too stupidity. Nimesoma comments hapo juu nimegundua most of you guys watupu kabisa. Moja kati ya mchangiaji katoa hoja kuwa unamjua aliyesema mechi iahirishwe ni nani?? Ana mamlaka gani??? Samahani mkuu ila hoja yako imedhihirisha uwezo wako mdogo kabisa wa kufikiri. Tangu lini Gvt ikaingilia masuala ya michezo directly?? Na kwa uzwazwa wenu mnajisahau kuwa soka linaendeshwa kwa kanuni?? Who told you guys kuwa mpira unaendeshwa na matamko?? Kwahiyo from such statement huyo aliyetoa hiyo kauli siku akija uwanjani na kumwamuru referee ampe mchezaji kadi nyekundu with no any faul referee atoe is it??? TUTASIMAMIA KANUNI MPAKA DAKIKA YA MWISHO. Once mkitaka kwenda ndivyo sivyo tutakwenda fifa na ligi itafutwa kama kanuni zinavyosema.
Akili hauna kabisa
 
Back
Top Bottom